Godbless Lema ukimbizi: Kaingia jela ya kufikirika

Godbless Lema ukimbizi: Kaingia jela ya kufikirika

Orodha zao YUENI ,si injili si kurani
Vile umeiamini,imekuwa ya mbiguni ?
Vifutu viseme nini,kwani vina shida gani ?
Dawa ya deni kulipa,siyo kukimbia nchi.

Asemaye ni yueni, kuwananga Amerika?
Au dhidi ya Sudani, China au Dominika?
UN dhidi ya nani, na nyie vinyangarika?
Mbingu zenu Magwajima, ziaminike na nani?

Mavifutu yana shida, hayo ndiyo mauaji!
Hayo ndiyo yatuwinda, pande zote za majiji,
Hayo ndiyo huviunda, viroba vya kwenye maji!
Tumeshaumwa vifutu, heri Lema kastuka!
 
Namhurumia sana Godbless Lema.
Kaingia jela ya kufikirika, jela ambayo ni yeye mwenyewe atajua ni kifungo cha miaka mingapi na atatokaje kwa msamaha wake mwenyewe.

Mbaya zaidi familia nzima imemsindikiza jela hiyo ya kufikirika.

Lema ata enjoy miezi michache ya kwanza huko Canada, pamoja na familia.
Baada ya hapo ndipo ataelewa uzuri na utamu wa Tanzania, maji ya kunywa bure, hewa bure, shule karo za watoto karibu na bure, chakula unarudi kutoka Moshi na mikungu miwili ya ndizi bure!
Mbge ndo usiseme!

Tuliokaa nje muda kidogo tunaelewa jinsi matatizo tuliyo nayo, yalivyotukomaza na kuishi nayo kama ndugu.

Nampa pole Lema maana alisema wanataka kumuua.
Bado angeweza kubaki na kutatua hilo fumbo na shinikizo.

Tanzania ni nzuri!
Kifo cha kuuawa wewe na familia yako , na utamu wa Tanzania kipi ni kizuri zaidi?
Kama alivyouwawa nani na nanani?
Abdillah Kassim Hanga, na wengine wengi. Pia tukio la Tundu Lissu kushambuliwa kwa risasi.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]huo ndio ukweli mkuu.
Mchaga hazuiliki kufikia ndoto zake.
Ukimwekea vikwazo unampa akili zaidi.
Lema atarudi akiwa mupya kabisa.
Angekuwa mmakonde, mzaramo au mgogo ningemhurumia but mchaga ni Mwisraeli bro
Mbona Mbowe ni mchagga lakini kashindwa kuingia Ikulu. Aidha, hata ubunge kashindwa. Acha kujidanganya na ukabila wako hapa.
 
Mbona Mbowe ni mchagga lakini kashindwa kuingia Ikulu. Aidha, hata ubunge kashindwa. Acha kujidanganya na ukabila wako hapa.
Inaashiria kuwa wewe ni mgogo kabisa.
Roho yako imejaa nyongo kama ya Ndugai[emoji38]
 
Kwa hiyo kwa akili yako hapa TZ wewe siyo huru ? Nyie wapinzani uchwara endeleeni kujidanganya eti hamko huru. Sasa ndio umma wa Watanzania umetambua kwamba upinzani wa nchi hii ni michosho tu hakuna lolote.
Hivi katika maandishi uliyosoma kuna sehemu yoyote nilipoandika kuwa "...kila mtu huko au Canada ni tajiri"? Haya maneno umeyatoa wapi kama sio kutoelewa kilichoandikwa na wewe kujibandikia unayofikiri wewe?

Hata hivyo ngoja nikufahamishe: utajiri sio hoja kuu hapa. Unaweza kuwa tajiri wa mali katika nchi ambayo inawakandamiza wananchi wake, na utajiri huo wa mali ukawa haumpi mtu huyo furaha ya kuwa nao. Hana tofauti kubwa na maskini waliomo nchini humo, kwa sababu wote hawako HURU; ni mateka wa mtu mmoja anayefahamika kuwa kiongozi au mtawala wa nchi hiyo.

Maskini na tajiri waliomo katika nchi inayoheshimu HAKI za raia zake na kuwa HURU, ni tofauti na hao wanaoishi chini ya ukandamizi.

Fungua akili yako uelewe nilichoandika, usibakie tu kuwa shabiki asiyetumia akili yake kufikiri.
 
Kifo cha kuuawa wewe na familia yako , na utamu wa Tanzania kipi ni kizuri zaidi?

