Godbless Lema wewe ni nani mpaka useme utashughulika na Geordavie?

Mpaka 2025 watakuwa wamemaliza pesa za Samia. Watatengeneza mazingira ya kupewa tena pesa kipindi ambacho watakuwa wanajiandaa kwa ajili ya ubunge na urais.

Katika kipindi hiki Lema atakuwa bize kuhamasisha maandamano na vurugu nyinginezo. Na hapa ndipo utalii na shughuli nyingine za kiuchumi zitaanza kuchungulia shimo tena.

Zitaanza kusikika jauli za nchi haitatawalika na nyinginezo. Hapa utakuwa pia unatafutwa ubunge wa lazima.

Baada ya uchaguzi wasipopata majimbo hali itakuwa tete kwa watawala maana tayari wameshapewa vya kunyonga.

Kipindi ndio huyu mama kama atakuwepo basi atakuwa kapita kwa kushindanishwa na wengine.

Aandae fungu la kutosha kuwatuliza wapinzani wake wa vyama vingine.
 
Mpiga ramli kwa waganga tu,hana issue.
 
Wahuni
 
Ila kazi ya mbunge nikuishauri na kuisimamia serikali ikiwemo kutunga sheria.

Suala la kutotengeneza miundombinu,kukosa maji na vituo vya afya nk.

Sio kazi ya mbunge bali nikazi ya serikali
Kumbukatu wapo wabunge wanaongea sana bungeni.

Wakati fulani ilikuepo dhana ya kukomoa wapinzani kwenye majimbo yao.
 
Umevuta bangi ni mbaya sana
 
This is super nonsense...
 
Kwa nini wanasiasa wa vyama vingine Nje ya chama kinachoogoza serikali hawataki kuitwa wanasiasa wa vyama shindani?...
Mama amesha tufundisha Kiswahili vizuri.

Ni juzi tu amesema ni Ushindani, sio Upinzani!

Tangu kuanza kwa vyama vingi vya Siasa, tulikuwa bado hatujajua Kiswahili mpaka Mama alipotufundisha juzi!.

Hiyo ni ishara ya Kiongozi Bora na mwenye mtazamo chanya wa Nchi yake.
 
Hawa manabii angeachana nao ajui Mungu gani yupo nyuma yao KILA mmoja ni mwamba eneo lake
 
Usimlaumu lema ccm ilisema haipeleki maendeleo majimbo ya upinzani hata mtoto wa dada alirudia hili kila mara, pili Lema hakusanyi ushuru wa maendeleo
 
Wanaomtetea GD EBU kwanza wawapeleke wake zao wakavuuliwe nguo na kupewa milioni ndio waje hapa kumponda Lema.
 
Wanaomtetea GD EBU kwanza wawapeleke wake zao wakavuuliwe nguo na kupewa milioni ndio waje hapa kumponda Lema.
Binafsi sijawahi hata kufika kwenye kanisa la Geordevi..wala sijui lipo wapi.

Nasikia aga tu kisongo..ila penye kunyoosha pito lazima tunyooshe.

Kuhusiana na mara nabii wa uwongo hilo namuachia Mungu(Jehova)
 
Binafsi sijawahi hata kufika kwenye kanisa la Geordevi..wala sijui lipo wap.
Nasikia aga tu kisongo..ila penye kunyoosha pito lazima tunyooshe..kuhusiana na mara nabii wa uwongo hilo namuachia Mungu(Jehova)
Jifanye unamuachia Mungu alafu wewe na yeye wote mtajikuta kwenye gadhabu ya Mungu mwenyewe uliomtaja!
 
Jifanye unamuachia Mungu alafu wewe na yeye wote mtajikuta kwenye gadhabu ya Mungu mwenyewe uliomtaja!
Mungu hana akili kama yakwako na awazi kama wewe, wewe ni nani mpaka uwe na mamlaka ya kuhukumu binadamu..kama sio unatumia mapenzi yako na Lema kuja kutia tia huruma hapa..we umekamilika au mtakatifu...shame upon you idiot.
 
Ndugu Tajiri Tanzanite,

sipingani sana na maandiko yako.

1. Ni kweli lema amekuwa Mbunge kwa miaka 10, hivi kazi ya mbunge ni nini? kujenga miundombinu, Afya na elimu?.
Mbona ccm iko madarakani kwa mikaka 60 sasa na bado kuna shida hiyo ya miundombinu, afya na elimu? hivi majimbo yote ya wana ccm wabunge hawana shida kwenye maeneo hayo?

2. Hili la Geordavie, msaada mzuri ni ule unasaidiwa bila kutangazwa ndugu. Nakupa msaada baada ya kuchora tatoo yangu? iko sawa kweli? Hivi hizo pesa za kusaida waumini anazitoa wapi?.
Namna nzuri ya kumsaidia mtu, mpe jembe akalime sio kumpa chakula!! kama anapesa kwa nini asijenge shule, au vituo vya afya kisha waumini na watu wengine wakapate elimu,tiba kama makanisa mengine?
HII YA KUTUKUZA MTU BADALA YA MUNGU, NI USHETANI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…