Godbless Lema: Rais Samia na Makamba wanatafuta mbinu za kumbebesha lawama hayati Magufuli

Rubbish..kwa hiyo mradi wenye tija ni huu unaoathiriwa na ukame? Una uhanisi wa akili wewe kibwengo.
 
Mkuu Ni akili yako au huwa unaenda kusain 5000 pale kwenye ofc pendwa??
 
Sukuma GANG mnawakati nguvu sana,mnatega masikiokabisa, ili yeyote ataesema tu Magufuli hiki kafanya vizuri . Mpate tabasamu.. mmeamua kuabudu Maiti.
Lema ni sukuma gang kumbe.
 
Mbunge wa zamani wa Arusha mjini aliyetimkia Ulaya baada ya maisha kumpiga kwa kuzidiwa na madeni Godbless Lema [emoji23][emoji1787]
Kwani kilichomkimbiza ulaya ni nini
 
Sukuma GANG mnawakati nguvu sana,mnatega masikiokabisa, ili yeyote ataesema tu Magufuli hiki kafanya vizuri . Mpate tabasamu.. mmeamua kuabudu Maiti.
Biblia kitabu Cha Mwanzo 4:3-4:7 Mungu alimwambia Kaini aliponuna Baada ya kuona ndugu yake Habili anabarikiwa Sana alinuna Mungu akamwambia ukitenda mema utapata kibali usinune nduguyo Habili kubarikiwa

Leteni umeme na maji vya uhakika wa gharama nafuu na uhakika mtapata kibali kwa wananchi walio wengi wategemea umeme na maji vinginevyo msiwe Kama Kaini kumnununia Habili Magufuli aliyetenda vema kwenye umeme na maji
 
Kwenye madai ya Katiba Mpya mkumbuke kuwaunga mkono pia.
 
It's big shame kwa yanayoendelea! Kabla hata ya mwaka tunaparanganyika hadi aibu! Hao waliojiona ma genius sasa ndio wanavuruga hata kidogo chema alichoacha JPM.
Maccm mnasambaratika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji870][emoji870]
 
Kwenye madai ya Katiba Mpya mkumbuke kuwaunga mkono pia.
Umeme na maji Ni hitaji kubwa la kila mtanzania awe CCM awe upinzani anahitaji umeme na maji ndio hoja yaweza unganisha watanzania wote sababu kila mtanzania huhitaji hata kumuelimisha umuhimu wa Maji na umeme wa uhakika na Bei nafuu

Hahitaji Civic education au elimu au wahamasishaji
 
Kweli wapinzani WACHAWI khaa. Lema mjinga sana ndio maana analelewa huko nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…