Godbless Lema: Bora ya Magufuli kuliko Samia

Godbless Lema: Bora ya Magufuli kuliko Samia

'...nilifurahi mno siku alipoapishwa Samia kuwa Rais na niliamini Nchi ilipata mwarobaini wa yote mabaya yaliyo pata kufanywa na mtangulizi wake. Na hali ile ilifanya nimpigie simu Mstaafu mmoja na kumweleza ninataka kurudi nyumbani.'

'....lakini kwa yanaoyoendelea sasa ndani ya Utawala wa Samia ni ya hovyo kuzidi hata ya Magufuli na hiyo inaleta maana ya Utawala wa Magufuli ni bora kuliko wa Samia jambo ambalo halikutarajiwa kabisa!'

Godbless Lema.
Siwaelewi watanzania wenzangu
  1. Wakati wa wakoloni walisema bora utawala wa Machifu
  2. Wakati wa Mwl. J. K. Nyerere wakasema bora ukoloni
  3. Wakati wa Mzee Mwinyi walisema bora Mwl. J. K. Nyerere
  4. Wakati wa Mzee Mkapa walimsifu sana Mzee Mwinyi
  5. Wakati wa Kikwete walimsifu sana Mzee Mkapa
  6. Wakati wa Magufuli walimponda na kumkumbuka Kikwete
  7. Kaja Samia sasa wanamkumbuka Magufuli
KUna siku niliona baiskeli ya mkodishaji mmoja imeandikwa "...kila asubuhi mpya heri ya jana, siku kdhaa baadaye nikaona nyingine ya mkodishaji huyohuyo imeandikwa "...every new morning is better than yesterday" nilihisi alilenga kutafsiri ile statement ya kiswahili iliyopo kwenye baiskeli nyingine
 
Akija mwingine atasema bora Samia kuliko mwingine...
 
Dah hakika Lema ni kiumbe siyo binaadam. Huyu si ndiye yule aliyeleta msemo wa Mama anaupiga mwingi??????? Atulie kabisa asituchanganye. Sisi watanzania tunasema Rais wa sasa ni Samia na tunampenda mno
Hii nchi sasa kama haina Rais, nchi kama inaendeshwa na magenge magenge.. R.I.P JPM... Tutakukumbuka kwa mema, ungekuwepo nchi isingefikia hapa tulipo
images.jpeg
 
Siwaelewi watanzania wenzangu
  1. Wakati wa wakoloni walisema bora utawala wa Machifu
  2. Wakati wa Mwl. J. K. Nyerere wakasema bora ukoloni
  3. Wakati wa Mzee Mwinyi walisema bora Mwl. J. K. Nyerere
  4. Wakati wa Mzee Mkapa walimsifu sana Mzee Mwinyi
  5. Wakati wa Kikwete walimsifu sana Mzee Mkapa
  6. Wakati wa Magufuli walimponda na kumkumbuka Kikwete
  7. Kaja Samia sasa wanamkumbuka Magufuli
KUna siku niliona baiskeli ya mkodishaji mmoja imeandikwa "...kila asubuhi mpya heri ya jana, siku kdhaa baadaye nikaona nyingine ya mkodishaji huyohuyo imeandikwa "...every new morning is better than yesterday" nilihisi alilenga kutafsiri ile statement ya kiswahili iliyopo kwenye baiskeli nyingine
Hadi umri huo humjui binadamu na mambo yake?
 
Wanasiasa wa upinzani ni wapumbavu sana.. hasa huyo Lema anaendeshwa na mihemko
 
Lema yupo sahihi. Bibi kizee ni mwepesi sana na nchi hii imeshamshinda tayari.
 
'...nilifurahi mno siku alipoapishwa Samia kuwa Rais na niliamini Nchi ilipata mwarobaini wa yote mabaya yaliyo pata kufanywa na mtangulizi wake. Na hali ile ilifanya nimpigie simu Mstaafu mmoja na kumweleza ninataka kurudi nyumbani.'

'....lakini kwa yanaoyoendelea sasa ndani ya Utawala wa Samia ni ya hovyo kuzidi hata ya Magufuli na hiyo inaleta maana ya Utawala wa Magufuli ni bora kuliko wa Samia jambo ambalo halikutarajiwa kabisa!'

Godbless Lema.
Ameshachanganyikiwa huyo Kama alitegemea mtelezo Basi ndio haupo sasa
 
Back
Top Bottom