Dawa ya Uvccm
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 2,223
- 4,717
CCM iliwahi kuweka forms ngapi za mwenyekit Taifa kipindi cha uongoz wa sukuma gang.CHADEMA ina Demokrasia katika uchaguzi wa viongozi hasa nafasi ya Mwenyekiti wa Chama?
View attachment 2558531
Nakuona the sunk cost fallacy katika ubora wakoSio tuu Demokrasia Bali hata intelligence yake ni kubwa kuliko hao waliokariri mavitabu harafu hawajitambui wafanye nini wapi wakati gani na namna vipi...
Kupitia kwenye ukurasa wa Twitter, aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Godbless Lema ameandika...
Sioni sababu ya kuficha ukweli, akipatia asifiwe, akikosea akosolewe, kuviziana hakuna maana.Anatakiwa aweke AKIBA ya maneno,
Akumbuke kuwa "Wasiwasi ndo AKILI"...
Unachosema na Alichoandika mbona Tofauti?Kupitia kwenye ukurasa wa Twitter, aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Godbless Lema ameandika...
Kupitia kwenye ukurasa wa Twitter, aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Godbless Lema ameandika:
“Mh Rais SSH kama akiendelea kujenga Demokrasia yenye sura hii kutoka Moyoni mwake bila hila, bila shaka anaweza kuja kuwa kati ya Rais bora kabisa Tanzania kama sio Africa. Siasa ni ushindani.Katiba bora na Tume huru ya Uchaguzi ndio Majaribu yake muhimu.”
Siku ya leo Umoja wa Wanawake wa Vyama vya Siasa Nchini vyenye usajili rasmi, (ULINGO) waliaandaa mkutano maalum wa kumpongeza Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan katika sherehe zilizofanyika uwanja wa Uhuru Dar es salaam.
View attachment 2558471
Huu sasa uchawa
Naona mnamgeuka mwanachadema mwenzenuHuu sasa uchawa
Mbona kama bi mkubwa anafanya kosa kama alilofanya lowasa? Je historia itajirudia?Road map 2023-2025 na Maridhiano ya Kisiasa
Bado think tank ya CHADEMA inabaki kuwa bora kwa nyakati tulizoona. Bado CHADEMA inabaki kuwa akili kubwa kati ya vyama vyote vya siasa Tanzania kwasasa, kwanini nathubutu kusema haya? Imeshatibitika wazi kwamba kuna kundi kubwa na lenye nguvu la wahafidhina kwenye mfumo ambao hawataki na...www.jamiiforums.com
Road map 2023-2025 na maridhiano ya kisiasa
Tumwagiene jamani hiyo asali na sisi tuonjeKupitia kwenye ukurasa wa Twitter, aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Godbless Lema ameandika”...
Unataka wanunue kwa Bei gani?Hao wote hapo ni maccm ykiyovikwa nguo za machadema ili kuhadaa umma...
Pagumu hapoMama Samia anatamani Godbless Lema asigemalizia hio sentensi ya mwisho.