kochakindo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 773
- 526
Lemaaaaaaaaaaaa nakumbuka sikuile lissu alivyo kuwa arusha wananchi walimtia aibu mwenyekiti wakati wakidhani wanacheleweshwa kumsikia lema akiwasalimia mpaka walisikika wakiseama mpe lemaaaaaaaaaaaa tunataka lemaaaaaaaaaaaa lema mpaka mwenyekiti alichukia akasikika akisema sitaki sasa mm naongea mnaniambia mnamtaka lema mm nibosi wake......lema shikamooooo