Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi mkuu... unawajaza upepo 'wakijaa' unawapa za utosi..!Tupo pamoja kamanda wangu.
Haya mengine nayafanya ili MATAGA waje kunishobokea na mimi niwapige bapa la ugoko
Nawapa uso kama kawaSafi mkuu... unawajaza upepo 'wakijaa' unawapa za utosi..!
Now nimekuelewa.
Ongeza hapo na Shinyanga Mjini, Serengeti, Rorya (mpaka amepigwa kampeni na mkulu), Ulanga, Malinyi, Kilombero
Ina maana mikutano ya kwanza yoote ya ccm ni tamasha ya muziki?Kiongozi hao ulio wataja wanapatikana kwenye matamasha ya muziki tu.
Huko jiwe anaogopa kwendaNimepitwa Uhondo Arusha nilikuwa nafuatilia hapa Jimbo la Hai live, sikutaka nihadithiwe Mkutano wa Mh. Majaliwa Jimboni maana kaja na Askari wengi wa kukodiwa.
Ndio maana yake mkuu, na sio ya kwanza tu, bali matamasha yataendelea adi mwisho wa kampeni. Subiri baada ya uchaguzi kama kuna watu utawasikia tena. Si unakumbuka "tumeanza kupiga honi piiiiii piiiiiiii piiiiii".
Nitakukubalia pote ila Geita mjini sahau, lile jimbo halijawahi kutawaliwa na mpinzani na siku litaenda upinzani ni siku CCM imetoka madarakani.Chadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano..
Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
Msimu huu ccm inang'olewaNitakukubalia pote ila Geita mjini sahau, lile jimbo halijawahi kutawaliwa na mpinzani na siku litaenda upinzani ni siku CCM imetoka madarakani.
Acha hoja nyepesi za mtaani. Siasa ni sehemu yangu ya maisha na enjoy ninapokuwa najadili mambo ya siasa. Kwa taarifa yako wewe ndio unateseka na mtaendelea kuteseja na Lema wako.KINACHONISHANGAZA UNAETESEKA NI WEWE
Kenya, Zambia (Kaunda akiwepo!) Malawi.... ruksa kujisahaulisha.Naomba nikumbushe ni nchi gani chama cha upinzani kiliwahi shika dola?
Wasi wasi wangu je Lissu anayo backup?? Tunajua kura atashinda vipi kule ndani??Msimu huu ccm inang'olewa