JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Godbless Lema akizungumza kupitia Star TV amezungumzia kuhusu kauli ya CDF kuhusu Wakimbizi kadhaa kudaiwa kupewa ajira Serikalini na wengine kuteuliwa Serikalini katika nafasi za juu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi sababu hawa akina Bashe, Kinana kawateua mwenyeweGodbless Lema akizungumza kupitia Star TV amezungumzia kuhusu kauli ya CDF kuhusu Wakimbizi kadhaa kudaiwa kupewa ajira Serikalini na wengine kuteuliwa Serikalini katika nafasi za juu.
Wewe inakuhusu nini?Duh
Lema aseme alitorokaje pale Namanga Yeye na familia yake?
sahihi kabisaSerikali iliyoingia madarakani kwa wizi wa kura haiwezi kuwa makini zaidi ya kuendeleza wizi wa mali za umma
Luka muoshambwa katika ubora wakoDuh
Lema aseme alitorokaje pale Namanga Yeye na familia yake?
Upuuzi ukio nao ni zaidi.Ukifilisika kwa hoja utaanza mada za ukabila, na udini, na vingine kama hivyo....!!
Nwm ndiyo nani,unaogopa nini kutaja jina Kama siyo mnafiki!?..NWM ni mtoto wa nje wa Paul Kagame.
Nwm ndiyo nani,unaogopa nini kutaja jina Kama siyo mnafiki!?