Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuanzie hapo,Akikujibu ni tag....Kwani ametenda kosa au hajatenda?
Tena kubwa tuKuna pweinti hapa
Hao wamevimbiwa tozo achana nao, mwanasiasa akikwambia twende kushoto wewe nenda kulia wote utawakuta huko.Hivi karibuni Simbachawene alitumia madaraka yake kuwaamuru polisi wamshughulikie mwanae bila huruma! Nao polisi baada ya kupewa agizo wamesema watamfikisha mahakamani. Inawezekana alitenda kosa lakini kitendo cha baba yake kuingilia na kumkana tayari kumewapa nguvu ya ziada polisi jambo ambalo si sahihi. Huyo kijana hana wa kusikiliza hoja zake ziwe sahihi au si sahihi kwani amezingirwa na kundi kubwa la dola ambalo linaweza likajipa haki ya ushahidi wa uongo kutokana na maelekezo toka kwa baba yake, hii ni hatari kwa maisha ya furaha ya kijana.
Ombi langu kwa wanasheria wapenda haki wamtetee kijana ili sheria ifuatwe kwa njia zinazokubalika na si kwa maagizo ya baba.
Nakazia hapakwa taarifa yako lunch yake ni chips kuku na soda ya baridi na analala ofisi ya mkuu wa kituo
Hivi karibuni Simbachawene alitumia madaraka yake kuwaamuru polisi wamshughulikie mwanae bila huruma! Nao polisi baada ya kupewa agizo wamesema watamfikisha mahakamani.
Inawezekana alitenda kosa lakini kitendo cha baba yake kuingilia na kumkana tayari kumewapa nguvu ya ziada polisi jambo ambalo si sahihi.
Huyo kijana hana wa kusikiliza hoja zake ziwe sahihi au si sahihi kwani amezingirwa na kundi kubwa la dola ambalo linaweza likajipa haki ya ushahidi wa uongo kutokana na maelekezo toka kwa baba yake, hii ni hatari kwa maisha ya furaha ya kijana.
Ombi langu kwa wanasheria wapenda haki wamtetee kijana ili sheria ifuatwe kwa njia zinazokubalika na si kwa maagizo ya baba.
Asimfunze udogoni amfunze uzeeni too late ,sheria zifuatwe,Lema yuko sahihiLema akamueekee dhamana. Baba kaamua kumfunza mtoto wake wewe unasema anakomolewa.
akili ndogo kweli kweli wewe....hii movie ndio kwanza imeanza.Hivi karibuni Simbachawene alitumia madaraka yake kuwaamuru polisi wamshughulikie mwanae bila huruma! Nao polisi baada ya kupewa agizo wamesema watamfikisha mahakamani.
Inawezekana alitenda kosa lakini kitendo cha baba yake kuingilia na kumkana tayari kumewapa nguvu ya ziada polisi jambo ambalo si sahihi.
Huyo kijana hana wa kusikiliza hoja zake ziwe sahihi au si sahihi kwani amezingirwa na kundi kubwa la dola ambalo linaweza likajipa haki ya ushahidi wa uongo kutokana na maelekezo toka kwa baba yake, hii ni hatari kwa maisha ya furaha ya kijana.
Ombi langu kwa wanasheria wapenda haki wamtetee kijana ili sheria ifuatwe kwa njia zinazokubalika na si kwa maagizo ya baba.
We ni kilaza namba moja afrika sema amenHahaha eti mtoto akishazaliwa ni mali ya nchi, wakati yeye (Lema) kakimbizia kuanzia Watoto, Mke mpaka yeye mwenyewe Kanada, au yeye na watoto wake siyo mali ya nchi?
Kuna pweinti hapa
Lema ni Nabii wa nani?Mh Godbless Lema ambaye anatajwa pia kama miongoni mwa Manabii wa Mungu walioletwa Tanzania kwa makusudi Maalum , Amenukuliwa huko Twitter akipinga POLISI KUFANYA KAZI KWA MATAKWA YA SIMBACHAWENE .
Mh Lema anadai mpaka sasa mtoto wa Simbachawene aliyedaiwa kudharau vyombo vya dola angali anashikiliwa Selo , jambo ambalo Lema analitafsiri kama ni uvunjifu wa KATIBA YA NCHI NA SHERIA ZILIZOPO , amesikitishwa sana kwa Jeshi la Polisi kuifanyia kazi kauli ya Simbachawene badala ya PGO , Pamoja na Sirro kung'olewa lakini bado shida ziko palepale .
Ni kweli kwamba mtoto wa Simbachawene amekosea lakini Haki zake zinapaswa kulindwa , Kosa alilotenda lina dhamana , lakini hadi sasa bado yuko rumande kwa vile tu Polisi wanamsikiliza Simbachawene , Mtoto akishazaliwa ni Mali ya Nchi , Ndio maana huwezi kuua mwanao tukakuacha , ni lazima tukukamate .
Binafsi nampongeza Lema kwa jambo hili na kiukweli MTOTO WA SIMBACHAWENE ASHUGHULIKIWE KWA MUJIBU WA SHERIA NA SI KWA MATAKWA YA SIMBACHAWENE , tukiruhusu jambo hili tutakuwa Wajinga sana , Maana siku Simbachawene akisema mwachieni basi tutamuachia bila hata kufuata Taratibu .
Alisema ameota jiwe hatoboi mwaka baada ya uchaguziLema ni Nabii wa nani?
Kwa hiyo ukiota unakuwa Nabii?Alisema ameota jiwe hatoboi mwaka baada ya uchaguzi