dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
π π π π πVipi hakuna watoto wa shule / Chekechea kama wanavyofanya watawala?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π πVipi hakuna watoto wa shule / Chekechea kama wanavyofanya watawala?
Hayo maneno mawili umeyakopi mahali na Kuya paste hapa! La sivyo unakubaliana na mimi niliyoyaandika.
Umesahau singida mjiniChadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano..
Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
Umeandika upotoloHayo maneno mawili umeyakopi mahali na Kuya paste hapa! La sivyo unakubaliana na mimi niliyoyaandika.
Siasa ina mengi sana mkuu hasa awamu hii.Gambo akishinda hapa Arusha nahama mji.
Hujui kuandika tumia akiliChadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano..
Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
Inge kuwa ni kugombania mademu basi Gambo snge mshinda Lema. Ingekuwa ni fitna na kuomba tushwa kwa wafanya biasha ra Lema ange shindwa. Ingekuwa ni kuharibu mali za wajasiriamali ili uje kwa style ya kuwa saidia Lema ange shindwa.Siasa ina mengi sana mkuu hasa awamu hii.
Bila kusahau Tunduma,kibamba,ubungo,singida mashariki,singida kaskazini na kawe.Chadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano..
Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
Mbeya pagumu mzeee mwaka huuChadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano..
Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
Hili ni wazo kuntuKwa sasa tunatakiwa kujiuliza ni namna gani ya kuwakabili CCM watupe nchi na si kujiuliza kama tutashinda huu uchaguzi.