LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Juzi kakiri wazi rafiki yake ni abdulWenje sio Project ya Serikali ni Project ya RUSHWA za CCM.
Tutaambia nini Wananchi wakati CHADEMA wenyewe tunakula RUSHWA?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi kakiri wazi rafiki yake ni abdulWenje sio Project ya Serikali ni Project ya RUSHWA za CCM.
Tutaambia nini Wananchi wakati CHADEMA wenyewe tunakula RUSHWA?!
Na Hawa wengine wanagombea matumbo Yao au kuwapambania Wananchi? Hawa thwaite project ya nani? 😂😂👇👇
View: https://www.instagram.com/reel/DEzlOTmCq59/?igsh=MTJmODg1b2NjemZ5ZQ==
Mkuu, naona kama lisu akishinda anaweza kurudi CHADEMA, maana kero dhidi yake itakuwa haupo.Ukimuangalia Msigwa, alienda kama hasira tu lakini Msigwa hawezi kuwa na raha huko.
Pia huko bado yupo kikaangoni anachunguzwa kabla ya kupewa cheo, akijichanganya tu hapewi na mwisho wa siku atarudi upinzani
Alikataliwa au alidhulumiwa. Na vp gambo una muonaje..?akili za kuambiwa changanya na zako lema,
kiburi na kukariri mambo kimekufanya ukataliwe arusha![]()
Mkuu, tume elewa sasaSioni tatizo lolote Wenje kuwa project ya Serikali Kwa sababu alipokuwa Waziri Kivuli wa foreign affairs alikuwa ni Msaidizi wa Waziri na kipindi hicho Waziri alikuwa Mwendazake Kamilius Membe
Sasa cha ajabu ni nini hapo?!
Ahsanteni sana 🐼
Hiyo ndio shida ya kuwa na kamasi kichwani.Hahaaa. Lema kashajipotezea kila. Ubunge hayumo, uongozi hayumo, kabaki baking tu
alidhulumu malori ya watu sana, acha apate akili nae?Alikataliwa au alidhulumiwa. Na vp gambo una muonaje..?

Sawq bwana ngederealidhulumu malori ya watu sana, acha apate akili nae?![]()
Mtasubiri sana Mbowe must go !!!Aiseeee noma sana ,ngoja tuone hiyo tar 21 ,TAL na team yake wakiangukia Pua.
Mtasubiri sana Mbowe must go !!!
Kura tayari zipo za kutosha tunasubiria tu 21st January tukate mzizi wa fitna.Nenda kapige kura mkuu ,hawezi kuondoka kwa kura za ONLINE.
Kama hivyo sawa.Kura tayari zipo za kutosha tunasubiria tu 21st January tukate mzizi wa fitna.
Malaya wa kisiasaLissu akishinda, atarudi tu chadema
Tatizo liko wapi TL kulipwa stahiki zake, Abdul, Wenje na mama Abdul walitaka wampe pesa, rushwa kwa masharti.
Hiyo ni aina moja ya kupinga rushwa nchini. Ameongelea kuhusu rushwa kwenye chaguzi nyingi za ndani. TL anajaribu kukiokoa chama, nchi iwe na upinzani wa kweli. Hayo ni maslahi ya Taifa.
Atapambana zaidi kudai katiba mpya, tume huru akiwa mwenyekiti kwa maslahi ya Taifa. Hatakubali maridhiano feki wala kulamva h
Hakuna hela ya bure dunianiTatizo liko wapi TL kulipwa stahiki zake, Abdul, Wenje na mama Abdul walitaka wampe pesa, rushwa kwa masharti.
Hiyo ni aina moja ya kupinga rushwa nchini. Ameongelea kuhusu rushwa kwenye chaguzi nyingi za ndani. TL anajaribu kukiokoa chama, nchi iwe na upinzani wa kweli. Hayo ni maslahi ya Taifa.
Atapambana zaidi kudai katiba mpya, tume huru akiwa mwenyekiti kwa maslahi ya Taifa. Hatakubali maridhiano feki wala kulamva asali.
Ooooooh.....una IDs mbili? Huwa zinawasaidia nini.barking
Kumbe shida ni wao Icons kuondolewa kwenye uongozi? Shida sio uongozi mbaya bali ni wao kujiona kuwa ndio wanaostahili kuongoza chama?Leo Ndugu Lema kafunguka mengi sana kuhusu hali ya kisiasa nchini. Miongoni mwa aliyoyazungumza leo ni kuwa katika watu hatari kwa mustakbali wa CHADEMA ni Wenje.
Amesema kipindi Wenje kachukua fomu ya umakamu mwenyenyekiti alijaribu kumconsult Wenje kuhusu jambo hilo na kumshauri asitishe press conference yake aliyokuwa ameipanga kutangaza jambo hilo akihofia kuwa upepo wa kisiasa kwa wakati huo haukuwa mzuri. Alipojaribu kupigia simu Mbowe ili amshauri Wenje asitishe press hiyo, Mbowe akampiga danadana, alipompigia Boni Yai ili naye amshauri Mbowe aexert influence yake kwa Mbowe kutojana na ukaribu wao wa siku hizi Boni Yai akasema kuwa Wenje ni project ya serikali.
Wakati huohuo Lema akasema kuwa ulikuwepo mpango mkakati wa kuondoa Icons na watu influential kutoka ktk ranks za uongozi ndani ya chama. Miongini mwa walengwa walikuwa ni pamoja na Heche, Yeye, Msigwa na Lissu.
Sijui. Au bado una swali lingine?Kwani Nabii ni nani?...
mi nimemsaidia jamaa hapo sijajua unazungumzia IDs zipiOoooooh.....una IDs mbili? Huwa zinawasaidia nini.
Sasa mtu ambaye hajakataa kupewa pesa na Abdul tujiulize alipewa pesa ya nini?Leo Ndugu Lema kafunguka mengi sana kuhusu hali ya kisiasa nchini. Miongoni mwa aliyoyazungumza leo ni kuwa katika watu hatari kwa mustakbali wa CHADEMA ni Wenje.
Amesema kipindi Wenje kachukua fomu ya umakamu mwenyenyekiti alijaribu kumconsult Wenje kuhusu jambo hilo na kumshauri asitishe press conference yake aliyokuwa ameipanga kutangaza jambo hilo akihofia kuwa upepo wa kisiasa kwa wakati huo haukuwa mzuri. Alipojaribu kupigia simu Mbowe ili amshauri Wenje asitishe press hiyo, Mbowe akampiga danadana, alipompigia Boni Yai ili naye amshauri Mbowe aexert influence yake kwa Mbowe kutojana na ukaribu wao wa siku hizi Boni Yai akasema kuwa Wenje ni project ya serikali.
Wakati huohuo Lema akasema kuwa ulikuwepo mpango mkakati wa kuondoa Icons na watu influential kutoka ktk ranks za uongozi ndani ya chama. Miongini mwa walengwa walikuwa ni pamoja na Heche, Yeye, Msigwa na Lissu.
Kumbe shida ni wao Icons kuondolewa kwenye uongozi? Shida sio uongozi mbaya bali ni wao kujiona kuwa ndio wanaostahili kuongoza chama?
Hivi kama wanaona Lissu anastahili kuwa Mwenyekiti kwa nini hakutaka Wenje ashindane nae?
Amandla...