Godbless Lema: Mtoto wa Simbachawene asikomolewe kwa sababu ya matakwa ya Baba yake

Hao wamevimbiwa tozo achana nao, mwanasiasa akikwambia twende kushoto wewe nenda kulia wote utawakuta huko.

Uchungu wa Mwana aujuwaye mzazi usidanganyike, yule mtoto ana mama yake na mama ana nguvu yake Kwa mume wake ulielewe hili, na ukute ndio mtoto kipenzi cha mama nyumbani hakukaliki huyo George Simbachawene atatukanwa kama mtoto Mdogo mpaka mtoto wa mama awe huru.
 

Kwani wakili wao msomi Robert Kidando ni dhidi ya haki tu?
 
akili ndogo kweli kweli wewe....hii movie ndio kwanza imeanza.
 
Hahaha eti mtoto akishazaliwa ni mali ya nchi, wakati yeye (Lema) kakimbizia kuanzia Watoto, Mke mpaka yeye mwenyewe Kanada, au yeye na watoto wake siyo mali ya nchi?
We ni kilaza namba moja afrika sema amen
 
asiyefunza na baba/mama yake hufunzwa na ulimwenguuu ...... huenda nyumbani ameshindikana
 
Lema ni Nabii wa nani?
 
Mbona mzazi pia kasema sheria ichukue mkondo wake! Au mi sikuelewa
 
Ilikua lazima mheshimiwa aoneshe msimamo Kama ule mbele ya umma.
Vipi Kama angenyamaza?watu wangekuja namaneno kwamba mzee kabariki ndoman yupo kimya.
Vipi angeonekana kumtetea mwanae hadharani? Watu wangeibuka nahasira kwamba viongozi ndivyo walivyo kutetea watoto wao.
Nini kitafanyika Sasa? Simbachawene Kama kiongozi katoka hadharani kuwataka polisi wafate sheria... yupo sahihi.
Baada yahapo?, Simbachawene anabaki kuwa mzazi wa kijana.Taratibu zakumsaidia kijana Kama mwanae lazima zifanyike nahizi sio za hadharani tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…