Godbless Lema: Bashiru alitaka kunilipia deni nihamie CCM

Godbless Lema: Bashiru alitaka kunilipia deni nihamie CCM

Chama cha upinzani kilicho simama ni Demokratic Party ( DP) cha Mtikila tu.
RIP Mchungaji Mtikila.

Hao wengine ni njaa njaa tu. Wanaongea ili CCM iwalipe ruzuku wale washibe.

Mtikila alikufa akiwa anadaiwa na Rostam Aziz milion 3 alizo pewa akalipie nyumba alipo panga!

Ilikua aibu sana
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze figo alipe.

Lema ameibua hayo jana Aprili 28, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Moshi katika soko la Manyema kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama chake.
CCM awamu ya tano ilikuwa corrupted kupita kiasi, sijui hizo hela za Usajili walikuwa wanazitoa wapi hawa jamaa.
 
Mtikila alikufa akiwa anadaiwa na Rostam Aziz milion 3 alizo pewa akalipie nyumba alipo panga!

Ilikua aibu sana
Kumkopa mtu kuna shida gani.
Au Mwanachama wa CCM hatakiwi kukopwa ?
Kuliko miaka yote kulilia maridhiano na CCM.
Kila kukicha mwenyeketi anawazia kuitwa Ikulu kupiga picha na Raisi kisa Bahasha.
 
Mkuu akili njema ndio hizi za Akina Lema, Mbowe ?

Mikiambiwa nichague Utahira na Akili za Akina Lema, Mbowe...

Nitachagua Utahira Asubuhi kweupe.
Uchague nini wakati we ni taahira. Wazee wako Wana hasara sana na laiti wangejua kuwa watazaa taahira wangeweza hata kutumia ndom
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze figo alipe.

Lema ameibua hayo jana Aprili 28, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Moshi katika soko la Manyema kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama chake.
Hii haina maana Chadema imepwaya sana viongozi ambao ni madhubuti zaidi wa Chadema wameingia ccm bila hata kuuza figo, Mdee na wenzake, kafulila na kina Waitara, Silinde nakadhalika, na sasa Mbowe na Lissu wanafanya kazi chini ya ccm, Mbowe ilibidi aiunge mkono ccm ili awe huru kuliko kubaki jela sasa tunamuona 24hrs yuko Ikulu., alipotoka jela alikimbilia Ikulu.

Tanzania baada ya Maalim Seif Almarhumu tumekosa upinzani wa kweli., wale tusiowategemea sasa rangi zao na wao pia zimeonekana.

Ni vile Watanzania bado wanahitaji upinzani wenye nguvu zaidi kuiondoa ccm madarakani, sasaiv lazima tukiri tumekwama, Lissu hawezi kuvumilia hata dakika 1 tena bila kurudi belgium kimaisha. Upinzani umekufa kule Zanzibar tutaangalia ACT uchaguzi ujao Insh ni kwa kiwango gani watafanikiwa lakini ukweli ni kwamba CCM kama itaendelea kuota mizizi.

Chadema ilitegemewa sana kwa upinzani hapo miaka 10 iliyopita sasa nikama vile wamekata tamaa, kila muda wananyoosha mkono wakipewa chochote tayari wamekuwa majeteta, sipati picha nilivyokuwa nikimtazama mbowe miaka hiyo na alivyo sasa
 
Deni ni shilingi ngapi mbona hasemi mbona hasemi kuwa Samia kamlipia na akakubaliwa kuja

USSR
Itafika muda wake ataropoka na hayo ya kuhusu Samia kama alivyoropoka ya yeye na Kikwete kama ambavyo sasa anaropoka ya yeye na Bashiru kitu ambacho hakukisema huko mwanzo.
 
Wasingekuwepo wa kununulika basi hizo pesa zisingechezewa.
 
tulisha wapuuza nyinyi mashoga ya ccm mmebaki kujibaraguza kama mbuz jike yuko kwenye heat.
Nilijua utaumia sana lakini vumilia tu., ndivyo hali ilivyo watanzania hawana matumaini tena na upinzani wa Chadema ambao waziwazi umeonekana kwa kiwango kikubwa kupwaya sana sana,

Mbowe alipopewa mike kwenye baraza la Eid alimpongeza sana Rais zaid ya sana na mashukurani tele lakini Lipumba ambaye tunamuita msaliti alitumia nafasi ile kudai Tume Huru ya uchaguzi ilikuwa kinyumenyume sana, Mbowe hamna tena kitu kwisha habar yake, wewe na mimi ndio tunaumia
 
Deni ni shilingi ngapi mbona hasemi mbona hasemi kuwa Samia kamlipia na akakubaliwa kuja

USSR
Wewe mbona husema ni shilingi ngapi au Samia kakwambia kuwa amelipa tu,muulize kamlipa ngapi, halafu urudi hapa na taarifa kamili, badala ya kukurupuka.
 
Bashiru na polepole wariharibu Sana hii nchi kwa rushwa ya siasa. Walihonga Akina silinde, jualikali, kale kamama ka mbulu, Joshua na takataka zingine nyingi.
 
Unafiki wa Lema tu huo.

Alete ushahidi kama ni kweli, hata Makonda walimsingizia mengi
Kuna ubaya gani ukimshawishi Bashiru aje kukanusha....kuliko kutaka ushahidi kwa Lema. Zama za biashara ya watu imekwisha sasa. Ukijua mlikuwa mnanunua watu mfuatilie Dk. Slaa anavyomwaga checheee.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze figo alipe.

Lema ameibua hayo jana Aprili 28, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Moshi katika soko la Manyema kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama chake.


Ni Sawa na mwanamke aseme alitongozwa

Sasa hapo cha ajabu ni nini?

Kila chama cha siasa kinataka watu ambao watafanya chama kiwe active

Hata chadema wangekuwa na pesa wangehonga watu waamie huko so ni kawaida tu
 
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze figo alipe.

Lema ameibua hayo jana Aprili 28, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Moshi katika soko la Manyema kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama chake.
Sasa hivi atakaye uza figo ni yeye😅😅
 
Back
Top Bottom