Godbless Lema: Nitaongea na wanahabari kesho kujibu mapigo ya Wenje na genge lake

Suluhisho ni kufanya ambayo hayataleta sababu ya kuongeleka baadae (being pro active) Sio wakati mnafanya nyote mnakaa kimya kwa kunufaika ila inapofika wakati wa kupata / kuomba Kura za kwenda Kula..., kila mtu anakuwa kama amemeza Santuri... (That does not show Principles bali being Opportunistic and hypocrites)

 
Msituchoshe kusikiliza ujinga wenu kila siku. Kwa haya yanaoyoendelea kwa chama hiki ni bora kusiwe na chama cha upinzani mrudi tu kwenye zile zama za giza nene

Kwa sababu wewe ni Mkuda, hujui maana ya Demokrasia, hapo ndiyo tunamjua mtu mwaminifu, hadi hapo Lema kashinda, maana kila anachosema Wenje unaona kweli ni project ya Serikali, na CCM. Wewe fikiria Polisi na Jeshi wangekaa pembeni hii nchi ingekuwa wapi kwa Demokrasia? Tungekua tunampata mtu wa kweli. Tunasemana kwa Ushahidi, na hatupigani; mwongo tunamwona. Siyo nyie CCM.
 
Tunachotaka ni Transparency kwenye Siasa zetu.
 
Tunachotaka ni Transparency kwenye Siasa zetu.
Transparency sio after the fact.., bali within and befor the fact.... Ndio maana by virtue ya tabia zao na Dhima yao huwezi kumuamini mwanasiasa.., ndio maana hapo kabla nilishatoa ushauri...

 
Ujumbe wangu kwa Wanasiasa wa Tanzania kumbukeni SISI Wananchi tunasikiliza tunaangalia fanyeni Siasa za UWAZI kama kweli mnategemea KURA zetu WANANCHI kama mnategemea MAPOLISI fanyieni siasa za GIZANI.
 
Transparency sio after the fact.., bali within and befor the fact.... Ndio maana by virtue ya tabia zao na Dhima yao huwezi kumuamini mwanasiasa.., ndio maana hapo kabla nilishatoa ushauri...
Transparency ndio itaonyesha hayo MADUDU mengine, na ni deterrent, kwasababu watajua kuwa WANANCHI wanaona na kusikiliza kwahiyo wataadhibiwa kwenye Box la kura.
 
Msituchoshe kusikiliza ujinga wenu kila siku. Kwa haya yanaoyoendelea kwa chama hiki ni bora kusiwe na chama cha upinzani mrudi tu kwenye zile zama za giza nene
.
Ngoja tuburudike na amsha amsha z politike angalau kupunguza stress
 
Transparency ndio itaonyesha hayo MADUDU mengine, na ni deterrent, kwasababu watajua kuwa WANANCHI wanaona na kusikiliza kwahiyo wataadhibiwa kwenye Box la kura.
Transparency wakati wa uchaguzi wa kusema fulani alifanya hivi au vile na sio wakati wanafanya hizo ni tamthiliyia na maigizo ya gharama kubwa sana (through ruzuku kutoka kwenye Kodi zetu) Uwazi unatakiwa wakati kinachosemwa sasa (after the fact) kinafanyika..., haya mambo ya kujaribu kuzoa maji yakishamwagika ni kupoteza rasilimali muda (inabidi tusiyamwage au tufahamu wakati wanayamwaga)

Case in Point kwahio Wenje asingesema haya kesho Lema asingekuwa Muwazi ?!!!
 
Uongozi wa Lissu na Heche utafanya siasa za Uwazi na Ukweli.
 
Uongozi wa Lissu na Heche utafanya siasa za Uwazi na Ukweli.
Kwahio tumeanza assumptions ?, Hao Lissu na Heche walikuwa hawapo wakati haya so called ya vificho yanafanyika ?, hawa hawa hawakuwepo wakati kina Zito wanafukuzwa kwa kosa hili hili ambalo leo hii linaonekana kwamba ni sawa ila back then wote including hawa waliona ni Usaliti ? Uwazi ulikuwa Likizo at that time ?
 
Utaongea nini wewe kaa kimya - kumbe mlitaka kumpindua Mbowe akiwa gelezani laah binadamu jamani hana wema.
Sasa tikiacha wehu lema angempinduaje akiwa canada!
 
Uziri huyu ni mchaga wa machame kabisa
 
New Admin tutaipa muda tukiona ni wale wale tutawanyima kura.
 
New Admin tutaipa muda tukiona ni wale wale tutawanyima kura.
Kwahio kazi yetu kama raia ni kubadilisha mvinyo kwenye chupa na kusubiri miaka mitano ili tubadilishe tena ? Hatuna uwezo wa kumwaga mvinyo in between au kuangalia sababu mvinyo huu umetoka kwenye bakuli lile lile kama ule uliokuwepo basi uwezekano ni muendelezo wa yaliyokuwepo ?

Kinachohitajika ni kubadilisha system / infrastructure na sio players wa hio system (A good System hata ikiwa kwenye Auto Pilot all will be Well)
 
Kwahio kazi yetu kama raia ni kubadilisha mvinyo kwenye chupa na kusubiri miaka mitano ili tubadilishe tena ?
Wametuambia watafanya REFORMS kwenye Chama wasipofanya tuanawasubiri kwenye Uchaguzi mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…