Billal Saadat
Senior Member
- Nov 30, 2022
- 169
- 358
- Thread starter
-
- #41
Hao wote hapo ni maccm ykiyovikwa nguo za machadema ili kuhadaa umma!
Alafu rais bora hatapimwa kwa kuwapa uhuru wanasiasa kufanya porojo zao! Bali atapimwa kwa maendeleo aliyoleta ikiwemo kuhakikisha wananchi wake hawanunui maharage kwa sh 4,500
Unga sh 2,500
Mchele sh 4,000
N.k
Huwezi kuelewaKama. Kiongozi atapimwa kwa kushusha bei ya Maharage na mchele Basi Dunia nzima hakuna viongozi
Sawa kabisa. Kakonko sehemu gani Mkuu?Mimi najua siasa ni ushindani si vinginevyo
Naachia line kutoka kakonko
Wananchi wanakula mlo mmoja yeye Lema halijui hili, anachoangalia ni wapate wabunge Ili wapate posho Sasa wananchi tumestuka ks na mmbadaka was chadema, tuweke wate wabunge wa ccm wote madiwani.Kupitia kwenye ukurasa wa Twitter, aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Godbless Lema ameandika..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa sasa lazima wanasiasa mumpongeze Samia kwa sababu wanasaidiana kuimaliza hazina!
Mfyuuuuuuuuuu!CHADEMA ina Demokrasia katika uchaguzi wa viongozi hasa nafasi ya Mwenyekiti wa Chama?
View attachment 2558531
Kumbe anakuaga na akili akiwa hajapiga vitu vitu vyakeKupitia kwenye ukurasa wa Twitter, aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini na Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Kaskazini Godbless Lema ameandika:
βMh Rais SSH kama akiendelea kujenga Demokrasia yenye sura hii kutoka Moyoni mwake bila hila, bila shaka anaweza kuja kuwa kati ya Rais bora kabisa Tanzania kama sio Africa. Siasa ni ushindani. Katiba bora na Tume huru ya Uchaguzi ndio Majaribu yake muhimu.β
Siku ya leo Umoja wa Wanawake wa Vyama vya Siasa Nchini vyenye usajili rasmi, (ULINGO) waliaandaa mkutano maalum wa kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan katika sherehe zilizofanyika uwanja wa Uhuru Dar es salaam.
View attachment 2558471
Kabla ya kuuliza swali jibu swaliCCM iliwahi kuweka forms ngapi za mwenyekit Taifa kipindi cha uongoz wa sukuma gang.
HaswaaHawa ni njaatu ilikua inawasumbua. Na Mama Amewangamua Akaamua Awarushie Mfupa kidogo nao waanze kusifu na kuabudu. Ila mwanasiasa ana jizimaga data.
Hawa hawa ndio waliwaita wenzao wasaliti na wahunga juhudi, sasa na wao tuwaiteje?
Nibora wa ungane na wakina Halima mdee waendelee kuunga mkono juhudi.
Ameanza kukuaKajitahidi leo hajatema boko.
Ulisoma ule mstari wa mwisho?Anatakiwa aweke AKIBA ya maneno,
Akumbuke kuwa "Wasiwasi ndo AKILI"
Kwa mapambio hayo,Siku akiwageuka, hawatopata ujasiri kulalamika hadharani.
Watalilia CHOONI[emoji2][emoji2][emoji2]!!!
Real Recognize Real.Kumbe anakuaga na akili akiwa hajapiga vitu vitu vyake
Hakika amenena vyema Rais Samia Suluhu hadi sasa ameshavunja record hii haijawai tokea tangu Tanzania ipate uhuru lakini yeye amefanikiwa kuwaketisha pamoja ni jambo kubwa sana