Godbless Lema wewe ni nani mpaka useme utashughulika na Geordavie?

Godbless Lema wewe ni nani mpaka useme utashughulika na Geordavie?

Hapo vip!

Binafsi huwa simuelewagi Lema, namuona kama kiongozi tapeli anaetumia siasa kutengeneza maisha yake.

Na mimi niwasihi watu wa Arusha wafikiri nje ya box, wampuze huyu tapeli asiyekuwa na uchungu na changamoto za watu wa Arusha.

Huyu mtu amekuwa mbunge zaidi ya miaka kumi na tano lakini ukimuambie akuonyeshe hata kimoja alichowafanyia wananchi wa Arusha hakuna, ukiingia kwenye miundombinu hakuna, elimu hakuna, afya hakuna, kilimo hakuna labda amewasaidia kuwapa mbinu ya kukwpa kodi wale wafanyabiashara ambao ni ndugu zake pale Arusha.

Mji wa Arusha unaendelea kudumaa kwasababu ya siasa za kiharakati zinazofanywa na Lema.

Lemo hana uchungu wala nia njema ya kuwa chachu ya maendeleo Arusha, kwasababu mji huu ingepata kiongozi mzalendo leo tungekuwa na stand mpya siku nyingi, tungekuwa na kiwanja cha ndege cha kimataifa, masoko ya kisasa, hospitali zenye viwango bora kabisa nitaje tu hivyo vichache.

Lema haoni sababu ya kuisemea Arusha katika mambo mengi kwasbabu sio mzalendo wa Arusha ila anatumia nafasi hiyo kwa maslahi binafsi.

Nadhani pia kwasababu sio mtu wa Arusha. Labda ingekuwa ni mbunge wa machame huko kwao angefanya vizuri.

Bora nabii Geodevi alionyesha kuguswa na changamoto za watu wa Arusha na akatoa pesa kuwasuppoti wafanyabiashara wadogo walionguliwa pale samunge, ila Lema hajawahi kutoa hata elfu 10 kwa ajili ya wafanyabiashara wale. Sasa najiulize kuna ubaya gani mtu kuwasaidia wanyonge kama wale.

Halafu anamshambulia mtumishi wa Mungu utadhani yeye anamlaka hapo Arusha ya kumzuia mtu yeyote asifanye jambo. Hapa kuna tatizo la elimu pia.

Kiongozi bora na mwenye akili ni mwenye uwezo wa kuja na mpango mkakati wa kuwezesha boda boda wachane na kazi ya bodo na kufanya kazi iliyobora kuliko hiyo kutoka na wazo au plan ya huyo kiongozi..

Yeye emetoka huko Canada, utafikiri yeye ndio mtanzania wa kwanza kuishi huko alafu anakuja kutukana boda bodo, hapa umekosea sana, ungetakiwa ushauri kazi nyingine ya kufanya na sio kuwadharirisha kwa namna ulivyofanya, we mwenyewe ulikuwa mtu shida sana, tunakujua ulivyopata ubunge ndio umebadilisha maisha.

Geodevi ameweza kufanya jambo kubwa kwa muda mfupi akakushinda wewe uliyepewa ubunge kwa miaka 15, nadhani huo ubunge ulikuwa kwa ajili yako na familia yako.
Mbona povu limekutoka sana
We ndo Geordavie au Muumini wake
 
Kuna watu mapumbavu sijapata kuona .Ivi lema autengeneze mji wa Arusha kwani ndiye anaye shika kibubu cha serikali.? Kweli wapumbavu hawaji kuisha,hiyo CCM iliyo kuwepo tangu imefanya nn kwa wananchi wa Arusha?
 
Mpaka 2025 watakuwa wamemaliza pesa za Samia. Watatengeneza mazingira ya kupewa tena pesa kipindi ambacho watakuwa wanajiandaa kwa ajili ya ubunge na urais.

