Godbless Lema: Bora ya Magufuli kuliko Samia

Hana nia ya kurudia huyo. Anaona akirudi na matunzo kwishney.
Panatengenezwa uhalali wa kutokurudi ili aendelee kupetiwa petiwa na mabeberu yeye na familia yake.

Hata mimi ningekuwa Lema nisingerudi, watoto wake wanapata elimu bora kwenye mazingira bora kabisa. Watoto wakirudi hapa nchini baada ya elimu bora ya huko wanaweza kupata fursa nyingi kuanzia serikalini, sekta binafsi hadi taasisi za kimataifa. Kuliko arudi hapa kwenye nchi ya majoga, na akifanya siasa aishie kuwekwa lockup na majizi ya kura. Lema abaki hukohuko aendelee kufungua nchi.
 
Yale mambo ya hovyo yote yamerudi awamu hii.
 
Ukisubiria watanzania wakukubali unajisumbua,watu wanaangalia upande wao wakibaniwa walipotegemea maneno lundo wakipata sifa kwa Kiongozi so Kama wewe Ni Kiongozi focus kwenye ajenda zako.
 
Wanasiasa wa upinzani ni wapumbavu sana.. hasa huyo Lema anaendeshwa na mihemko

Una uhakika haya kasema Lema, au umetengenezewa ajali na huyu muhuni hapa umeingia kichwa kichwa?
 
Analeta propaganda tu huyo, kinachomfanya asirudi ni nini!?
 
Mambo ya ubaya yametokea wapi? Au wewe ndie huyo mstaafu aliyepigiwa
 
Jawa wapinzani hawana wanachokisimamia wala kukiamini zaidi ya matumbo yao. No wonder Lissu alipoonana na Rais alizungumzia zaidi hela ya matibabu na kiinua mgongo chake cha ubunge. Mambo ya demokrasia n.k yalikuja nyuma km mazungumzo baada ya habari
 
Ni kweli, kwa kifupi CCM ni majanga - kero kubwa ni kuturusidha kwenye mgawo mkali wa umeme, ni dhahiri shahiri CCM imechakaa - kwisha kabisa.
 
I hope kuna mtoto atakuwa kachezea simu yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…