Godbless Lema: Nilijitoa kwenye Join The Chain baada ya Mbowe kutoka gerezani na kuanza kujimilikisha hiyo kampeni

Godbless Lema: Nilijitoa kwenye Join The Chain baada ya Mbowe kutoka gerezani na kuanza kujimilikisha hiyo kampeni

Hivi hii tabia ya kuogopa uchaguzi imeanza lini?

Na ccm mtawaomba wawapishe wamekaa sana?

Katiba yenu Chadema inasemaje?

Chama kilichosheheni Wasomi na wanasheria mnashindwa kusoma katiba yenu?

Ndio maana inashangaza Lisu kuropoka mitaani wakati yeye ndio mamlaka ya nidhamu ndani ya chama kwa mujibu wa katiba.

Tutashtakiwa MIGA.
Duh.. Nakuona mdogoake Lucas Mwashambwa
 
Lema hana jipya,kwa hiyo alitaka Mwenyekiti wa Chama aliporudi asichukuwe nafasi alionayo? Taratibu zipoje ?
 
Wakuu,

Mambo yanaendelea kuwa moto.

Godbless anasema kuwa tuhuma za kwamba yeye na Lissu walikuwa wanataka kumpindua Mbowe kupitia kampeni ya Join The Chain ni za uongo kwani Mbowe pia alihusika katika kampeni hiyo.

Lema anasema kuwa ni kweli yeye ndo alihusika kuanzishwa kwa kampeni na alikuwa ni Mwenyekiti lakini mara tu Mbowe alipotoka gerezani, aliachishwa kupokea updates kuhusu kampeni hiyo na Mbowe akajimilikisha

Lema anasema kuwa baada ya Mbowe kujimilikisha kampeni hiyo aliamua kujitoa.


View attachment 3204346
maskini nabii mnyanganyi anateseka kujitetea 🤣

wenje sio mtu mzuri kabisa aise 🤣
 
Lema, Msigwa na Lissu mlipanga Mapinduzi haramu kumpindua Mwenyekiti Mbowe wakati yupo gelezani hilo halina ubishi.
Wewe ni snich mzee - afu wachaga hawanaga tabia za hivyo.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Halafu nimegunduwa viongozi wengi wanaojibrandi kama waadilifu mbele ya umma ni wabinafsi mno. Lema alitaka achukuwe majukumu ya Mbowe hata baada ya kutoka gerezani,huu ni ubinafsi
 
Hivi hii tabia ya kuogopa uchaguzi imeanza lini?

Na ccm mtawaomba wawapishe wamekaa sana?

Katiba yenu Chadema inasemaje?

Chama kilichosheheni Wasomi na wanasheria mnashindwa kusoma katiba yenu?

Ndio maana inashangaza Lisu kuropoka mitaani wakati yeye ndio mamlaka ya nidhamu ndani ya chama kwa mujibu wa katiba.

Tutashtakiwa MIGA.
Wee jamaa akili huna. Si umeshaambiwa kuwa mapendekezo ya kuitisha kikao cha maadili yanatolewa na kamati kuu? Kamati kuu team Mbowe ambao ni watuhmiwa wakubwa wa wizi na usanii wangekubali? Huwa unafuatilia mambo au unawasikiliza tu kina Wenje na Mbowe ambao ni wasanii??
 
Halafu nimegunduwa viongozi wengi wanaojibrandi kama waadilifu mbele ya umma ni wabinafsi mno. Lema alitaka achukuwe majukumu ya Mbowe hata baada ya kutoka gerezani,huu ni ubinafsi
Na mwenyeji aliyevamia "idea" ambayo hata hakujua inaelekeza nini, na kukata kuwashirikisha walioianzisha tumuweke kundi gani?
 
Wenje asimchokonoe tena huyu mtu amuache
Wamemuibia kichaa rungu. Lema nae anajidai ni mtu msafi.Kwa wasiomjua ni rahisi kuingia mkenge haswa anapojidai muhubiri.
Wiki moja iliyopita alihojiwa kuhusu kambi anayounga mkono akadai anangoja ufunuo kutoka kwa Mwenyezi Mungu.
Sasa hayo anayoyasema ndio huo ufunuo?Ni uzushi wa kitapeli.
 
Baada ya uchaguzi ni kufumua chama na kukijenga upya maana hakiko salama.
 
Hivi hii tabia ya kuogopa uchaguzi imeanza lini?

Na ccm mtawaomba wawapishe wamekaa sana?

Katiba yenu Chadema inasemaje?

Chama kilichosheheni Wasomi na wanasheria mnashindwa kusoma katiba yenu?

Ndio maana inashangaza Lisu kuropoka mitaani wakati yeye ndio mamlaka ya nidhamu ndani ya chama kwa mujibu wa katiba.

Tutashtakiwa MIGA.
Mbona umeng'ang'ania "Yenu "..."Yenu".kuna sehemu nime declare kuwa mimi ni chadema?
Mimi habari za vyama sina mpango,mimi nna mambo yangu binafsi. Shame on you
 
Hahah! Kwaiyo yeye ndio katibu mkuu au ? Naona kaanza kujimegea minyama
 
Hivi hii tabia ya kuogopa uchaguzi imeanza lini?

Na ccm mtawaomba wawapishe wamekaa sana?

Katiba yenu Chadema inasemaje?

Chama kilichosheheni Wasomi na wanasheria mnashindwa kusoma katiba yenu?

Ndio maana inashangaza Lisu kuropoka mitaani wakati yeye ndio mamlaka ya nidhamu ndani ya chama kwa mujibu wa katiba.

Tutashtakiwa MIGA.
 
Back
Top Bottom