NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
NWM=Naibu waziri mkuu was sokomoni!!!Nwm ndiyo nani,unaogopa nini kutaja jina Kama siyo mnafiki!?
Kwakweli ile Kauli ilimshtua kila mtu.Godbless Lema akizungumza kupitia Star TV amezungumzia kuhusu kauli ya CDF kuhusu Wakimbizi kadhaa kudaiwa kupewa ajira Serikalini na wengine kuteuliwa Serikalini katika nafasi za juu.
ParakatumbaKauli ya cdf,muono na mtazamo was lema!
Pamoja na hashtags za kigogo eti "JESHI LIMETAWALA"
zinanifanya nianze kuhisi mambo sio shwari kama oxygen tunavoivuta!!
Wakati huo;-
1.Mlinzi mkuu wa jk ameitwa na Bwana was majeshi!
Hatujakaa sawa
2.Mstaafu was medani za kivita jeshini name kaitwa na Bwana was majeshi!
Hatuja Kaa saw;-
3.mzee mwinyi nae yupo huko hospitali anatibiwa nae!!!
Ngoja nisi complicate labda no akili zangu ndogo zinanisumbua!
Wakati hayo yakiendelea Makonda no Raise myendaji mwenye kuwajibisha Hadi mawaziri wakati Raise aliyeapa yupo na katulia tuliiiii kama maji mtungini,kina Bashe nao wanatunisha misuli!!!
Ebanaaeh!saa kumi simba anacheza tukacheki gem!!
Weekend njema wakuuu!!
Hao mabaka mabaka nao sio wa kuamini piaUkweli uwe wazi kwa manufaa ya TAIFA...jana leo kesho
Huyo jamaa GENTAMYCINE kwa majibu yake ya kitoto inaonekana kumbe ni jina tu ila anashida sehemu. Kama umemuelewa usibishane naye utakuwa mjinga wewe badala yakeUsitoke nje ya mada.......hata bunduki hujui kushika then unasema unawajua sana wanyarwanda wa RPF......na sisi tusemeje ambao tupo nao frontline daily???
Ushahidi!?NWM=Naibu waziri mkuu was sokomoni!!!
Acha kututia aibu na wewe vipi!!?
Wanataka kutuongoza from a far Kwa kumtumia mole huyo!!
Yaani kama huyo Jamaal akapenya akawa ndie tunaongozwa kutokea milima ya Ruhengeri kupitia USA kuleeee!!
Nadhani!!
Samurai in dark days!!find there!!Ushahidi!?
I got you mkuuHuyo jamaa GENTAMYCINE kwa majibu yake ya kitoto inaonekana kumbe ni jina tu ila anashida sehemu. Kama umemuelewa usibishane naye utakuwa mjinga wewe badala yake
Hahahahhaha vipi huko AFCONKauli ya cdf,muono na mtazamo was lema!
Pamoja na hashtags za kigogo eti "JESHI LIMETAWALA"
zinanifanya nianze kuhisi mambo sio shwari kama oxygen tunavoivuta!!
Wakati huo;-
1.Mlinzi mkuu wa jk ameitwa na Bwana wa majeshi!
Hatujakaa sawa
2.Mstaafu was medani za kivita jeshini nae kaitwa na Bwana wa majeshi!
Hatuja Kaa saw;-
3.mzee mwinyi nae yupo huko hospitali anatibiwa nae!!!
Ngoja nisi complicate labda ni akili zangu ndogo zinanisumbua!
Wakati hayo yakiendelea Makonda ni Rais mtendaji mwenye kuwajibisha Hadi mawaziri wakati Rais aliyeapa yupo na katulia tuliiiii kama maji mtungini,kina Bashe nao wanatunisha misuli!!!
Ebanaaeh!saa kumi simba anacheza tukacheki gem!!
Weekend njema wakuuu!!
special mental caseKwakuwa umesema kuwa uko nao Frontline huko uwanja wa Vita je, ni lini tena unatuahidi kuwa nao Frontline tena ili Ubebe kabisa na Mimba zao?
Tafadhali naomba tu kujua hivi Viingereza vyako Viwili vibovu na ulivyovichapia ulijifunzia wapi? Kwani ungeandika tu kwa Lugha yetu ya Kiswahili usingeeleweka na kuonekana ni Msomi kama unavyotaka wakati kumbe ukweli ni kwamba UMEVIMBIWA UPUMBAVU mwingi?special mental case
Godbless Lema akizungumza kupitia Star TV amezungumzia kuhusu kauli ya CDF kuhusu Wakimbizi kadhaa kudaiwa kupewa ajira Serikalini na wengine kuteuliwa Serikalini katika nafasi za juu.
Hao hao wakuu wamikoa ni wanaccm
Hivi ni dhana mbaya sana.Tumejitenga navyo. Tunaamini sio vyetu ni vya watawala.