Pre GE2025 Godbless Lema: Ujumbe wa CDF ulikuwa unamlenga zaidi Rais kuliko Wakimbizi aliowazungumza

Pre GE2025 Godbless Lema: Ujumbe wa CDF ulikuwa unamlenga zaidi Rais kuliko Wakimbizi aliowazungumza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Godbless Lema akizungumza kupitia Star TV amezungumzia kuhusu kauli ya CDF kuhusu Wakimbizi kadhaa kudaiwa kupewa ajira Serikalini na wengine kuteuliwa Serikalini katika nafasi za juu.
Lema anajua kila kitu,ni muda sasa umepita hatujasikia akiombea watu wafe 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Inasemekana Biteco naye ni wa Chigali...! Inawezekana kweli?
 
Mkuu nakuheshimu sana humu jukwaani pamoja na siasa zetu za hovyo,Rwanda hawezi kupigana na Tanzania,kwanza aingie Tanzania wakati SADC wako wapi!!!
Huyo Rwanda alishapigana na nani zaidi ya kumuonea DRC au ni Operesheni gani amewai kuifanya zaidi ya JWTZ.
Kama tungekuwa dhaifu kiasi unavyotaka tuamini basi Magaidi wa Kibiti na mapango ya Amboni kule Tanga wangekuwa wameshaiteka nchi!
Tanzania kwenye Ulinzi wa dola tupo vizuri kwa Afrika!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Sawa Mjeda ( JWTZ ) na Njagu ( TISS )
 
Narudia tena kusema tena GENTAMYCINE nikijiamini kabisa kuwa Tanzania haiwezi Vita na Rwanda na isije ikathubutu kwani hawatoamini kwa watakachokutana nacho. Endeleeni tu kudhani Natania au sijui ninachokisema na Kukimaanisha pia.

Kuna siku isiyo na Jina mtakuja kunipigia Salute hapa hapa JamiiForums juu ya Nguvu Kubwa ya Kijeshi na Kijasusi iliyonayo Rwanda na jinsi gani kwa 75% wameshajipenyeza Tanzania na wanaijua vilivyo kiasi kwamba huwa Wanawacheka pale mnapojitutumua kuwa Tanzania ndiyo Wababe wa Vita kwa huu Ukanda wetu wakati hamna Kitu na ni wepesi mno Kimedani.
Mkuu Genta, usiwatafutie hao watu dhahama nyingine mithili ya ile ya mauaji ya kimbari......hata Idd Amin alijua angeweza kusafisha hadi Dar es Salaam lakini aliishia palepale mtukula.......usitamani jeshi la Tanzania likukalie mpakani, utajua hujui utaishia kukimbilia ng'ambo kama yule nduli...​
 
Huyu si ndo yule aliyekuwa akiongoza kwa wizi wa magari, Lema bwana, sasa anatafuta namna ya kwenda kuomba Ukimbizi tena kwa madai kwamba anatishiwa amani baada ya kuhoji uraia wa Rais.

Huyu amezoea kuishi kitapeli ma sasa anatafuta utapeli wa kisiasa
Kwani kaacha hadi usema aliyekuwa mwizi wa magari? Alipokuwa mbunge alimkabidhi kijana wake baada ya kutoka ukimbizini anaendelea Kama kawaida.
 
nonesense
Tafuta muda nije nikufundishe Kiingereza na uanze kuwa Wordsmith kama GENTAMYCINE ambao wala hatukishobokei hicho Kiingereza chenu kama nyie Msiokijua hadi Kukosea / Kuchapia kwa kuandika nonesence badala ya Nonsense mnavyokishobokea wakati tunakijua hadi tunakera.

Kudadadeki......!!
 
Narudia tena kusema tena GENTAMYCINE nikijiamini kabisa kuwa Tanzania haiwezi Vita na Rwanda na isije ikathubutu kwani hawatoamini kwa watakachokutana nacho. Endeleeni tu kudhani Natania au sijui ninachokisema na Kukimaanisha pia.