Abdillah Kassim Hanga, na wengine wengi. Pia tukio la Tundu Lissu kushambuliwa kwa risasi.
Waliomuua Hanga wako wapi sasa?
Na Lisu bado yu hai, waliojaribu kumuua tunaona wanavyolia ovyo, dhambi inavyowasuta.
Dunia ya Mungu twaamini malipo ni hapahapa.
Hata ukikimbia nchi, utagongwa na gari au corona huko uendako!
 
Wewe uliyeshinda uchaguzi mbona hauko Ikulu ? Nani achague shoga amwache JPM. endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe.
Kwa utawala huu wa muhutu ni heri kuwa mkimbizi. Zaidi ya visasi na mauaji lakini pia maisha ni magumu mno. Kifupi, hafai kuwa Rais na hakushinda uchaguzi. Asilimia 84 ni za uchafuzi.
 
Kwa hiyo kwa akili yako hapa TZ wewe siyo huru ? Nyie wapinzani uchwara endeleeni kujidanganya eti hamko huru. Sasa ndio umma wa Watanzania umetambua kwamba upinzani wa nchi hii ni michosho tu hakuna lolote.
"Kwa hiyo kwa akili yako...".

'Obviously', akili yangu na yako ni tofauti kabisa, kwa hiyo sihangaiki kupoteza muda kujibizana na mtu mwenye akili kama yako.

Hebu angalia ulivyoharisha hapo #135!
 
Mkuu heri hata ungejua unayoyaongelea yalitokeaje ili uweze kujijibu mwenyewe.
Wakati mwingine kudandia hoja ambazo mtu huzijui wala hujui zinatoka wapi, unaonekana kama mfuata mdundiko hadi kule unakokwenda, mdundiko ukikoma unakuwa hujui hata ulikofikia na hujui utarudije nyumbani.

Sitetei mauaji hata kidogo lakini masuala usiyoyajua hata kuyaongelea napata kigugumizi.

Tanzania bado ni nzuri, tena sana.
Tatizo lako litaanzia pale badala ya kula asali na maziwa, wewe unataka mambo yasiyokuhusu.
HUREEE, BRO JIDU,
Safi sana MJOMBA naomba unielekeze hapa kwetu TZ kunakopatikana maziwa,asali, ndizi za bure nikaishi kwa kujitolea sihitaji hela bali msosi wa bure, nilipo nimepigika sana mwanangu,
Mimi ni mwana CCM, kwenye ukada sijafika ila mkinipiga ka msasa kidogo tayari nakuwa kada mwaminifu.
Umli miaka 29 mtanzania halisi chapa ng'ombe.
kuhuhusu shule usitie shaka ni hihi yetu katani kwetu pale nilikwetua
Ni matumaini yangu kuwa ombi langu utalipa uzito unao stahili,
ni mimi wako mtiifu TUMBILI
 
Nchi hii ni paradiso.
Tatizo mnafikiri mna akili zaidi ya wazalendo wa bongo.
Kama mna akili nzuri huko mliko gombeeni urais ili tuwapokee kama marais kutoka huko nje wenye asili toka Tanzania.
Au nzuri zaidi anzisheni biashara kubwa halafu muje kuwekeza hapa bongo, mkitukoga sie malofa.
Kinyume cha hapo kubeba maboksi kunawahusu.
Usidhani kila mmoja ni wa kubeba maboksi. Tumeajiri wanadamu wenzetu wa mataifa mbalimbali. Tunaheshimu pia maamuzi ya kila mwanadamu yaliyo halali. Si lazima kila mmoja kuwa mwanasiasa.

Lakini usidanganye kuwa kila ambaye yupo nje ya Tanzania ana maisha ya shida. Nje na nyumbani hakuna tofauti. Wapo wenye ugumu wa maisha, ahueni na maisha mazuri pia. Itategemea maamuzi yako juu ya nini cha kufanya kama yalikuwa sahihi au la.

