Pre GE2025 Godbless Lema: Ujumbe wa CDF ulikuwa unamlenga zaidi Rais kuliko Wakimbizi aliowazungumza

Pre GE2025 Godbless Lema: Ujumbe wa CDF ulikuwa unamlenga zaidi Rais kuliko Wakimbizi aliowazungumza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Godbless Lema akizungumza kupitia Star TV amezungumzia kuhusu kauli ya CDF kuhusu Wakimbizi kadhaa kudaiwa kupewa ajira Serikalini na wengine kuteuliwa Serikalini katika nafasi za juu.
 
Hawa Chadema wao ubunifu wa kisiasa ndio hapo walipoishia!
Majungu!
Visasi!
Lialia!
Hate!

Hawana jipya!
Sema tu wanakutana na waandishi au watangazaji ambao pia uwezo wao wa maswali na uelewa wao pia ni tatizo!
 
Back
Top Bottom