Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Una shida ya afya ya akili, hujutambui 😅😅😅🤣🤣🤸🤸Usingeweza andika kingine zaidi ya hiko, ndio mwisho wa akili zako (I get that).
Hakuna merit ya nilichoandika kwenye hoja (ndio uwezo wako).
Tuna sababu za msingi wengine tunapotaka kuona nchi wanapewa wa kunyoosha kweli kweli watanzania akili zenu zikae sawa.
DuuuhNa kibaya zaidi ni kuwa hiyo hela inatoka CCM
Lemma mbona hatoi unabii?View attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,
Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,
Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?
CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,
Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.
Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.
Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.
Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.
Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.
Godbless Lemma,
Nabii gani?Huyo ni mganga njaa tu.Lemma mbona hatoi unabii?
Pesa tutakula na kura hawapati hao madalali wa siasa.Na wewe utukome, nani akatae hela hii January? Wewe kila mwezi unavuta maelfu ya dola kutoka kwa wazungu kwa hifadhi ya ukimbizi.
Yaani baada ya mkutano nikiwa narudi nyumbani, lazima nipitie mifuko ya simenti na bati
Lema ameamua kusimama na wananchiLema hawezi kuwa na wala rushwa asilani
Safi sana LemmaView attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,
Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,
Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?
CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,
Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.
Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.
Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.
Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.
Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.
Godbless Lemma,
Daaah CHADEMAView attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,
Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,
Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?
CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,
Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.
Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.
Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.
Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.
Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.
Godbless Lemma,
Lemma anaakili sanaView attachment 3198366
====
Swali moja la msingi kwa WAJUMBE wa CHADEMA ni hili ,
Ikiwa utapewa pesa , usafiri , pombe na chakula wakati huu lakini hukuletewa pesa wakati wa uchaguzi wa serikali za Mitaa , Kijiji na Vitongoji ,
Je hizo pesa sasa zinatoka wapi ? Na wanaotoa pesa wananunua kura kwa sababu gani kwa kazi isiyo hata na mshahara ?
CHADEMA sio duka wala Bar ni taasisi ya walioumizwa Wajumbe sikilizeni , hiki CHAMA kina damu za rafiki zenu , maumivu makubwa na mateso kwa watu wengi,
Msilaani maisha yenu kwa starehe na rushwa za muda mfupi.
Sasa basi wakileta pesa kula , kunywa halafu waadhibu katika boksi la kura.
Nyie sio Blue Band wakubebwa kama Maboksi.
Sikilizeni, Upinzani ni tabia njema na sio rangi za nguo.
Msiue matumaini ya Taifa kwa kushindwa kutofautisha tabia zetu na CCM.
Godbless Lemma,