inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ndo yupi!?..yule ni mtoto wa Kagame.
..na ukimsikiliza anaongea kama Baba yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo yupi!?..yule ni mtoto wa Kagame.
..na ukimsikiliza anaongea kama Baba yake.
Ndo yupi!?
Mkimbizi huyoUpuuzi ukio nao ni zaidi.
Unaogopa nini!?..NWM wa Puerto Rico.
Weka ushahidi hiki sio kikao cha chadema...NWM wa Puerto Rico.
Kimya kiymya naibu waziri mkuuNwm ndiyo nani,unaogopa nini kutaja jina Kama siyo mnafiki!?
Naibu waziri mkuu. Bwana DottoNwm ndiyo nani,unaogopa nini kutaja jina Kama siyo mnafiki!?
Weka ushahidi hiki sio kikao cha chadema.
👉Hebu fikiri kama wewe ndiye ungepata nafasi ya kumhoji Godbless Lema, ungemuuliza maswali gani (ya ufahamu na uelewa) kama unavyodai tofauti na aliyouliza huyu mwandishi wa StarTV halafu sisi tukakuona wewe ni mwandishi mahili?Hawa Chadema wao ubunifu wa kisiasa ndio hapo walipoishia!
Majungu!
Visasi!
Lialia!
Hate!
Hawana jipya!
Sema tu wanakutana na waandishi au watangazaji ambao pia uwezo wao wa maswali na uelewa wao pia ni tatizo!
Cheki hoja ya huyu☝️☝️.Lema ni tapeli kuliko matapeli wenyewe.Huyu anaeza akafanya Hadi madawa yakaugua Homa.
Mwingine huyu hapo☝️☝️Duh
Lema aseme alitorokaje pale Namanga Yeye na familia yake?
Bora wao vipi kuhusu majizi😀Hawa Chadema wao ubunifu wa kisiasa ndio hapo walipoishia!
Majungu!
Visasi!
Lialia!
Hate!
Hawana jipya!
Sema tu wanakutana na waandishi au watangazaji ambao pia uwezo wao wa maswali na uelewa wao pia ni tatizo!
Narudia tena kusema tena GENTAMYCINE nikijiamini kabisa kuwa Tanzania haiwezi Vita na Rwanda na isije ikathubutu kwani hawatoamini kwa watakachokutana nacho. Endeleeni tu kudhani Natania au sijui ninachokisema na Kukimaanisha pia...kila siku GENTAMYCINE anawaonya mtabamizwa na Rwanda unadhani kwanini wanajiamini?
Alimla mkeo ndio unahasira naeLema ni tapeli kuliko matapeli wenyewe.Huyu anaeza akafanya Hadi madawa yakaugua Homa.
Inahusiana na hoja ya wakimbizi kupewa teuzi za kubwa kimaamuzi?Duh
Lema aseme alitorokaje pale Namanga Yeye na familia yake?
GibberishGodbless Lema akizungumza kupitia Star TV amezungumzia kuhusu kauli ya CDF kuhusu Wakimbizi kadhaa kudaiwa kupewa ajira Serikalini na wengine kuteuliwa Serikalini katika nafasi za juu.
Mnafiki kama wanafiki wengine waliotajwa na Mh. Balozi Humphrey Polepole...!!!!Nwm ndiyo nani,unaogopa nini kutaja jina Kama siyo mnafiki!?
Lema Kwao Kenya 🐼Inahusiana na hoja ya wakimbizi kupewa teuzi za kubwa kimaamuzi?
Tulia kwanza mkuu au anzisha uzi
Mkuu nakuheshimu sana humu jukwaani pamoja na siasa zetu za hovyo,Rwanda hawezi kupigana na Tanzania,kwanza aingie Tanzania wakati SADC wako wapi!!!Narudia tena kusema tena GENTAMYCINE nikijiamini kabisa kuwa Tanzania haiwezi Vita na Rwanda na isije ikathubutu kwani hawatoamini kwa watakachokutana nacho. Endeleeni tu kudhani Natania au sijui ninachokisema na Kukimaanisha pia.
Kuna siku isiyo na Jina mtakuja kunipigia Salute hapa hapa JamiiForums juu ya Nguvu Kubwa ya Kijeshi na Kijasusi iliyonayo Rwanda na jinsi gani kwa 75% wameshajipenyeza Tanzania na wanaijua vilivyo kiasi kwamba huwa Wanawacheka pale mnapojitutumua kuwa Tanzania ndiyo Wababe wa Vita kwa huu Ukanda wetu wakati hamna Kitu na ni wepesi mno Kimedani.
Inasemekana alipaka wanja akavaa high heels na alivaa baibui, akatembea kwa mikogo, akapanda pikipiki za madereva wanaogukuzana na upepo. Alimwogopa sana Makonda na Sabaya.Duh
Lema aseme alitorokaje pale Namanga Yeye na familia yake?