Nani ana kipimo cha kupimia unyani?Kitakacho mtofautisha mwafrika na nyani ni matendo yake, ukichagua kuwa mwenye hofu ya Mungu na kutenda haki anakua mwanaadamu.. tofauti na hapo wewe ni nyani uliechangamka. Huo ndio ukweli mchungu.
Lema yuko sana kwenye Space ya Maria na mitandao ya jamii anakoelezea frustrations zake. Mwambieni afuate taratibu za Kiserikali kupata uhakika wa usalama wake iwapo ataamua kurudi, lakini siyo kulalama kwenye social media.Ni vzr situation kama hiyo ntu ahakikishiwe usalama wake na serikali!!!
Hiyo ni sawa na sioni kuwa kuna shida maan sio mwalikwa ni sawa na kuzamia harusi ya watu bila kualikwaAmedai hivyo kupitia akaunti yake ya twitter:
"Balozi wa Tanzania Nchini Canada Mh Mpoki Ulisubisya, alikuwa anaongea na Watanzania waishio Canada kwa njia ya Zoom. Nilipata link na kuingia ktk mkutano huo. Baada ya sura yangu kuonekana, waandaaji wa mkutano waliniondoa ghafla.Nafikiri Rais Magufuli bado anatawala Tanzania."
Hata yeye hajalia njaa, anakula mema ya American ya kaskazini!Lema yuko sana kwenye Space ya Maria na mitandao ya jamii anakoelezea frustrations zake. Mwambieni afuate taratibu za Kiserikali kupata uhakika wa usalama wake iwapo ataamua kurudi, lakini siyo kulalama kwenye social media.
Kwenye social media watu wataishia kusema "sawa kamanda umewachana", wakati wao wametulia Tanzania na familia zao wanakula mema ya nchi
Yeye amekimbia madeni huku sijui Kama atarudi hukuDuh! Unaelewa maana ya mkutano wa watanzania waishio Canada?
Na wew unakubali jpm alitaka kuwauaHuyu alikimbia Nchi wakati wa Magufuli kwa sababu ya kusalimisha maisha yake. Nami nilimuunga mkono wakati ule kwa kuwa Magufuli ni kweli alitaka kuwaua pamoja na Mbowe na Lissu.
Sasa Magufuli kafariki mwezi Machi. Samia yuko kwenye utawala na hana siasa za kishamba kama Magufuli, kwa nini Godbless Lema asirudi nchini?
Una maana aendelee kujikaribisha mwenyewe bila kualikwa?Uwe unaonekana hivyo hivyo uwakomeshe
Roho yako mbaya inakutamburisha wewe ni nyani.Nani ana kipimo cha kupimia unyani?
Wewe ni zaidi ya nyani, jiangalie kwenye kioo halafu rudi hapa..Nyani mwenyewe mimi ni muafrica na sio nyani. Kuwa na heshima mjinga wa mwisho wewe.
Bora nawe umeongeza sauti kumwambia huyo Salary Slip. Abadilike.Salary Slip hajui kuwa hata wazungu wapombavu na maskini wapo. Pengine mzungu anayemjua ni mmissionari aliyembatiza au kumuuzia mitumba