Kuna siku isiyo na Jina mtakuja kunipigia Salute hapa hapa JamiiForums juu ya Nguvu Kubwa ya Kijeshi na Kijasusi iliyonayo Rwanda na jinsi gani kwa 75% wameshajipenyeza Tanzania na wanaijua vilivyo kiasi kwamba huwa Wanawacheka pale mnapojitutumua kuwa Tanzania ndiyo Wababe wa Vita kwa huu Ukanda wetu wakati hamna Kitu na ni wepesi mno Kimedani.
ACHA UTOTO NA UJINGA WEWE.....MIMI NIPO DRC MDA HUU NA KILA SIKU TUNAPIGANA NA WATUSI WA RPF NA TUNAWARUDISHA NYUMA......JE JWTZ SI LEVEL NYINGINE.....HAWANA CHOCHOTE ZAIDI YA MAVAZI MAPYA YA KIJESHI.....WANAYONUNUA CHINA....!!!!
MBONA KILA SIKU WANALILIA KAGERA NA NGARA NI MAENEO YAO NA WAMESHINDWA KUYACHUKUA????
ACHA MBWEMBWE ZA KUTAFUTA UMAARUFU WAKATI HATA BUNDUKI HUJAWAHI KUSHIKA........
HATA VITA HUVIJUI......
TUULIZE SISI WAZEE WA KAZI.....SASA HV TUPO HAPA KITENGE...KIVU KUSINI
 
Tafuta muda nije nikufundishe Kiingereza na uanze kuwa Wordsmith kama GENTAMYCINE ambao wala hatukishobokei hicho Kiingereza chenu kama nyie Msiokijua hadi Kukosea / Kuchapia kwa kuandika nonesence badala ya Nonsense mnavyokishobokea wakati tunakijua hadi tunakera.

Kudadadeki......!!
DOGO UNAONGEA SANA KUTAFUTA SIFA........ILA HUJUI CHOCHOTE KUHUSU RWANDA.....!!!!!!
UNAMSIFIA MJOMBA WANGU......KWA MANENO YA KUFIKIRIKA......NJOO KWENYE UHALISIA.....UONE JWTZ WALICHOWAFANYA RPF HAPA DRC!!
 
Mkuu nakuheshimu sana humu jukwaani pamoja na siasa zetu za hovyo,Rwanda hawezi kupigana na Tanzania,kwanza aingie Tanzania wakati SADC wako wapi!!!
Huyo Rwanda alishapigana na nani zaidi ya kumuonea DRC au ni Operesheni gani amewai kuifanya zaidi ya JWTZ.
Kama tungekuwa dhaifu kiasi unavyotaka tuamini basi Magaidi wa Kibiti na mapango ya Amboni kule Tanga wangekuwa wameshaiteka nchi!
Tanzania kwenye Ulinzi wa dola tupo vizuri kwa Afrika!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Huyo dogo yupo dodoma anakula matikiti....wakati sisi tupo hapa DRC.....tunawachapa tu RPF wajinga wanataka kuingilia masilahi yetu.....!!!
 
DOGO UNAONGEA SANA KUTAFUTA SIFA........ILA HUJUI CHOCHOTE KUHUSU RWANDA.....!!!!!!
UNAMSIFIA MJOMBA WANGU......KWA MANENO YA KUFIKIRIKA......NJOO KWENYE UHALISIA.....UONE JWTZ WALICHOWAFANYA RPF HAPA DRC!!
Vipi bado hujampata huko Fally Ipupa ili akupe Mimba yake na. Ukirejea Tanzania uje Utuzalie akina Fally Ipupa wengi?
 
ACHA UTOTO NA UJINGA WEWE.....MIMI NIPO DRC MDA HUU NA KILA SIKU TUNAPIGANA NA WATUSI WA RPF NA TUNAWARUDISHA NYUMA......JE JWTZ SI LEVEL NYINGINE.....HAWANA CHOCHOTE ZAIDI YA MAVAZI MAPYA YA KIJESHI.....WANAYONUNUA CHINA....!!!!
MBONA KILA SIKU WANALILIA KAGERA NA NGARA NI MAENEO YAO NA WAMESHINDWA KUYACHUKUA????
ACHA MBWEMBWE ZA KUTAFUTA UMAARUFU WAKATI HATA BUNDUKI HUJAWAHI KUSHIKA........
HATA VITA HUVIJUI......
TUULIZE SISI WAZEE WA KAZI.....SASA HV TUPO HAPA KITENGE...KIVU KUSINI
Vipi bado hujampata huko Ferre Gola ili akupe Mimba yake na. Ukirejea Tanzania uje Utuzalie akina Ferre Gola wengi?
 
