Godbless Lema sasa umaarufu unampa kiburi cha kutukana watumishi na kudhihaki jina la Yesu

Mmekazania tusi, ila kiburi hamkioni.
Enyi kizazi cha nyoka!
 
Nimewasha tochi mchana kusaka hayo matusi,nilichofanikiwa kuona ni upumbavu wa mwandishi!
 
Hili swala la Ngorongoro ni controversial.
Watu wengine wanadhani Wamasai wanapaswa kuondolewa pale ili wanyama wapate living space.
Kwa hiyo watu waachiwe kufanya uamuzi kwa wakati hao.
Kumbuka ukisema kitu leo,kesho utakumbushwa,"Jana ulisema hivi!"
 
Yesu wa Nazareth ndio mmoja tu, Yesu pekee haitoshi refer Jesus Moloko,
 
Yesu wa Nazareth ndio
Masihi, Yesu nyingine ni too general refer Jesus Moloko
 
Ndugu, Askofu na Lema mbele ya Mungu hakuna mwenye thamani ya kumzidi mwingine. Hukumu ni moja. Kumdhihaki Mungu ni nini? Au kumtukana Mungu ni nini? Unaweza kumtukana Mungu? Ni Amri hizi tu Mbili Kumpenda Mungu wako yaani kusai na kutegemea uwezo wako uliopewa kufanyaa mema, pili ni Mpende jirani yako, yaani matendo unayomfanyia jirani yako, ndugu yako, hata mtu yeyote yawe kama unavyopenda wewe ufanyiwe. Kama ASkofu anakenua wakati wamasai wanakufa kwa njaa kunyimwa chakula na maji basi huo ni ukatili ni dhihaka hata kwa huyo Mungu wako.
 
Sasa hapo shida nini? Na unajua kwanini kamwambia Malasusa na si maaskofu wengine? Sababu Malasusa ni mnafiki na chawa wa ccm. Anataka kujua msimamo wa Malasusa.

Malasusa sio askofu wa kanisa la Mungu ni askofu wa kuilamba miguu ccm
 
Sasa hapo shida nini? Na unajua kwanini kamwambia Malasusa na si maaskofu wengine? Sababu Malasusa ni mnafiki na chawa wa ccm. Anataka kujua msimamo wa Malasusa.

Malasusa sio askofu wa kanisa la Mungu ni askofu wa kuilamba miguu ccm
Malipo huwa hayachelewi.
Mwenye Kibri hushushwa.
 
Cha Arusha si mchezo ni nambari wani Tanzania
 
Kazi ya viongozi wa dini ni kukemea maovu na kuamrisha watu watende mema, haijalishi uovu kafanya nani.

Kama viongozi wa dini wanakaa kimya pale waumini wao wanapotendewa uovu na Jumapili wanapokea sadaka za hao waovu na hata kushiriki nao ibada, lazima waambiwe.
 
Matusi yako wapi hapo? Kiongozi wa dini Kuombwa atoe tamko dhidi ya dhurma na uharifu siku hizi imekuwa matusi?
Malasusa ni wale wale! Apewe vidonge vyake! Hana lolote la maana ni tapeli amejificha KKKT ila ni WA hovyo sana! Kiongozi yeyote wa dini anaeambatana na Makonda ambaye Kwa mujibu wa CIA ni mhalifu ni kiongozi wa hovyo sana!
 
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu chochote kabisa!
 
Wewe ndio ......!!!!!

Hajakosea !ndio KAZI ya watumishi wa Mungu kuwa kimbilio la wanyonge na wateswaji wakati wa shida!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…