Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Mnyika naye haaminiki kitambo tu.Nami nafikiri angeendelea kwanza, hasa kwenye hii transition period
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyika naye haaminiki kitambo tu.Nami nafikiri angeendelea kwanza, hasa kwenye hii transition period
Kigaila na genge lake walafi walafi wa pesa za chama-mmh , hawafai !Saaahizi wanaiba mabaki ya pesa za chadema wafungue biashara na mwenyekiti mstaafu
Kigalla apewe tuhuma za kumtaka kimapenzi mke wa Lisu.Ni Yeye, ila Mnyika tuondoke naye pia ni MTU mzuri.
Kigaila na Genge lake watafutiwe KWA LAZIMA TUHUMA ZOZOTE HATA KAMA HAZINA USHAHIDI, WAONDOSHWE WAENDE CCM.
Mwogope sana mtu anayefanya maamuzi kwa kupiga magoti kwanzaAkisema Itakufa usipobadilika, Kaa chonjo.
Utadanga wapi upate hizo 100 millions?TAL akiweza kupata Jimbo Moja TU la ubunge 2025 ,nitakichangia chadema 100 millions.
Utabiri huo ni faraja sana kwangu, na ninaomba utimie kabisa kipande kilichobaki.Team ya sasa ndio itatoa baraza la mawaziri 2025.. Mark this post
Alete Jimbo!Utadanga wapi upate hizo 100 millions?
kama kuna ukweli kwenye utabiri huuTeam ya sasa ndio itatoa baraza la mawaziri 2025.. Mark this post
Kwa wendawazimu kweli kitakuwa chama cha hovyoKitakuwa ni chama Cha hovyo kuwahi kutoka duniani
Akuletee chumbani?Alete Jimbo!
Huyu mwamba ameonesha ukomavu mkubwa kwenye kampeni za kupambania team Lissu na Heche hadi kusimamia hesabu za ushindi.
Haiyumkiniki, Mwenyekiti Lissu atampendekeza katika nafasi ya Katibu Mkuu ili kukijenga upya Chama ambacho kilishaanza kupoteza umaarufu wake baada ya Mbowe kuonesha wazi kushikamana na Samia na CCM yake.
View attachment 3209792
Tuendelee kuiunga mkono CHADEMA.
CHADEMA ni mpango wa Mungu
Segerea vyumba viongeze
NdioAkuletee chumbani?
Unalipa hadi apoteze muda wake? Post picha tufanye tathminiNdio
Wenje anajiuzuru mwenyekiti wa kanda anakua bob wangwe za ndaaniiiiiWenje ni mwenyekiti wa Kanda, Lisu anamuhitaji Wenje kuliko machawa wake.
FAM ccm inamhitaji kuliko wakati mwingine wowote!Unalipa hadi apoteze muda wake? Post picha tufanye tathmini
Aache ushauri ndani ya CHADEMA?FAM ccm inamhitaji kuliko wakati mwingine wowote!
Atateuliwa kuwa campaign manager wa Saa100 !