Katika kipindi hiki Lema atakuwa bize kuhamasisha maandamano na vurugu nyinginezo. Na hapa ndipo utalii na shughuli nyingine za kiuchumi zitaanza kuchungulia shimo tena.

Zitaanza kusikika jauli za nchi haitatawalika na nyinginezo. Hapa utakuwa pia unatafutwa ubunge wa lazima.

Baada ya uchaguzi wasipopata majimbo hali itakuwa tete kwa watawala maana tayari wameshapewa vya kunyonga. Kipindi ndio huyu mama kama atakuwepo basi atakuwa kapita kwa kushindanishwa na wengine. Aandae fungu la kutosha kuwatuliza wapinzani wake wa vyama vingine.
Hizo ni Akili za mbwa
 
Binafsi sijawahi hata kufika kwenye kanisa la Geordevi..wala sijui lipo wap.
Nasikia aga tu kisongo..ila penye kunyoosha pito lazima tunyooshe..kuhusiana na mara nabii wa uwongo hilo namuachia Mungu(Jehova)
Ww kipofu unamuachiaje Mungu, wakati unaona?
 
Hapo vip!

Binafsi huwa simuelewagi Lema, namuona kama kiongozi tapeli anaetumia siasa kutengeneza maisha yake.

Na mimi niwasihi watu wa Arusha wafikiri nje ya box, wampuze huyu tapeli asiyekuwa na uchungu na changamoto za watu wa Arusha.

Huyu mtu amekuwa mbunge zaidi ya miaka kumi na tano lakini ukimuambie akuonyeshe hata kimoja alichowafanyia wananchi wa Arusha hakuna, ukiingia kwenye miundombinu hakuna, elimu hakuna, afya hakuna, kilimo hakuna labda amewasaidia kuwapa mbinu ya kukwpa kodi wale wafanyabiashara ambao ni ndugu zake pale Arusha.

Mji wa Arusha unaendelea kudumaa kwasababu ya siasa za kiharakati zinazofanywa na Lema.

Lemo hana uchungu wala nia njema ya kuwa chachu ya maendeleo Arusha, kwasababu mji huu ingepata kiongozi mzalendo leo tungekuwa na stand mpya siku nyingi, tungekuwa na kiwanja cha ndege cha kimataifa, masoko ya kisasa, hospitali zenye viwango bora kabisa nitaje tu hivyo vichache.

Lema haoni sababu ya kuisemea Arusha katika mambo mengi kwasbabu sio mzalendo wa Arusha ila anatumia nafasi hiyo kwa maslahi binafsi.

Nadhani pia kwasababu sio mtu wa Arusha. Labda ingekuwa ni mbunge wa machame huko kwao angefanya vizuri.

Bora nabii Geodevi alionyesha kuguswa na changamoto za watu wa Arusha na akatoa pesa kuwasuppoti wafanyabiashara wadogo walionguliwa pale samunge, ila Lema hajawahi kutoa hata elfu 10 kwa ajili ya wafanyabiashara wale. Sasa najiulize kuna ubaya gani mtu kuwasaidia wanyonge kama wale.

Halafu anamshambulia mtumishi wa Mungu utadhani yeye anamlaka hapo Arusha ya kumzuia mtu yeyote asifanye jambo. Hapa kuna tatizo la elimu pia.

Kiongozi bora na mwenye akili ni mwenye uwezo wa kuja na mpango mkakati wa kuwezesha boda boda wachane na kazi ya bodo na kufanya kazi iliyobora kuliko hiyo kutoka na wazo au plan ya huyo kiongozi..

Yeye emetoka huko Canada, utafikiri yeye ndio mtanzania wa kwanza kuishi huko alafu anakuja kutukana boda bodo, hapa umekosea sana, ungetakiwa ushauri kazi nyingine ya kufanya na sio kuwadharirisha kwa namna ulivyofanya, we mwenyewe ulikuwa mtu shida sana, tunakujua ulivyopata ubunge ndio umebadilisha maisha.

