Godbless Lema: Rais Samia na Makamba wanatafuta mbinu za kumbebesha lawama hayati Magufuli

Godbless Lema: Rais Samia na Makamba wanatafuta mbinu za kumbebesha lawama hayati Magufuli

Mbunge wa zamani wa Arusha mjini aliyetimkia Ulaya baada ya maisha kumpiga kwa kuzidiwa na madeni Godbless Lema [emoji23][emoji1787]
Yaani watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Tatizo la umeme mbona sio jipya, tokea napata fahamu zangu bongo tuna shida ya maji na umeme. Nina wasi wasi mungu atuepushie, lakini yawezekana nikaondoka duniani na tatizo liko pale pale au limezidi.

Mwendo mdundo! Sema siku hizi nimeamua kujiepushia pressure na stress zisizokichwa na miguu au kwa maana nyengine nimekubali matokeo nawasha kibatari tuu halafu kimya kimya silaumu mtu.
Miaka 5 iliyopita tuliachana nalo sasa tumerudi tulikotoka. Ccm nakazi ya ziada 2025, historia itawabeba lakini tatizo liko field, inaonekana turn out ya wapiga kura itakuwa kubwa kutokana na shida ya utilities kwa sasa.Viongozi wangepunguza kuongelea failure za awamu ya tano maana wanazidi kutuchanganya. Miaka mitano tumeonja kwa mara ya kwanza kukaa miezi sita mfululizo bila umeme kukata hata kidogo, hii ni historia kwa mwenda zake atabaki juu mawinguni
 
Biblia kitabu Cha Mwanzo 4:3-4:7 Mungu alimwambia Kaini aliponuna Baada ya kuona ndugu yake Habili anabarikiwa Sana alinuna Mungu akamwambia ukitenda mema utapata kibali usinune nduguyo Habili kubarikiwa

Leteni umeme na maji vya uhakika wa gharama nafuu na uhakika mtapata kibali kwa wananchi walio wengi wategemea umeme na maji vinginevyo msiwe Kama Kaini kumnununia Habili Magufuli aliyetenda vema kwenye umeme na maji
Mmmmh, Habili Magufuli? Kwa lipi/kipi? Yaonekana wataka kumfanya hata shetani akagalagala chini kwa kucheka.
Yule ni KainiMagufuli
 
Tatizo kumeibuka waponda Legacy ya Magufuli wakidhani kuponda kutawapa credit!!! Wananchi wanachohitaji wewe mpya una Nini better verifiable for all to see Kama umeme wa uhakika zaidi na maji ya uhakika zaidi affordable zaidi kuliko kipindi Cha Magufuli ili waseme Uko better kuliko mtangulizi wako lakini kuponda kwa maneno tu uswahili Swahili wakati mambo ya umeme na maji kwa wananchi yako chini ya kiwango Cha Magufuli mtu awasifu kwa lipi? Wakati performance iko below standard ya mtangulizi wao ila wao kutwa kumponda wakati wako below!!!!

They should shut up and perform and let wananchi see their performance.Wao ndio walitakiwa wajipe muda wa ku perform badala ya kuanza kuponda legacy ya Magufuli before performance

Godbless Lema Yuko sahihi
Mtifuano ndani ya kijani.
Labda atakae nusurika atakujatueleza vizuri zaidi nani anapigania maslahi/mahitaji halisi ya mwananchi wa tz.
 
Mimi CCM na Lema huwa nampinga barabara lakini kwenye Hili kaongea naungana naye Mia kwa Mia ana hoja

Kwenye masuala mazito kitaifa yenye tija na hoja nzito za wananchi walio wengi lazima upinzani na CCM tuungane kuwa kitu kimoja

Namuunga mkono Lema kwa Hili alilosema
tatizo la watu wa ccm ni uzuzu kwani hawawezi kuwaza 'nje ya box' wao ni kama madodoki!
 
C mpk hao kenge Damu ziwavuje masikioni ndo watashtuka kama uongozi uliopo ni chaka
nakubaliana na ww.ila mama amebugi kuwarudisha watu ambao walilitafuna hili taifa kwa hila zao binafsi na ulafi!!,kwa hili ninauhakika 2025 Kama ataonesha Nia ,watz watamla kichwa mapema asubuhi,asijipe moyo watz wa Sasa si wale wakudanganyia kwa vitenge na ngonjera .ikiwa Kama ana ndoto ya kurudi 2025 Basi asituonyeshe wazwaz kwamba hakuwa sambamba na mtanguliz wake!!
 
Back
Top Bottom