Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Nabii wa MunguLema ni Nabii wa nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nabii wa MunguLema ni Nabii wa nani?
Miccm bendera fuata upepoKuna pweinti hapa
Je Jiwe alitoboa ?Kwa hiyo ukiota unakuwa Nabii?
Mzee alitoa neno akiwa na tension. But dogo hana ana kosa na polisi wali provoke afanye makosa zaidiYaani mi naona hata Simbachawene alikosea kutoa kauli ya namna ile. Je angekuwa mtoto wa mtu masikini asiyekuwa kiongozi polisi wangesubiri amri ya baba yake aliyepo kijiji cha simba dume atoe press kuwa mwanae ashughulikiwe? Pia je kama dogo alikuwa na ugomvi binafsi na hao polisi then unasema eti mwanao ashughulikiwe? Yaani hapo mi naona huyo baba hakutumia hekima
Muue mwanao alafu serikali ikuache basiLema akamueekee dhamana. Baba kaamua kumfunza mtoto wake wewe unasema anakomolewa.
Ulitakaje sasa amepelekwe mahakamani akahukumiwe? Akae rumande jamii ikisahau atolewe akaendelee kula batraa! SimpleMh Godbless Lema ambaye anatajwa pia kama miongoni mwa Manabii wa Mungu walioletwa Tanzania kwa makusudi Maalum , Amenukuliwa huko Twitter akipinga POLISI KUFANYA KAZI KWA MATAKWA YA SIMBACHAWENE .
Mh Lema anadai mpaka sasa mtoto wa Simbachawene aliyedaiwa kudharau vyombo vya dola angali anashikiliwa Selo , jambo ambalo Lema analitafsiri kama ni uvunjifu wa KATIBA YA NCHI NA SHERIA ZILIZOPO , amesikitishwa sana kwa Jeshi la Polisi kuifanyia kazi kauli ya Simbachawene badala ya PGO , Pamoja na Sirro kung'olewa lakini bado shida ziko palepale .
Ni kweli kwamba mtoto wa Simbachawene amekosea lakini Haki zake zinapaswa kulindwa , Kosa alilotenda lina dhamana , lakini hadi sasa bado yuko rumande kwa vile tu Polisi wanamsikiliza Simbachawene , Mtoto akishazaliwa ni Mali ya Nchi , Ndio maana huwezi kuua mwanao tukakuacha , ni lazima tukukamate .
Binafsi nampongeza Lema kwa jambo hili na kiukweli MTOTO WA SIMBACHAWENE ASHUGHULIKIWE KWA MUJIBU WA SHERIA NA SI KWA MATAKWA YA SIMBACHAWENE , tukiruhusu jambo hili tutakuwa Wajinga sana , Maana siku Simbachawene akisema mwachieni basi tutamuachia bila hata kufuata Taratibu .
Sio poa kabisaNi kweli kwamba mtoto wa Simbachawene amekosea lakini Haki zake zinapaswa kulindwa , Kosa alilotenda lina dhamana , lakini hadi sasa bado yuko rumande kwa vile tu Polisi wanamsikiliza Simbachawene ,
Tuwe tu reaslistic... kukandamiza haki kwa sababu zozote zile ni ukatili! Tatizo wengi tuna mentality za kuwapa polisi mandate ya kukandamiza haki.Lema akamueekee dhamana. Baba kaamua kumfunza mtoto wake wewe unasema anakomolewa.
Nyie ndio mnaamini Chadema ni ya Wachagga peke yenuMiccm bendera fuata upepo
Kwa jeuri ile akomolewe tuMh Godbless Lema ambaye anatajwa pia kama miongoni mwa Manabii wa Mungu walioletwa Tanzania kwa makusudi Maalum , Amenukuliwa huko Twitter akipinga POLISI KUFANYA KAZI KWA MATAKWA YA SIMBACHAWENE .
