Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
- #21
Mmekazania tusi, ila kiburi hamkioni.Bila shaka upogo wako uko kwenye kipande hiki kimoja kidogo cha sentensi hii; ".......Msalimie sana Yesu..."
Hilo kwako ni tusi siyo? Au ni kwa sababu tu hujui kuwa hujui.......?
By the way, Yesu mwenyewe hajalalamika, badala yake unalalamika wewe msukuma wa Mwamapalala.........!!!
Enyi kizazi cha nyoka!