kiss daniel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 758
- 2,062
Mbowe alizoea kupita bila kupingwa kumbe ni mwepesi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa karati hii, Msigwa huko CCM,kupewa cheo au nafasi ni ndoto!
Smart Gin @ workSioni tatizo lolote Wenje kuwa project ya Serikali Kwa sababu alipokuwa Waziri Kivuli wa foreign affairs alikuwa ni Msaidizi wa Waziri na kipindi hicho Waziri alikuwa Mwendazake Kamilius Membe
Sasa cha ajabu ni nini hapo?!
Ahsanteni sana 🐼
Na Hawa wengine wanagombea matumbo Yao au kuwapambania Wananchi? Hawa thwaite project ya nani? 😂😂👇👇Leo Ndugu Lema kafunguka mengi sana kuhusu hali ya kisiasa nchini. Miongoni mwa aliyoyazungumza leo ni kuwa katika watu hatari kwa mustakbali wa CHADEMA ni Wenje.
Amesema kipindi Wenje kachukua fomu ya umakamu mwenyenyekiti alijaribu kumconsult Wenje kuhusu jambo hilo na kumshauri asitishe press conference yake aliyokuwa ameipanga kutangaza jambo hilo akihofia kuwa upepo wa kisiasa kwa wakati huo haukuwa mzuri. Alipojaribu kupigia simu Mbowe ili amshauri Wenje asitishe press hiyo, Mbowe akampiga danadana, alipompigia Boni Yai ili naye amshauri Mbowe aexert influence yake kwa Mbowe kutojana na ukaribu wao wa siku hizi Boni Yai akasema kuwa Wenje ni project ya serikali.
Wakati huohuo Lema akasema kuwa ulikuwepo mpango mkakati wa kuondoa Icons na watu influential kutoka ktk ranks za uongozi ndani ya chama. Miongini mwa walengwa walikuwa ni pamoja na Heche, Yeye, Msigwa na Lissu.
Huoni alivyopungua uzito Lissu anamchezesha kiduku mwanzo mwishoMbowe alizoea kupita bila kupingwa kumbe ni mwepesi tu
ilala hajaja "kummaliza" Bali kuweka mambo bayani. Huwa ninawakubali sana watu wawazi wasio wanafiki.Kama kummaliza Mbowe, Lema leo amefanikiwa.
Bola usiwe na nafasi yoyote kuliko kuwa ndani ya CCM B, kuwahadaa wananchi kwamba kuna upinzani.Hahaaa. Lema kashajipotezea kila. Ubunge hayumo, uongozi hayumo, kabaki baking tu
Dah haamini macho yakeHuoni alivyopungua uzito Lissu anamchezesha kiduku mwanzo mwisho
Kwani Nabii ni nani?Eti makamanda uchwara wanamuita huyo jamaa nabii😁
Aende CCM A kama Msigwa akapige deki LumumbaBola usiwe na nafasi yoyote kuliko kuwa ndani ya CCM B, kuwahadaa wananchi kwamba kuna upinzani.
Leo Ndugu Lema kafunguka mengi sana kuhusu hali ya kisiasa nchini. Miongoni mwa aliyoyazungumza leo ni kuwa katika watu hatari kwa mustakbali wa CHADEMA ni Wenje.
Amesema kipindi Wenje kachukua fomu ya umakamu mwenyenyekiti alijaribu kumconsult Wenje kuhusu jambo hilo na kumshauri asitishe press conference yake aliyokuwa ameipanga kutangaza jambo hilo akihofia kuwa upepo wa kisiasa kwa wakati huo haukuwa mzuri. Alipojaribu kupigia simu Mbowe ili amshauri Wenje asitishe press hiyo, Mbowe akampiga danadana, alipompigia Boni Yai ili naye amshauri Mbowe aexert influence yake kwa Mbowe kutojana na ukaribu wao wa siku hizi Boni Yai akasema kuwa Wenje ni project ya serikali.
Wakati huohuo Lema akasema kuwa ulikuwepo mpango mkakati wa kuondoa Icons na watu influential kutoka ktk ranks za uongozi ndani ya chama. Miongini mwa walengwa walikuwa ni pamoja na Heche, Yeye, Msigwa na Lissu.
Atatumia nafasi yake hata kama asipokuwa na cheo chochote, kama Mtanzania huru kutetea maslahi mapana ya Taifa, kuwa upande wa watakaodai katiba mpya, Tume huru, kupinga ufisadi.Aende CCM A kama Msigwa akapige deki Lumumba
Anangojea apewe Ukatibu MkuuHahaaa. Lema kashajipotezea kila. Ubunge hayumo, uongozi hayumo, kabaki baking tu
Watu wa Lissu bwana, kila mtu nimeambiwa, nimeambiwa. Hata Lissu mwenyewe eti aliambiwa na marehemu! Ahahahahaha!!!Kama kummaliza Mbowe, Lema leo amefanikiwa.
Mwaka huu tutasikia mengiii!!🫢🫢🫢🫢Leo Ndugu Lema kafunguka mengi sana kuhusu hali ya kisiasa nchini. Miongoni mwa aliyoyazungumza leo ni kuwa katika watu hatari kwa mustakbali wa CHADEMA ni Wenje.
Amesema kipindi Wenje kachukua fomu ya umakamu mwenyenyekiti alijaribu kumconsult Wenje kuhusu jambo hilo na kumshauri asitishe press conference yake aliyokuwa ameipanga kutangaza jambo hilo akihofia kuwa upepo wa kisiasa kwa wakati huo haukuwa mzuri. Alipojaribu kupigia simu Mbowe ili amshauri Wenje asitishe press hiyo, Mbowe akampiga danadana, alipompigia Boni Yai ili naye amshauri Mbowe aexert influence yake kwa Mbowe kutojana na ukaribu wao wa siku hizi Boni Yai akasema kuwa Wenje ni project ya serikali.
Wakati huohuo Lema akasema kuwa ulikuwepo mpango mkakati wa kuondoa Icons na watu influential kutoka ktk ranks za uongozi ndani ya chama. Miongini mwa walengwa walikuwa ni pamoja na Heche, Yeye, Msigwa na Lissu.
Lengo kuichanganya Kambi ya mboweWananishangazaga hapo tu wanapotaja mpk chanzo hbr alipoipata!! " ........ Niliambiwa na ......"😂😂
Ulitaka aseme nimeoteshwa?Watu wa Lissu bwana, kila mtu nimeambiwa, nimeambiwa. Hata Lissu mwenyewe eti aliambiwa na marehemu! Ahahahahaha!!!
Lissu akishinda, atarudi tu chademaKwa karati hii, Msigwa huko CCM,kupewa cheo au nafasi ni ndoto!
Bila mbowe kuondoka kwenye uwenyekiti Bado chadema itakuwa na Hali ngumu.Chadema inahitaji kusafishwaKwa dalili zilizopo ni dhahiri chama kipya cha upinzani kipo njiani na soon kitatangazwa.
Huku kujilipua kwa viongozi waandamizi wa CHADEMA na kumpinga Mbowe hadharani ni wazi kabisa wanapakukimbilia tayari.
Lissu hawezi pata uenyekiti, not for as long as Mbowe yupo hai. Kupoteza uenyekiti kutamfanya Lissu aondoke CHADEMA maana damage aliyofanya ni kubwa tayari ya kumuumbua Mbowe.