Godbless Lema: Rais Samia na Makamba wanatafuta mbinu za kumbebesha lawama hayati Magufuli

Mbunge wa zamani wa Arusha mjini aliyetimkia Ulaya baada ya maisha kumpiga kwa kuzidiwa na madeni Godbless Lema [emoji23][emoji1787]
Yaani watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119]
 
Miaka 5 iliyopita tuliachana nalo sasa tumerudi tulikotoka. Ccm nakazi ya ziada 2025, historia itawabeba lakini tatizo liko field, inaonekana turn out ya wapiga kura itakuwa kubwa kutokana na shida ya utilities kwa sasa.Viongozi wangepunguza kuongelea failure za awamu ya tano maana wanazidi kutuchanganya. Miaka mitano tumeonja kwa mara ya kwanza kukaa miezi sita mfululizo bila umeme kukata hata kidogo, hii ni historia kwa mwenda zake atabaki juu mawinguni
 
Mmmmh, Habili Magufuli? Kwa lipi/kipi? Yaonekana wataka kumfanya hata shetani akagalagala chini kwa kucheka.
Yule ni KainiMagufuli
 
Mtifuano ndani ya kijani.
Labda atakae nusurika atakujatueleza vizuri zaidi nani anapigania maslahi/mahitaji halisi ya mwananchi wa tz.
 
tatizo la watu wa ccm ni uzuzu kwani hawawezi kuwaza 'nje ya box' wao ni kama madodoki!
 
Team mwendazake hapa umepiga bonge la U_turn. Hata hili jina unalotumia hapa ni wazi unalitumia kwa malengo rasmi. Endelea kupasha, huenda ukakumbukwa.
Ungenijua hayo mambo ya 'kukumbukwa' wala usingeyaongea.
 
C mpk hao kenge Damu ziwavuje masikioni ndo watashtuka kama uongozi uliopo ni chaka
nakubaliana na ww.ila mama amebugi kuwarudisha watu ambao walilitafuna hili taifa kwa hila zao binafsi na ulafi!!,kwa hili ninauhakika 2025 Kama ataonesha Nia ,watz watamla kichwa mapema asubuhi,asijipe moyo watz wa Sasa si wale wakudanganyia kwa vitenge na ngonjera .ikiwa Kama ana ndoto ya kurudi 2025 Basi asituonyeshe wazwaz kwamba hakuwa sambamba na mtanguliz wake!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…