Godbless Lema na John Mrema wameizungumzia vizuri sana hii ishu ya Mikopo na Ndugai

Ukiangalia wanasiasa wetu nao wa ovyo ovyo kabisa! Hata Chadema kwanini mlimfukuza Dr Slaa na kumweka Lowassa?
Yaani nyie ndo tatizo haswa maana hamna misingi endelevu imara ya kichama,
Yaani leo hii Ndugai manesema ni tatizo akisema nahamia Chadema, ni dhahiri shahiri mnampa urais!
 

Aliongea lugha ambayo unadhani tunapata shida kuielewa hadi utueleweshe alichomaanisha?
 
Kwa akili zako hizi hautoshi kujua uwezo wa Ndugai. Mtu ambae hata huelewi kanuni za msingi za kiuandishi unawezaje kumpima Ndugai?


Ni kweli ulichosema kuhusu uandishi wa huyo mdau, lakini Ndugai hana akili hizo, ndio maana anatumia nguvu nyingi kuliko akili. Kwa bahati mbaya unadhani Ndugai ana akili sana maana ni spika. Ingekuwa hilo bunge linajitambua, mtu kama Ndugai sio tu kuwa spika, bali hata kuwa mbunge ni aibu.
 
Ssh haijengi Dom kwafujo hata hapendi kukaa hiyo kitu inamchoma ndugyai...pia alitamani yeye apewe kiti baada ya msiba lakini wapi!!! Ameanza kubutua mipira hovyo
 
Rais anashindwa kusismamia serikali.

Mapengo ya pesa yako nje nje.
 
Very good point,na hiyo ndiyo maana halisi ya maneno ya mzee Ndugai.Sisi tunao kwenda mbele zaidi ya hayo, ni udadavuzi batili.
 

Tanzania kuna wapinzani uchwara sana, ndio maana wanaendeshwa sana na matukio kesho likitokea jingine tu utawaona wanavyo dandia.

Hawaeleweki ajenda yao hasa ninini, nahizi ni dalili za kukwama, sasa wanaangalia namna yoyote ya kujipendekeza tu ili wapate tension kwa mama.
 
Tatizo la ndugai ,uwezo wake ni mdogo sana alifika pale kwa bahati,alitakiwa kufanya kazi huko mbugani kulinda viboko na tembo na sio kuongoza watu
Haya mambo huwa tunasema ONLY IN TANZANIA!
Ndugai kasomea taaluma ya kusimamia Wanyama Pori pale MWIKA WILDLIFE MANAGEMENT.....Leo unampa kazi ya HUMAN RESOURCES MANAGEMENT....wapi na wapi?? Ndiyo maana WABUNGE WOTE iwe upinzani au CCM anawa treat kama Wanyama......Nonsense!
 
Na sio tuu ndani ya chama chake bali sehemu kubwa ya jamii ya Tzn ina watu wenye akili kisoda kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…