Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hohohoho kumbafuu na uchadomo wenu, vichwa vyetu huwamevijaza maujingaaa ujingaaa na Siasa za kipuuuzi zisizo na Kichwa Wala mbele .Ulipochagua ndipo ulipo siku zote.Lipumbaff!
Hivi umenawa kiuno leo?Hohohoho kumbafuu na uchadomo wenu, vichwa vyetu huwamevijaza maujingaaa ujingaaa na Siasa za kipuuuzi zisizo na Kichwa Wala mbele .
TAIFA linahitaji watu wakuwapazia Sauti, mnazidiwa hata na Akina Ney wa mitego 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Nyinyi sio wapinzani ni wahuni tu fulaniHivi umenawa kiuno leo?
Nahisi kimeliwa na kutu!Lema ana msimamo wa chuma.
Jidanganye na mbowe amelambishwa.CCM inayowaweka Mjini ndio inayoyoma hiyo 2025 itabaki kiduchu tu.
Inakuuma vumilia...Watanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu
Ukweli uko wapi ?Kumbe ni kweli alikimbia nchi sababu ya madeni mpka hapo samia alimpomlipia na kumfutia madeni yote na sio hofu ya jpm.
Hata Lowasa. Siku walipokutana akaona aibu hata kumuangalia usoni. Lema mpuuzi puuzi mno.Unafiki wa Lema tu huo.
Alete ushahidi kama ni kweli, hata Makonda walimsingizia mengi
IQ haipimwi hapa kwa kujisifia eti umesomea udaktari,wewe ni kilaza,mshamba na limbukeni tu.Bwege ni wewe , ndio ukae ujipime, ujue unayejibizana naye amebeba IQ ya kiwango gani.
Mjinga Mmoja wewe
Huna akili kilaza tu wewe,akili kubwa hupimwa kwa kazi zako siyo kujimwambafy na kubana pua eti nimesomea udaktari,umemtibu nani hapa jukwaani? Fala sana wewe mbwiga.Mkuu akili njema ndio hizi za Akina Lema, Mbowe ?
Mikiambiwa nichague Utahira na Akili za Akina Lema, Mbowe...
Nitachagua Utahira Asubuhi kweupe.
Wewe upumbavu mnoHata Lowasa. Siku walipokutana akaona aibu hata kumuangalia usoni. Lema mpuuzi puuzi mno.
View attachment 2604115
Inahusiana nini na huu uzi?Hata Lowasa. Siku walipokutana akaona aibu hata kumuangalia usoni. Lema mpuuzi puuzi mno.
View attachment 2604115
Si afadhali kumsikiliza mpinzani uchwara kuliko kukusikiliza punguani?Watanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu
Mazungumzo ya kupeana rushwa huwa hakuna kusainiana mkataba. Sasa unataka ushahidi kwanini usimwambie Bashiru alete ushahidi kwamba hakutaka kumhonga.Unafiki wa Lema tu huo.
Alete ushahidi kama ni kweli, hata Makonda walimsingizia mengi