waende naye tu, chadema mpya inahitajikaVyama vya kisiasa vinategemea sana good will za watu. Sio tu kwa kura bali na rasilimali watu ( ushauri n.k.) na fedha. Mbowe amejijenga sana. Bila shaka kuna watu wanamchangia pesa kwa sababu wana imani nae. Kuna watu wanampa ushauri wa nini cha kufanya. Hawa wote wanafanya hivyo kwa sababu wana imani nae. Unadhani wataendelea kuwa na moyo wa kushirikiana na CDM baada ya kuona walivyomtendea Mbowe? Thubutu.
Amandla...
Nyerere alikuwa na rasimali watu ambao ni kama baba yake Mbowe alihakikisha anapata suti nzuri kwenda kwenye mambo ya kudai uhuru.Hapa tuelewane kama huna hela lazima utakuwa na marafiki wenye hela hata kama ni kidogo.Ila kama huna na marafiki zako hawana.Utaona kila aliye nacho ni fisadi.
mbowe bye byeUchaguzi ukiisha, lissu na nabii wake wapewe mkono wa kwaheli. Maana naona sasa hawamuheshimu menyekiti chama.
percentage ya kushinda mbowe inazidi kupungua kadri siku zinavyoenda kuelekea uchaguzi huo, labda ashinde ki namnaNje ya siasa.
Huu uchaguzi wa chadema umenipa funzo kubwa sana kuhusu binadamu.
Binadamu ni kiumbe Cha ajabu sana! Nimefunza pa kubwa!
Najaribu kuwaza, FAM akishinda Hali itakuwaje katika chama?
kwa vibe hili mbowe atashinda? Hebu acha utani!Uchaguzi ukiisha yeye na Lisu wanahama Chadema na makelele hay
yao
Mbowe bigwa walitaka kumpindua akiwa gerezani sasa kawaibukia sanduku.la kura kuwa njooni tupambane sanduku la kura
Wanapiga miyowe kibao wanajua Mbowe anaenda kuwabwaga sanduku la kura
Mnachanganya nafasi ya Mkuu wa nchi na Mwenyekiti wa chama cha siasa. Ingawa nchi yetu ina ukomo wa mtu kuwarais lakini vyama vingi vya siasa havina ukomo wa kuwa kiongozi. Hata CCM haina ukomo. Hata nchi kama Marekani hazina ukomo wa Mwenyekiti wa chama cha siasa. Kuna sababu ya kutaka nafasi ya Amiri Jeshi Mkuu kuwa na ukomo. Amiri Jeshi Mkuu anaweza kutumia dola kubaki madarakani asipowekewa ukomo. Hizo nguvu, Mwenyekiti wa Chama cha siasa hana.Yeye ndio anajivunjia Heshima kwa kutokusoma alama Za Nyakati, Mjadala wa JPM tu kutaka Kuongeza terms kwenye ofisi mlipiga kelele kweli kweli leo mbowe amekuwa chairman for 21 Yrs bado mnataka tu aendelee, Kwa nafasi yake pia anaona akiwa challenged na Mgombes yoyote anaona ni Kuvunjiwa heshima mana miaka yote amekuwa kama Mgombea pekee tu na kufanyia Figisu wenzie refer issue za Kina Chacha Wangwe na Zito,
Sasa leo amepata Opponent ndio analeta story za Kuvunjiwa heshima apambane na Platform hio na alichosema leo Lema hakijavunja Katiba ya chama ni maoni yake na kama Mwanachama ni haki yake kutangaza mgombea anayetaka
Acha UONGO.Heche ni Mjaluo wa Kenya ( Makamu Mwenyekiti)
mpaka sasa lissu anaongoza, shangaa kura hazijapigwa!Wanaweweseka na wanajua huenda yule kibaraka wao asishinde uchaguzi
BAVICHA imeenda Ugogoni.BAZECHA tayari ishaenda UCHAGANI
😏Acha UONGO.
Heche siyo Mjaluo wala siyo Mkenya, ni Mtanzania
He’s very intelligentLema akili ipo aisee, kama kuna siku nilikusema vibaya nisamehe
The ccm lice at his best.Chadema kila mchagga ni msemaji wa hii SACCOS
It's very simple. Ukiona ambaye anaungwa mkono na ccm basi ujue huyo hafai hata bure na moja kwa moja ujue ni kibaraka wao.Lema na team Lisu acheni kelele wacheni sanduku la kura wapiga jura waamue
Mbona mna makelele sana mnataka Lisu apate ushindi wa mezani sio sanduku la kura mnaogopa nini?
Wqpiga kura walio wengi acheni waamue
Mithali 26:27Iwapo team TAL,itashinda uchaguzi, Baada ya uchaguzi huu wa chadema kumalizika,kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu 2025.
Ninashauri serikali ya CCM kujenga magereza na vituo vya polisi vingi kwani idadi ya wafungwa na wakamatwaji itaongezeka kwa asilimia 1000
Mangi wamesala 😂😂👇👇Kumbe kulikukwa na mkakati maalum ulio sukwa na viongozi waandamizi wa Chadema ili kumg'oa Kamanda Mbowe.
Ukimsikiliza Lema utabaini njama hizo.
Mbowe usikubali kuondolewa kwa njama na hila.