Mh Lema anadai mpaka sasa mtoto wa Simbachawene aliyedaiwa kudharau vyombo vya dola angali anashikiliwa Selo , jambo ambalo Lema analitafsiri kama ni uvunjifu wa KATIBA YA NCHI NA SHERIA ZILIZOPO , amesikitishwa sana kwa Jeshi la Polisi kuifanyia kazi kauli ya Simbachawene badala ya PGO , Pamoja na Sirro kung'olewa lakini bado shida ziko palepale .
Ni kweli kwamba mtoto wa Simbachawene amekosea lakini Haki zake zinapaswa kulindwa , Kosa alilotenda lina dhamana , lakini hadi sasa bado yuko rumande kwa vile tu Polisi wanamsikiliza Simbachawene , Mtoto akishazaliwa ni Mali ya Nchi , Ndio maana huwezi kuua mwanao tukakuacha , ni lazima tukukamate .
Binafsi nampongeza Lema kwa jambo hili na kiukweli MTOTO WA SIMBACHAWENE ASHUGHULIKIWE KWA MUJIBU WA SHERIA NA SI KWA MATAKWA YA SIMBACHAWENE , tukiruhusu jambo hili tutakuwa Wajinga sana , Maana siku Simbachawene akisema mwachieni basi tutamuachia bila hata kufuata Taratibu .
Hivi unaelewa kinachojadiliwa hapa au ndo Mayele lete Mzungu?Lema akamueekee dhamana. Baba kaamua kumfunza mtoto wake wewe unasema anakomolewa.
[emoji38][emoji38][emoji38]Hivi unaelewa kinachojadiliwa hapa au ndo Mayele lete Mzungu?
Ni udhaifu mkubwa kwa serikali na inaashiria polisi huwa wanafanya kazi kwa maelekezo ya viongozi orherwise polisi hawana uhuru. Yeye hakupaswa kusema mwanae asulibiwe na kibaya hakuna kauli iliyorekodiwa mtoto anajitapa. Kingine inawezekana kuna mkeka wa baraza la mawaziri walirenga kumdhalilisha Simbachawene ili aondolewe kwenye mkeka.Simba chawene kakosea wapi? Maana yeye alisema polisi wafanyekazi kwa mujibu wa sheria na wasiogope kufanya kazi Yao. Apo ni kosa la polisi kama wamekiuka Sheria ni wao na si baba mtu
Ushaanza sasa, Wewe ndio unayefanya Bangi ionekane Haina MaanaNyie ndio mnaamini Chadema ni ya Wachagga peke yenu
Hahaha.......!Ushaanza sasa, Wewe ndio unayefanya Bangi ionekane Haina Maana
Very point...hahaKuna pweinti hapa
Hizi hoja zinakuzidi uwezo mkuu, hapa hatujadili Yanga na Simba make huko ndio unako wezaMapichapicha; Lema kakosa kazi ya kufanya!?
Simba chaweni ndo sheria? Nyie ndo mtachelewesha sana mageuzi nchi hiiSimba chawene kakosea wapi? Maana yeye alisema polisi wafanyekazi kwa mujibu wa sheria na wasiogope kufanya kazi Yao. Apo ni kosa la polisi kama wamekiuka Sheria ni wao na si baba mtu
Yaani mi naona hata Simbachawene alikosea kutoa kauli ya namna ile. Je angekuwa mtoto wa mtu masikini asiyekuwa kiongozi polisi wangesubiri amri ya baba yake aliyepo kijiji cha simba dume atoe press kuwa mwanae ashughulikiwe? Pia je kama dogo alikuwa na ugomvi binafsi na hao polisi then unasema eti mwanao ashughulikiwe? Yaani hapo mi naona huyo baba hakutumia hekima
Ni lazima.aseme sheria ifuatwe? Nyie ndio mtacheleweaha sana mageuzi make still vichwa vyenu vimejaa topeBaba mzazi kasema sheria ifuatwe..
Sheria inasema hakuna alie juu ya sheria..
wewe unataka atetewe..