Watu wanamwongelea Dr. Slaa eti alikuwa msomi lakini aliishia kufanya kazi supermarket. Lakini hawajiulizi alikuwa msomi wa nini? Dr. Slaa alikuwa msomi wa sheria za Kanisa Catholic, Canon Law. Kama wewe ni major wa Jeshi halafu unaenda kutafuta kazi kwenye kiwanda cha kutengeneza nguo, wewe huna tofauti na mtu ambaye ana certificate ya Form 6 (kama ulifika form 6), maana pale mbinu zako za kwenye uwanja wa vita, hazihitajiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani mgogo. Mchagga hana chake sasa nchi hii. Mlizoea vya kunyonga vya kuchinja hamviwezi.
Wewe ni akili ndogo sana, mimi sio mchaga wala sina ukaribu nao lkn sio sababu ya kutkuusema ukweli.
Mchaga hazuiliki ktk utaftaji.
Ukimzuia vya halali ataiba na ukimzuia vya haramu atatafuta vya halali.
Hawa wako tayari kufanya lolote wapate pesa...achsna na mchaga
 
HUREEE, BRO JIDU,
Safi sana MJOMBA naomba unielekeze hapa kwetu TZ kunakopatikana maziwa,asali, ndizi za bure nikaishi kwa kujitolea sihitaji hela bali msosi wa bure, nilipo nimepigika sana mwanangu,
Mimi ni mwana CCM, kwenye ukada sijafika ila mkinipiga ka msasa kidogo tayari nakuwa kada mwaminifu.
Umli miaka 29 mtanzania halisi chapa ng'ombe.
kuhuhusu shule usitie shaka ni hihi yetu katani kwetu pale nilikwetua
Ni matumaini yangu kuwa ombi langu utalipa uzito unao stahili,
ni mimi wako mtiifu TUMBILI
Piga jobu mkuu.
Asali na maziwa vitakuja vyenyewe.
Nchi hii ina oppurtunities nyingi sana, ni wewe tu kuzisaka kwa umakini.
 
Usidhani kila mmoja ni wa kubeba maboksi. Tumeajiri wanadamu wenzetu wa mataifa mbalimbali. Tunaheshimu pia maamuzi ya kila mwanadamu yaliyo halali. Si lazima kila mmoja kuwa mwanasiasa.

Lakini usidanganye kuwa kila ambaye yupo nje ya Tanzania ana maisha ya shida. Nje na nyumbani hakuna tofauti. Wapo wenye ugumu wa maisha, ahueni na maisha mazuri pia. Itategemea maamuzi yako juu ya nini cha kufanya kama yalikuwa sahihi au la.

Watu wanamwongelea Dr. Slaa eti alikuwa msomi lakini aliishia kufanya kazi supermarket. Lakini hawajiulizi alikuwa msomi wa nini? Dr. Slaa alikuwa msomi wa sheria za Kanisa Catholic, Canon Law. Kama wewe ni major wa Jeshi halafu unaenda kutafuta kazi kwenye kiwanda cha kutengeneza nguo, wewe huna tofauti na mtu ambaye ana certificate ya Form 6 (kama ulifika form 6), maana pale mbinu zako za kwenye uwanja wa vita, hazihitajiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Respect mkuu!
Basi wewe mkongwe huko majuu.
 
Ukimbizi sio permanent kwenye nchi gani?
Hizi nchi ukija kama mkimbizi ukipokelewa it is just a step towards uraia.

Usichanganye residence permit na permanent residence. Residence permit can be a long stay visa. By long stay, it means the visa is longer than 90 days.

Mkimbizi ana haki ya kupewa makazi, jobless allowance kama hana kazi, matibabu. Residence permit huwezi kupewa kama huna kazi au proof ya kipato.
Ukimbizi sio permanent kwa nchi yoyote ile duniani, status yako iko under review kila wakati kuona kama bado unahitaji kuwa mkimbizi au la.

Kumbuka ukimbizi ni moja ya kanuni za UN ambayo UN inaziomba nchi wanachama kuwapa watu ukimbizi pale wanapoona usalama wao uko hatarini. Lakini sio sheria ya nchi yoyote kwamba lazima upewe ukimbizi. Na hata ukija kwenye kubadili kutoka refugee to citizenship, hiyo ni hisani ya nchi husika lakini sio sheria.

Ukiwa residence, inama unauwezo wa kujiangalia na kujihudumia ndio maana nchi husika haina haja ya kukupa chochote mkononi same as they're own citizens. Na sio wakimbizi wote wanapewa makazi na allowances nk, wakimbizi wengine ni millions. Lakini kwa wale ambao hawana kitu, hebu jaribu kufanya utafiti kidogo tu uone hao zile nchi zilizo endelea kama EU au North America refugee wanategema state wanaishi vipi? Je hayo makazi, allowances, matibabu ni vile wao walitegemea. Refugee wengi wanapewa the lowest of all standard.
 
Back
Top Bottom