Geodevi ameweza kufanya jambo kubwa kwa muda mfupi akakushinda wewe uliyepewa ubunge kwa miaka 15, nadhani huo ubunge ulikuwa kwa ajili yako na familia yako.
Nimekuwa namsikiliza sana Lema.
Ana contents nyingo zenye mantiki kwenye hoja zake.

Ameshasema hata yeye siyo mkamilifu.

Basi anachokiongea kina ukweli mwingi kuliko hao wanadamu tunaowaamini
 
Ndugu Tajiri Tanzanite,

sipingani sana na maandiko yako.

1. Ni kweli lema amekuwa Mbunge kwa miaka 10, hivi kazi ya mbunge ni nini? kujenga miundombinu, Afya na elimu?.
Mbona ccm iko madarakani kwa mikaka 60 sasa na bado kuna shida hiyo ya miundombinu, afya na elimu? hivi majimbo yote ya wana ccm wabunge hawana shida kwenye maeneo hayo?

2. Hili la Geordavie, msaada mzuri ni ule unasaidiwa bila kutangazwa ndugu. Nakupa msaada baada ya kuchora tatoo yangu? iko sawa kweli? Hivi hizo pesa za kusaida waumini anazitoa wapi?.
Namna nzuri ya kumsaidia mtu, mpe jembe akalime sio kumpa chakula!! kama anapesa kwa nini asijenge shule, au vituo vya afya kisha waumini na watu wengine wakapate elimu,tiba kama makanisa mengine?
HII YA KUTUKUZA MTU BADALA YA MUNGU, NI USHETANI
Ni wazi kazi ya mbunge mbali na kutunga sheria ila mbunge anawawakilisha wananchi bungeni,nikimaanisha anasemea changamoto za wananchi bungeni,na changamoto hizi zinatoka kwenye maneo mbalimbali kama afya,elimu,kilimo,biashara,miundo mbinu nakadhalika...Sasa mbunge kama mbunge anawakilisha hizi changamoto kwa serikali kwa kuzisemea sana bungeni tena kwa hoja zenye nguvu,lakini pia mbali na serikali anatakiwa atumie nafasi yake kama mbunge ashawishi wawekezaji(wahisani),Donors,taasisi za kimataifa waweza kusaidia kutatua changamoto za wananchi.nikupe mfano mmoja,Lema tokea awe mbunge sijawahi kumsikia akiambia serikali yakwamba Arusha kwa unyeti na ukubwa wake inahitaji kiwanja cha kimataifa cha ndege..akatoa sabababu za kiuchumi..kama una hiyo clip weka..mji wa Arusha inamahotaji mengi ili kuweza kuchochea maendeleo ya wananchi wa Arusha ila huyu Lema ni mtu wa harakati tu.

Kama serikali haimsikilizi basi aplay role yake ya kuisemea Arusha.

Kuhusiana na Geordevie kuonekana kwenye vyombo vya habari akitoa msaada ni hali ambayo Geardevi hawezi kukwepa kwasababu Geardevie ni mtu maarufu,chochote anachokifanya lazima afuatiliwe na vyombo vya habari,atake asitake.

Kuhusiana na mwanamke kuchora tatu,binafsi sina uwakika na wewebpia unawakika kama Geardevie amemuambia huyo mwanamke afanye hivyo,hivyo tusiwe wepesi wa kuhukumi.

Ninachokiona inawezekana mwanamke amechora tatu kwa mapenzi yake binafsi kwa Geo,na wapo watu wengi wakimpenda mtu hushindwa kujizuia mfano kuna watu wanachora tatu za wasanii wakubwa na wanasoka kwasababu ya kuwa fun,kumpenda mtu jinsi alivyo..sasa mimi na wewe hatuna uwakika yule mwanamke amemchora Geo kwa sababu zip..huna mamlaka ya kutuhumu.

