Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

Hao viongozi wawili kwenye mifano aliyoitoa wametukanwa vibaya jamani ...🙈🙈🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️😱.
Kwa ngonjera hii nimeamini Lema hana mpango wa kurejea nchini hivi karibuni.
 
Kuanzia sasa mind set ya Makamu wa Rais huko mbeleni katika siasa za Tanzania itabadilika, watajua kuwa kumbe inawezekana!

Usaliti linaweza Kuwa ni jambo la kutilia mashaka huko mbeleni.
 
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu UWEZO, hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless Lema.
Huyu jamaa anazidi kuoyesha alikuaga mwizi wa magari...
 
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu UWEZO, hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless Lema.
Hayakuhusu.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu UWEZO, hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless Lema.
Mnaacha kukomaa mfufue saccos yenu mnakomaa kuishauri ccm, Chadema ndo mna huo ukanda, ukabila, udini. CCM wamemwapisha Mama Samia mmekosa hoja mmehamia kwa makamu was rais ili Baadae mseme CCM WANATEKELEZA SERA ZA SACCOS!
 
L
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu UWEZO, hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu , hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless Lema.
Godbless lema wewe uliyekua mwizi wa magari usijifanye kushauri jambo ambalo akili huna. Kwanza huna hata uwezo kumwelewa prof kabudi halafu unamtukana. Kwako wewe mtu anayeona wizi wa magari kama ujanja wa maisha ndio utaona anafaa.
 
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu UWEZO, hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless Lema.
Of course kwa mtu ambaye hakubahatika kupata elimu kama Lema hawezi kuuona umuhimu wa elimu.
 
Kwani chadema walipoteua lile lafa kugombea urais hawakuayaona hayo? Leo ndo anayaona na kujifanya ni mshauri wa ccm?
Ccm wana jinsi yao ya kufanya maamuzi, hawahitaji ujinga wowote toka kwa lema ili kufanya maamuzi yao. Wameshafanya maamuzi yao ya transition mara nyingi zaidi kuliko chadema, iweje mjinga mchadema ndo awashauri cha kufanya? Pumba tupu!
 
Elimu bila akili sawa na choo bila mlango... GL
Angalieni msije jiaibisha zaidi...
Kuaibika ni kupi:kuaibika ni kumpigania na kumtetea mtu kama Lema,Slaa,Lowasa,Nasari n,k alafu mwisho wa siku anahamia CCM.
 
Nukuu muhimu ya Palamagamba Kabudi inayoshabiana na maono ya Godbless Lema :

Prof. Kabudi atoa wosia tusijiandae kwa cheo chochote, endelea kusikiliza nukuu za kufikirisha za wosia za hekima anazo - 'share' Prof. Palamagamba Kabudi nasi sisi vijana ambazo alizipata toka kwa babaye

KABUDI KUAPISHWA KUWA MAKAMU WA RAIS?/KWA UJASIRI NA UCHAPA KAZI WAKE




Sijui atalamba makalio ya nani sasa
 
Kuaibika ni kupi:kuaibika ni kumpigania na kumtetea mtu kama Lema,Slaa,Lowasa,Nasari n,k alafu mwisho wa siku anahamia CCM.
Chocheaneni ujinga mwisho wa siku mimba zitawaumbua... najua una kiwewe kinakuwewesesha ukitulia akili zitarudi kama "msindi wa sele"
 
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu UWEZO, hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless Lema.
Bahati mbaya sana huko CCM Hekima, Busara na Uwezo ni bidhaa adimu sana, wanachojua ni bora mtu wao haijalishi ni Chekechea au Darasa la 7 au ana PhD ya jalalani Mradi ana Kadi ya Chama. Ushauri huu mzuri kwa kuwa unatoka kwa Mwanachama wa Upinzani utatupiliwa mbali na kuteua RC wa Mbeya au Musukuma ili Urais urudi kwa mpendwa wao aliyoko mbele ya haki.
 
Hata ndugai huu mwaka haupiti. Maana ndio waliokuwa wakitaka mwenzao atangulie na asiagwe bungeni. Sasa wao wanaondoka na wataagwa bungeni Kama wanavyotaka.

I hope umati wa Jana lazima amepakaa upupu. Let's wait and see it

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom