Godbless Lema sasa umaarufu unampa kiburi cha kutukana watumishi na kudhihaki jina la Yesu

Godbless Lema sasa umaarufu unampa kiburi cha kutukana watumishi na kudhihaki jina la Yesu

Mmekazania tusi, ila kiburi hamkioni.
Enyi kizazi cha nyoka!

Uyenyekevu sio kuwa na ujinga wa kikondoo......

Godbless Lema ametuma ujumbe wa kawaida kabisa kwenda kwa"kichwa cha kanisa" la KKKT.....

Honestly, katikati ya manyanyaso, uteswaji na mauaji ya wananchi (wakiwemo wa - KKKT wa Askofu Malasusa) wasio na hatia unaofanywa na watawala (serikali) halafu kanisa likawa limekaa kimya, hicho ndicho kiburi hasa...
 
Uyenyekevu sio kuwa na ujinga wa kikondoo......

Godbless Lema ametuma ujumbe wa kawaida kabisa kwenda kwa"kichwa cha kanisa" la KKKT.....

Honestly, katikati ya manyanyaso, uteswaji na mauaji ya wananchi (wakiwemo wa - KKKT wa Askofu Malasusa) wasio na hatia unaofanywa na watawala (serikali) halafu kanisa likawa limekaa kimya, hicho ndicho kiburi hasa...
Dhihaka kwa Jina lipitalo majina yote ni lazima hujibiwa, subiri tu.
 
View attachment 3077975
Kuna watu wanapata umaarufu sana na mwisho wanapata kiburi cha uzima na kuanza kutukana watumishi na hata kumkufuru Mungu.

Katika ukurasa wake wa X(Twitter) Godbless Lema kaandika,

"Baba Askofu (picha ya Askofu Malasusa) Bwana Yesu asifiwe sana. Pole na kazi ya Mungu. Huku Arusha tunaendelea vizuri kiasi na watu wanaendelea kusubiri TAMKO la Kanisa unaloliongoza wewe juu ya ukatili mkali huko NGORONGORO na Utekaji na utesaji dhidi ya raia. Msalimie sana YESU."

Hiki ni kiburi.
Namshauri Lema kwa ukurasa huo huo aombe radhi kwa kuwaona watumishi wa Kanisa kuwa political sparring partners.
Mbaya zaidi kulifedhesha na kudhihaki Jina lipitalo majina yoye, YESU.

Asipofanya hivyo hizo salamu anazozitafuta atazipata, na si muda mrefu.
Mbona hakuna matusi hapa? Wacha chuki utakufa kabla ya siku zako.
 
Sasa hapo shida nini? Na unajua kwanini kamwambia Malasusa na si maaskofu wengine? Sababu Malasusa ni mnafiki na chawa wa ccm. Anataka kujua msimamo wa Malasusa.

Malasusa sio askofu wa kanisa la Mungu ni askofu wa kuilamba miguu ccm
Malasusa ni kada wa CCM na ni afisa kipenyo
 
View attachment 3077975
Kuna watu wanapata umaarufu sana na mwisho wanapata kiburi cha uzima na kuanza kutukana watumishi na hata kumkufuru Mungu.

Katika ukurasa wake wa X(Twitter) Godbless Lema kaandika,

"Baba Askofu (picha ya Askofu Malasusa) Bwana Yesu asifiwe sana. Pole na kazi ya Mungu. Huku Arusha tunaendelea vizuri kiasi na watu wanaendelea kusubiri TAMKO la Kanisa unaloliongoza wewe juu ya ukatili mkali huko NGORONGORO na Utekaji na utesaji dhidi ya raia. Msalimie sana YESU."

Hiki ni kiburi.
Namshauri Lema kwa ukurasa huo huo aombe radhi kwa kuwaona watumishi wa Kanisa kuwa political sparring partners.
Mbaya zaidi kulifedhesha na kudhihaki Jina lipitalo majina yoye, YESU.

Asipofanya hivyo hizo salamu anazozitafuta atazipata, na si muda mrefu.
Afya ya akili inasuasua kwake. Huyu ndo zake. Mara ugali chakula cha maskini. Amesahau kuwa ugali ni chakula kikuu kwa makabila mengi yasiyokula nzizi kama chakula.
 
View attachment 3077975
Kuna watu wanapata umaarufu sana na mwisho wanapata kiburi cha uzima na kuanza kutukana watumishi na hata kumkufuru Mungu.

Katika ukurasa wake wa X(Twitter) Godbless Lema kaandika,

"Baba Askofu (picha ya Askofu Malasusa) Bwana Yesu asifiwe sana. Pole na kazi ya Mungu. Huku Arusha tunaendelea vizuri kiasi na watu wanaendelea kusubiri TAMKO la Kanisa unaloliongoza wewe juu ya ukatili mkali huko NGORONGORO na Utekaji na utesaji dhidi ya raia. Msalimie sana YESU."

Hiki ni kiburi.
Namshauri Lema kwa ukurasa huo huo aombe radhi kwa kuwaona watumishi wa Kanisa kuwa political sparring partners.
Mbaya zaidi kulifedhesha na kudhihaki Jina lipitalo majina yoye, YESU.

Asipofanya hivyo hizo salamu anazozitafuta atazipata, na si muda mrefu.
Wewe huwa humsalimii unayemwamini?
Yesu husalimiwa kwa nderemo, vifijo na sifa.
Pole sana mkuu
 
Naku
View attachment 3077975
Kuna watu wanapata umaarufu sana na mwisho wanapata kiburi cha uzima na kuanza kutukana watumishi na hata kumkufuru Mungu.

Katika ukurasa wake wa X(Twitter) Godbless Lema kaandika,

"Baba Askofu (picha ya Askofu Malasusa) Bwana Yesu asifiwe sana. Pole na kazi ya Mungu. Huku Arusha tunaendelea vizuri kiasi na watu wanaendelea kusubiri TAMKO la Kanisa unaloliongoza wewe juu ya ukatili mkali huko NGORONGORO na Utekaji na utesaji dhidi ya raia. Msalimie sana YESU."

Hiki ni kiburi.
Namshauri Lema kwa ukurasa huo huo aombe radhi kwa kuwaona watumishi wa Kanisa kuwa political sparring partners.
Mbaya zaidi kulifedhesha na kudhihaki Jina lipitalo majina yoye, YESU.

Asipofanya hivyo hizo salamu anazozitafuta atazipata, na si muda mrefu.
umha mkono, ametumia jina la bwana wete Yesu Kristu kwa dhihaka,

Lakini ujumbe wa KKKTBkuwa kimya kutotoa tamko ni ujumbe sahihi kabisa kwa kiongozi mkuu huyo,
 
View attachment 3077975
Kuna watu wanapata umaarufu sana na mwisho wanapata kiburi cha uzima na kuanza kutukana watumishi na hata kumkufuru Mungu.

Katika ukurasa wake wa X(Twitter) Godbless Lema kaandika,

"Baba Askofu (picha ya Askofu Malasusa) Bwana Yesu asifiwe sana. Pole na kazi ya Mungu. Huku Arusha tunaendelea vizuri kiasi na watu wanaendelea kusubiri TAMKO la Kanisa unaloliongoza wewe juu ya ukatili mkali huko NGORONGORO na Utekaji na utesaji dhidi ya raia. Msalimie sana YESU."

Hiki ni kiburi.
Namshauri Lema kwa ukurasa huo huo aombe radhi kwa kuwaona watumishi wa Kanisa kuwa political sparring partners.
Mbaya zaidi kulifedhesha na kudhihaki Jina lipitalo majina yoye, YESU.

Asipofanya hivyo hizo salamu anazozitafuta atazipata, na si muda mrefu.
Kukemea uovu ni siasa? Huu ni ujinga mno mno. Ujinga wa hali ya juu.
 
Yesu wa Nazareth ndio
Masihi, Yesu nyingine ni too general refer Jesus Moloko
Hata kwenye Bible kulikuwa mtu aliitwa bar Yesu au mwingine aliitwa Yesu wa Yusto na kuna Yesu wa Nazareth au Yesu kristo masia
 
Back
Top Bottom