Billal Saadat
Senior Member
- Nov 30, 2022
- 169
- 358
- Thread starter
- #41
Hao wote hapo ni maccm ykiyovikwa nguo za machadema ili kuhadaa umma!
Alafu rais bora hatapimwa kwa kuwapa uhuru wanasiasa kufanya porojo zao! Bali atapimwa kwa maendeleo aliyoleta ikiwemo kuhakikisha wananchi wake hawanunui maharage kwa sh 4,500
Unga sh 2,500
Mchele sh 4,000
N.k
Kama Kiongozi atapimwa kwa kushusha bei ya Maharage na mchele Basi Dunia nzima hakuna viongozi.