Godbless Lema: Samia ni Rais bora ambaye hajawahi kutokea Tanzania

Godbless Lema: Samia ni Rais bora ambaye hajawahi kutokea Tanzania

Hao wote hapo ni maccm ykiyovikwa nguo za machadema ili kuhadaa umma!

Alafu rais bora hatapimwa kwa kuwapa uhuru wanasiasa kufanya porojo zao! Bali atapimwa kwa maendeleo aliyoleta ikiwemo kuhakikisha wananchi wake hawanunui maharage kwa sh 4,500
Unga sh 2,500
Mchele sh 4,000
N.k

Kama Kiongozi atapimwa kwa kushusha bei ya Maharage na mchele Basi Dunia nzima hakuna viongozi.
 
Kupitia kwenye ukurasa wa Twitter, aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Godbless Lema ameandika..
Wananchi wanakula mlo mmoja yeye Lema halijui hili, anachoangalia ni wapate wabunge Ili wapate posho Sasa wananchi tumestuka ks na mmbadaka was chadema, tuweke wate wabunge wa ccm wote madiwani.

CCM na wote maana sisi atuamgaliwu wanaamgalia marumbo yao.
 
Hawa ni njaatu ilikua inawasumbua. Na Mama Amewangamua Akaamua Awarushie Mfupa kidogo nao waanze kusifu na kuabudu. Ila mwanasiasa ana jizimaga data.

Hawa hawa ndio waliwaita wenzao wasaliti na wahunga juhudi, sasa na wao tuwaiteje?

Nibora wa ungane na wakina Halima mdee waendelee kuunga mkono juhudi.
 
img_20230314_215542-jpg.2558531

Mfyuuuuuuuuuu
 
Kupitia kwenye ukurasa wa Twitter, aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Godbless Lema ameandika:

“Mh Rais SSH kama akiendelea kujenga Demokrasia yenye sura hii kutoka Moyoni mwake bila hila, bila shaka anaweza kuja kuwa kati ya Rais bora kabisa Tanzania kama sio Africa. Siasa ni ushindani. Katiba bora na Tume huru ya Uchaguzi ndio Majaribu yake muhimu.”

Siku ya leo Umoja wa Wanawake wa Vyama vya Siasa Nchini vyenye usajili rasmi, (ULINGO) waliaandaa mkutano maalum wa kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan katika sherehe zilizofanyika uwanja wa Uhuru Dar es salaam.

View attachment 2558471
Kumbe anakuaga na akili akiwa hajapiga vitu vitu vyake

Hakika amenena vyema Rais Samia Suluhu hadi sasa ameshavunja record hii haijawai tokea tangu Tanzania ipate uhuru lakini yeye amefanikiwa kuwaketisha pamoja ni jambo kubwa sana
 
CCM iliwahi kuweka forms ngapi za mwenyekit Taifa kipindi cha uongoz wa sukuma gang.
Kabla ya kuuliza swali jibu swali

Chadema ina demokrasia ya kuchagua Mwenyekiti wa Chama??? [emoji23]
 
Hawa ni njaatu ilikua inawasumbua. Na Mama Amewangamua Akaamua Awarushie Mfupa kidogo nao waanze kusifu na kuabudu. Ila mwanasiasa ana jizimaga data.

Hawa hawa ndio waliwaita wenzao wasaliti na wahunga juhudi, sasa na wao tuwaiteje?

Nibora wa ungane na wakina Halima mdee waendelee kuunga mkono juhudi.
Haswaa
 
Kumbe anakuaga na akili akiwa hajapiga vitu vitu vyake

Hakika amenena vyema Rais Samia Suluhu hadi sasa ameshavunja record hii haijawai tokea tangu Tanzania ipate uhuru lakini yeye amefanikiwa kuwaketisha pamoja ni jambo kubwa sana
Real Recognize Real.
 
Back
Top Bottom