Pre GE2025 Godbless Lema: Niliambiwa na Boniface Jacob (Boni Yai) kuwa Wenje ni Project ya serikali

Pre GE2025 Godbless Lema: Niliambiwa na Boniface Jacob (Boni Yai) kuwa Wenje ni Project ya serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukimuangalia Msigwa, alienda kama hasira tu lakini Msigwa hawezi kuwa na raha huko.

Pia huko bado yupo kikaangoni anachunguzwa kabla ya kupewa cheo, akijichanganya tu hapewi na mwisho wa siku atarudi upinzani
Mkuu, naona kama lisu akishinda anaweza kurudi CHADEMA, maana kero dhidi yake itakuwa haupo.
 
Sioni tatizo lolote Wenje kuwa project ya Serikali Kwa sababu alipokuwa Waziri Kivuli wa foreign affairs alikuwa ni Msaidizi wa Waziri na kipindi hicho Waziri alikuwa Mwendazake Kamilius Membe

Sasa cha ajabu ni nini hapo?!

Ahsanteni sana 🐼
Mkuu, tume elewa sasa
 
Hahaaa. Lema kashajipotezea kila. Ubunge hayumo, uongozi hayumo, kabaki baking tu
Hiyo ndio shida ya kuwa na kamasi kichwani.

Mnahubiri kuwasaidia wananchi kumbe kichwani mnawaza kujinemesha matumbo yenu.
 
Tatizo liko wapi TL kulipwa stahiki zake, Abdul, Wenje na mama Abdul walitaka wampe pesa, rushwa kwa masharti.

Hiyo ni aina moja ya kupinga rushwa nchini. Ameongelea kuhusu rushwa kwenye chaguzi nyingi za ndani. TL anajaribu kukiokoa chama, nchi iwe na upinzani wa kweli. Hayo ni maslahi ya Taifa.

Atapambana zaidi kudai katiba mpya, tume huru akiwa mwenyekiti kwa maslahi ya Taifa. Hatakubali maridhiano feki wala kulamva h

Tatizo liko wapi TL kulipwa stahiki zake, Abdul, Wenje na mama Abdul walitaka wampe pesa, rushwa kwa masharti.

Hiyo ni aina moja ya kupinga rushwa nchini. Ameongelea kuhusu rushwa kwenye chaguzi nyingi za ndani. TL anajaribu kukiokoa chama, nchi iwe na upinzani wa kweli. Hayo ni maslahi ya Taifa.

Atapambana zaidi kudai katiba mpya, tume huru akiwa mwenyekiti kwa maslahi ya Taifa. Hatakubali maridhiano feki wala kulamva asali.
Hakuna hela ya bure duniani
 
Leo Ndugu Lema kafunguka mengi sana kuhusu hali ya kisiasa nchini. Miongoni mwa aliyoyazungumza leo ni kuwa katika watu hatari kwa mustakbali wa CHADEMA ni Wenje.


Amesema kipindi Wenje kachukua fomu ya umakamu mwenyenyekiti alijaribu kumconsult Wenje kuhusu jambo hilo na kumshauri asitishe press conference yake aliyokuwa ameipanga kutangaza jambo hilo akihofia kuwa upepo wa kisiasa kwa wakati huo haukuwa mzuri. Alipojaribu kupigia simu Mbowe ili amshauri Wenje asitishe press hiyo, Mbowe akampiga danadana, alipompigia Boni Yai ili naye amshauri Mbowe aexert influence yake kwa Mbowe kutojana na ukaribu wao wa siku hizi Boni Yai akasema kuwa Wenje ni project ya serikali.

Wakati huohuo Lema akasema kuwa ulikuwepo mpango mkakati wa kuondoa Icons na watu influential kutoka ktk ranks za uongozi ndani ya chama. Miongini mwa walengwa walikuwa ni pamoja na Heche, Yeye, Msigwa na Lissu.
Kumbe shida ni wao Icons kuondolewa kwenye uongozi? Shida sio uongozi mbaya bali ni wao kujiona kuwa ndio wanaostahili kuongoza chama?

Hivi kama wanaona Lissu anastahili kuwa Mwenyekiti kwa nini hakutaka Wenje ashindane nae?

Amandla...
 
Leo Ndugu Lema kafunguka mengi sana kuhusu hali ya kisiasa nchini. Miongoni mwa aliyoyazungumza leo ni kuwa katika watu hatari kwa mustakbali wa CHADEMA ni Wenje.


Amesema kipindi Wenje kachukua fomu ya umakamu mwenyenyekiti alijaribu kumconsult Wenje kuhusu jambo hilo na kumshauri asitishe press conference yake aliyokuwa ameipanga kutangaza jambo hilo akihofia kuwa upepo wa kisiasa kwa wakati huo haukuwa mzuri. Alipojaribu kupigia simu Mbowe ili amshauri Wenje asitishe press hiyo, Mbowe akampiga danadana, alipompigia Boni Yai ili naye amshauri Mbowe aexert influence yake kwa Mbowe kutojana na ukaribu wao wa siku hizi Boni Yai akasema kuwa Wenje ni project ya serikali.

Wakati huohuo Lema akasema kuwa ulikuwepo mpango mkakati wa kuondoa Icons na watu influential kutoka ktk ranks za uongozi ndani ya chama. Miongini mwa walengwa walikuwa ni pamoja na Heche, Yeye, Msigwa na Lissu.
Sasa mtu ambaye hajakataa kupewa pesa na Abdul tujiulize alipewa pesa ya nini?
 
Kumbe shida ni wao Icons kuondolewa kwenye uongozi? Shida sio uongozi mbaya bali ni wao kujiona kuwa ndio wanaostahili kuongoza chama?

Hivi kama wanaona Lissu anastahili kuwa Mwenyekiti kwa nini hakutaka Wenje ashindane nae?

Amandla...

Sasa unadhani kuna taasisi inanawiri bila competent, experienced human resource?
 
Back
Top Bottom