Pre GE2025 Godbless Lema: Ujumbe wa CDF ulikuwa unamlenga zaidi Rais kuliko Wakimbizi aliowazungumza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nwm ndiyo nani,unaogopa nini kutaja jina Kama siyo mnafiki!?
NWM=Naibu waziri mkuu was sokomoni!!!

Acha kututia aibu na wewe vipi!!?

Wanataka kutuongoza from a far Kwa kumtumia mole huyo!!

Yaani kama huyo Jamaal akapenya akawa ndie tunaongozwa kutokea milima ya Ruhengeri kupitia USA kuleeee!!

Nadhani!!
 
Parakatumba
 
Usitoke nje ya mada.......hata bunduki hujui kushika then unasema unawajua sana wanyarwanda wa RPF......na sisi tusemeje ambao tupo nao frontline daily???
Huyo jamaa GENTAMYCINE kwa majibu yake ya kitoto inaonekana kumbe ni jina tu ila anashida sehemu. Kama umemuelewa usibishane naye utakuwa mjinga wewe badala yake
 
Hahahahhaha vipi huko AFCON
 
special mental case
Tafadhali naomba tu kujua hivi Viingereza vyako Viwili vibovu na ulivyovichapia ulijifunzia wapi? Kwani ungeandika tu kwa Lugha yetu ya Kiswahili usingeeleweka na kuonekana ni Msomi kama unavyotaka wakati kumbe ukweli ni kwamba UMEVIMBIWA UPUMBAVU mwingi?


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…