Alikuwa wapi siku zote eti lema Naye ni kiongizi wa chama halafu mkiitwa nyumbu mnakuwa wakali balaaWatanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa wapi siku zote eti lema Naye ni kiongizi wa chama halafu mkiitwa nyumbu mnakuwa wakali balaaWatanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu
Kwakweli siasa siyo porojo ni science ,lazima ujenge hoja zenye mashiko kwa wananchi ili kutatua kero zao , siyo mazingaumbwe ya kununuliwa ,, mheshimiwa huyo toka atoke huko sijui wamemlisha maharage ya wapi yaani ...pumpa nyingi kwenye speech zakeWatanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu
atakuwa aliuza figo KENYAVp ashalipa hilo deni sasa?au mama kamlipia alipomwezesha kurejea nchini?🤣🤣🤔sihasa
Mbona saizi Samia kamlipia ndio kakubali kurudiLema ana msimamo wa chuma.
Kati ya Lema na wewe, MPUMBAVU ji wewe Carlos The Jackal . Kichwa chako ni cha kufugia nywele tuWatanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu
Hivi huyu Lema ameiacha lini ile kazi yake hatari kwa binadamu?Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze figo alipe.
Lema ameibua hayo jana Aprili 28, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Moshi katika soko la Manyema kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama chake.
Kumbe walikuwa sokoni kipindi hichoMwita mwikwabe
Pauline gekuli
Morel
Mtuliya
Mtulia
Nasary
Wa simanjiro
Strengeti
Na madiwani weeengi
Mpaka uwe mpumbavu ndiyo utadai ushahidi.
Acha ujinga wewe lema aliuza ubunge Kwa felex mrema Kwa milion miatatu alafu akasaini kushindwa wakati huo tulikua tunampigania kumbe jamaa tapeli tu hakuna mwanasiasa pale najua yumo humu na inawezekana ni wewe watanzania hatujapoteza kumbukumbu haswa sisi watu wa arushakwamba lema aliuza ubunge ila taarifa za kuuza huo ubunge yakafahamu mashoga ya ccm na wafuas wao, imbecile.
Lema mbona ananufaika au wew huoniHuwezi kuwapangia Watanzania, Wewe unafaidika na ccm sisi hatufaidiki nayo.
Watanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu
Ipo siku atatokea Tu vizazi vijavyo watakuwa na akili zaidi kuliko sisi kwahiyo wew tumia fursa yako vizuri lamba vzrMagufuli alikua kiongozi wa hovyo sana!
Ananunua wabunge na madiwani wkt nchi ina shida mno na huduma za kijamii.
Ni mm na ww kuhakikisha TZ haiji pata Magufuli mwingine
Chombo huru cha kimatibabu kiwe kinapima akili wagombea wa U Rais kabla hawajaruhusiwa na NEC kugombea
lema mwizi mkubwa ana faida ganiMwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema ametoboa siri aliyekuwa Katibu CCM, Ally Bashiru kutaka kumlipia deni alilokuwa anadaiwa bungeni kwa lengo la kumtaka ajiunga na chama hicho. Hata hivyo alikataa kulipiwa deni hilo na kudai ni heri auze figo alipe.
Lema ameibua hayo jana Aprili 28, 2023 wakati akizungumza na wananchi wa Manispaa ya Moshi katika soko la Manyema kwenye moja ya mikutano ya hadhara ya chama chake.
Lema ni hazina ya uongozi wa Tanzania siku zijazo.Watanzania Tuendelee kuwapuuza wapinzani uchwara kama Lema !!!.
Kinywa Cha mpumbavu hutapika upumbavu