Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #141
PatachimbikaWasi wasi wangu je Lissu anayo backup?? Tunajua kura atashinda vipi kule ndani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PatachimbikaWasi wasi wangu je Lissu anayo backup?? Tunajua kura atashinda vipi kule ndani??
😅😅Yaani fisiemu wakiona hivi wanaumia mioyo ka wachawi .View attachment 1563807
Ana plan b already .Wasi wasi wangu je Lissu anayo backup?? Tunajua kura atashinda vipi kule ndani??
Huwa nashangaa huyu mtu ni sifa gani zimemsababisha akawa mbunge wa Arusha...ila nadhani kwasababu kipindi kile cha2010-2015 watu walikuwa washabiki wamabadiliko kiasi kwamba, hata mbuzi angekuwa mgombea kwa wakati ule angepita tu..ndio kipindi hicho jamaa akatumia fursa kupata hii nafasi.Sishangai Jamaa akafanya biashara siku za mwisho na akaliuza Jimbo si unajua tena mijaa mbele ya hela huwa hawana misimamo utasikia tunafuata kazi za mkuu! Bangi na mirungi huwa haipo mbali na jamaa
Plan B ni lazima iwe ndani ya deep state. Barabarani tutaandamana sana lakino akishatangazwa hiyo imepitaAna plan b already .
Mbunge wa milele wa jimbo la Arusha Mjini Mh Godbless Lema , ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA leo amezindua rasmi kampeni zake za kuomba ubunge kwa mara nyingine tena na kusababisha mafuriko makubwa ya wananchi kiasi cha kusababisha tetemeko...
Huwa nashangaa huyu mtu ni sifa gani zimemsababisha akawa mbunge wa Arusha...ila nadhani kwasababu kipindi kile cha2010-2015 watu walikuwa washabiki wamabadiliko kiasi kwamba, hata mbuzi angekuwa mgombea kwa wakati ule angepita tu..ndio kipindi hicho jamaa akatumia fursa kupata hii nafasi.
AwNaomba nikumbushe ni nchi gani chama cha upinzani kiliwahi shika dola?
Naomba nikumbushe ni nchi gani chama cha upinzani kiliwahi shika dola?
Terminal exam umeanza leo hakika hujakoseaSioni watoto wa shule hapo, leo wote wako class tena wamepewa pepa.
Unaisahau romboChadema mpaka Sasa imeshashinda Majimbo kumi na tano..
Bukoba mjini, bunda, nyamagana, ukelewe, tarime mjini, vijijini, Arusha, karatu, mbeya,Hai, Moshi mjini, Moshi vijijini, Geita mjini na Iringa mjini.
watara&gbagboMalawi, kule africa magharibi kwa yule jamaa aliyefurushwa na majeshi ya ecowas, Zambia etc.
Malawi, Kenya, DRC, Zambia, Uganda, Rwanda, Burundi. Ni Tanzania tu wajinga wanaendekeza chama cha kale.Naomba nikumbushe ni nchi gani chama cha upinzani kiliwahi shika dola?
Hali ni mbaya sana maana walijidanganya sana kipindi Lissu yupo ubelgij eti ooo hawezi kurudi.Na tukishinda mashambulizi ya uchaguzi huu, basi ujue tunachukua nchi. Imefikia hata Mzee Msuya kachukua jezi, kazi kweli kweli na zinapigwa risasi za kutosha na hatari.
Wwache wajikaange kwa mafuta yaoNdio maana yake mkuu, na sio ya kwanza tu, bali matamasha yataendelea adi mwisho wa kampeni. Subiri baada ya uchaguzi kama kuna watu utawasikia tena. Si unakumbuka "tumeanza kupiga honi piiiiii piiiiiiii piiiiii".