Pre GE2025 Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumbe alisharudi bongo!
Hata hivyo kuna kitu nyuma ya maombi haya ! Ngojea tuone.
 
Haya yote mnayajua baada ya Lisu kutaka Uenyekiti?

Mlimpa Umakamu akiwa wapi?

Ni hasara sana kwa wazazi waliowazaa na kuwasomesheni.
Kwaajili ya propaganda za wakina lisu na mbowe ndio iwe hasara kwa mzazi wake!
Tupo serious kweli?
 
Wanaweweseka na wanajua huenda yule kibaraka wao asishinde uchaguzi
 
nabii mnyang'anyi mashuhuri wa malori hana ushawishi wala credibility ya kuskizwa na wanachadema kuelekea uchaguzi wao muhimu wa kitaifa,

nadhani inafaa zaidi aendelee kupuuzwa kama alivyo puuzwa na wana Arusha wa chadema πŸ’
 
Machame oyee, Machame safii, Embu mwangalie jirani yako mwambie mimi ni mmachame.
Wamachame wabinafsi sana,hawawapendi hata wachaga wa jamii zingine,pale njia panda machame,barabara ya arusha,kuna maduka ya vibanda ni wamachame tupu,hadi boda,ukienda mchaga wa jamii nyingine unaibiwa vitu vyako vyote,unaweza usiuze hata 100.
ukipeleka daladala yako machame to moshi mjini,hupati hata abiria mmoja kama sio mmachame..
 
Duuu. Aisee. Hatari mno.
 
hata akishinda,heshima kwa watu na wanachama haitakuwepo kama zamani,mengi yamesemwa juu yake,kama anabusara,angejitoa tu.
 
mh!
hahahahahahahahahahaahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…