Pre GE2025 Godbless Lema: Namuomba Mbowe apumzike, amuachie Lissu afanye kazi ya Uenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
waende naye tu, chadema mpya inahitajika
 

..utamaduni wa kuona kila aliyenacho ni mwizi, mhujumu, fisadi, ni matokeo ya sera za kijamaa za Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.

..Ni kitu gani kilimtokea Baba wa Taifa mpaka akafikia kuwa na sera za kijamaa zinazojenga chuki na kutweza wale wenye nacho?
 
Nje ya siasa.
Huu uchaguzi wa chadema umenipa funzo kubwa sana kuhusu binadamu.

Binadamu ni kiumbe Cha ajabu sana! Nimefunza pa kubwa!

Najaribu kuwaza, FAM akishinda Hali itakuwaje katika chama?
percentage ya kushinda mbowe inazidi kupungua kadri siku zinavyoenda kuelekea uchaguzi huo, labda ashinde ki namna
 
kwa vibe hili mbowe atashinda? Hebu acha utani!
 
Mnachanganya nafasi ya Mkuu wa nchi na Mwenyekiti wa chama cha siasa. Ingawa nchi yetu ina ukomo wa mtu kuwarais lakini vyama vingi vya siasa havina ukomo wa kuwa kiongozi. Hata CCM haina ukomo. Hata nchi kama Marekani hazina ukomo wa Mwenyekiti wa chama cha siasa. Kuna sababu ya kutaka nafasi ya Amiri Jeshi Mkuu kuwa na ukomo. Amiri Jeshi Mkuu anaweza kutumia dola kubaki madarakani asipowekewa ukomo. Hizo nguvu, Mwenyekiti wa Chama cha siasa hana.

Mbowe ana haki ya kugombea kwa vile Katiba ya Chadema haina huo ukomo. Mnapotaka asigombee mnakuwa mnataka kumnyima haki yake ya kikatiba.

Ya Chacha Wangwe siijui ila najua aliyesimamia suala la Zitto na wenzake kuvuliwa uanachama ni Lissu. Hata kesi alisimamia yeye.

Kwani nani kasema Lema kavunja Katiba? Kama vile alivyo na haki ya kutoa msimamo wake hadharani ndio vile na sisi tuna haki ya kumkosoa.

Amandla...
 
Shukran sana Mh Lema kutoka hadharani. Hii ni move nzuri kwa wapenda mabadiliko. Sasa Mbowe ajione kabisaa jinsi alivyochemsha. Mh Mbowe sijui alishikwa wapi, ila yeye kuside na watawala —amechemsha sana. Wananchi wanaona kila kitu.. Sijui alidhani watu ni wajinga!!
 
Lema na team Lisu acheni kelele wacheni sanduku la kura wapiga jura waamue

Mbona mna makelele sana mnataka Lisu apate ushindi wa mezani sio sanduku la kura mnaogopa nini?

Wqpiga kura walio wengi acheni waamue
It's very simple. Ukiona ambaye anaungwa mkono na ccm basi ujue huyo hafai hata bure na moja kwa moja ujue ni kibaraka wao.
 
Mithali 26:27
Achimbaye shimo atatumbukia mwenyewe; Naye abingirishaye jiwe litamrudia.

Mungu hadhihakiwi, na mwishowe yatakayo wakuta nyie wenyewe mtajua hamjui
 
Kumbe kulikukwa na mkakati maalum ulio sukwa na viongozi waandamizi wa Chadema ili kumg'oa Kamanda Mbowe.
Ukimsikiliza Lema utabaini njama hizo.
Mbowe usikubali kuondolewa kwa njama na hila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…