..Lema ameuliza maswali ya msingi sana.

..Watanzania tunaogopa kuvihoji vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.
..Tumejitenga navyo. Tunaamini sio vyetu ni vya watawala.

Mkuu JokaKuu
Maswali ya Lema ni Muhimu sana kuliko watu wanavyoyachukulia kirahisi na kimtaani taani tu

1. Kwanini CDF na TISS wanakutana na Rais kila mara au siku akini hawakumwambia habari hiyo kwa siri
2. Kwanini Jeshi lime 'appeal' kwa Wananchi hadharani

Hoja: Kwa mujiwbu wa CDF Mstaafu Mabeyo, Jeshi ni 'state' ndani ya state kwa maana ina kila kitengo
Mabeyo alikuwa mkuu wa Intelejensia Jeshini kwahiyo anajua anasema nini.

CDF ni Mkuu wa Jeshi lakini pia ana uongozi mzima 'top military brass' , washauri wake wakuu na wa karibu.
Hotuba yake ilipitia katika '' baraza'' na hoja ikaonekana isemwe na CDF.

Kuna uwezekano zipo taarifa hazijafanyiwa kazi na tatizo linazidi kukua! au kuna '' Politics'' zinazo ignore tatizo.

Kuna uwezekano pia Intelejensia ya Jeshi imebain kuna 'infiltration' katika vyombo vingine.
Njia nzuri ni kumweleza Rais hadharani hali halisi pengine na ukubwa wake na uzito wa tatizo

Pili, ku appeal katika public huenda ni kutokana na ukubwa wa tatizo, na kwa kuelewa mipaka ya Jeshi pengine wameona kulisema hadharani kutasaidia Wazalendo kufichua uozo kule wasikoweza kufika.

Swali lingine ni kwamba kwanini kumetumika neno '' Katika nafasi za Maamuzi''
Kuna uwezekano kabisa watoa maamuzi mazito ya nchi mmoja ni hao Wakimbizi.

Haiwezi kuwa Diwani, Mbunge, Naibu Waziri au hata Waziri wa Kawaida. Ni lazima awe kuanzi Waziri Mwandamizi

GENTAMYCINE anajua huko Visiwa vya Guam au Puerto Rico nafasi za maamuzi zipoje
 
Vipi bado hujampata huko Ferre Gola ili akupe Mimba yake na. Ukirejea Tanzania uje Utuzalie akina Ferre Gola wengi?
Usitoke nje ya mada.......hata bunduki hujui kushika then unasema unawajua sana wanyarwanda wa RPF......na sisi tusemeje ambao tupo nao frontline daily???
 
Usitoke nje ya mada.......hata bunduki hujui kushika then unasema unawajua sana wanyarwanda wa RPF......na sisi tusemeje ambao tupo nao frontline daily???
Kwakuwa umesema kuwa uko nao Frontline huko uwanja wa Vita je, ni lini tena unatuahidi kuwa nao Frontline tena ili Ubebe kabisa na Mimba zao?
 
Kauli ya cdf,muono na mtazamo was lema!
Pamoja na hashtags za kigogo eti "JESHI LIMETAWALA"
zinanifanya nianze kuhisi mambo sio shwari kama oxygen tunavoivuta!!

Wakati huo;-

1.Mlinzi mkuu wa jk ameitwa na Bwana wa majeshi!

Hatujakaa sawa

2.Mstaafu was medani za kivita jeshini nae kaitwa na Bwana wa majeshi!

Hatuja Kaa saw;-

3.mzee mwinyi nae yupo huko hospitali anatibiwa nae!!!

Ngoja nisi complicate labda ni akili zangu ndogo zinanisumbua!

Wakati hayo yakiendelea Makonda ni Rais mtendaji mwenye kuwajibisha Hadi mawaziri wakati Rais aliyeapa yupo na katulia tuliiiii kama maji mtungini,kina Bashe nao wanatunisha misuli!!!

Ebanaaeh!saa kumi simba anacheza tukacheki gem!!

Weekend njema wakuuu!!
 
Back
Top Bottom