Hivi wewe kama mfano ni mtu mashuhuri alafu mtu ametengana na mpenzi wake kwa kuchora tatu na utamchukia?ni wazi utamsaidia kwa namna utakavyoona kwa wakati ule namna inavyofaa
Ndugu Tajiri Tanzanite,

sipingani sana na maandiko yako.

1. Ni kweli lema amekuwa Mbunge kwa miaka 10, hivi kazi ya mbunge ni nini? kujenga miundombinu, Afya na elimu?.
Mbona ccm iko madarakani kwa mikaka 60 sasa na bado kuna shida hiyo ya miundombinu, afya na elimu? hivi majimbo yote ya wana ccm wabunge hawana shida kwenye maeneo hayo?

2. Hili la Geordavie, msaada mzuri ni ule unasaidiwa bila kutangazwa ndugu. Nakupa msaada baada ya kuchora tatoo yangu? iko sawa kweli? Hivi hizo pesa za kusaida waumini anazitoa wapi?.
Namna nzuri ya kumsaidia mtu, mpe jembe akalime sio kumpa chakula!! kama anapesa kwa nini asijenge shule, au vituo vya afya kisha waumini na watu wengine wakapate elimu,tiba kama makanisa mengine?
HII YA KUTUKUZA MTU BADALA YA MUNGU, NI USHETANI
Kw
 
Lema angesaidia kutatua changamoto za wana Arusha kama miundombinu ya maji na barabara Arusha ni mbovu sana, angejikita huko, kuliko kupambana na wakina geodivid, lema kumbe hamnazo kiasi hiki, siasa za umbeya za nini lema wewe!
 
Mambo ndo kwanzaaa yameanzaa
Tanzania yetu ya matukio
 
Hapo vip!

Binafsi huwa simuelewagi Lema, namuona kama kiongozi tapeli anaetumia siasa kutengeneza maisha yake.

Na mimi niwasihi watu wa Arusha wafikiri nje ya box, wampuze huyu tapeli asiyekuwa na uchungu na changamoto za watu wa Arusha.

Huyu mtu amekuwa mbunge zaidi ya miaka kumi na tano lakini ukimuambie akuonyeshe hata kimoja alichowafanyia wananchi wa Arusha hakuna, ukiingia kwenye miundombinu hakuna, elimu hakuna, afya hakuna, kilimo hakuna labda amewasaidia kuwapa mbinu ya kukwpa kodi wale wafanyabiashara ambao ni ndugu zake pale Arusha.

Mji wa Arusha unaendelea kudumaa kwasababu ya siasa za kiharakati zinazofanywa na Lema.

Lemo hana uchungu wala nia njema ya kuwa chachu ya maendeleo Arusha, kwasababu mji huu ingepata kiongozi mzalendo leo tungekuwa na stand mpya siku nyingi, tungekuwa na kiwanja cha ndege cha kimataifa, masoko ya kisasa, hospitali zenye viwango bora kabisa nitaje tu hivyo vichache.

Lema haoni sababu ya kuisemea Arusha katika mambo mengi kwasbabu sio mzalendo wa Arusha ila anatumia nafasi hiyo kwa maslahi binafsi.

Nadhani pia kwasababu sio mtu wa Arusha. Labda ingekuwa ni mbunge wa machame huko kwao angefanya vizuri.

Bora nabii Geodevi alionyesha kuguswa na changamoto za watu wa Arusha na akatoa pesa kuwasuppoti wafanyabiashara wadogo walionguliwa pale samunge, ila Lema hajawahi kutoa hata elfu 10 kwa ajili ya wafanyabiashara wale. Sasa najiulize kuna ubaya gani mtu kuwasaidia wanyonge kama wale.

Halafu anamshambulia mtumishi wa Mungu utadhani yeye anamlaka hapo Arusha ya kumzuia mtu yeyote asifanye jambo. Hapa kuna tatizo la elimu pia.

Kiongozi bora na mwenye akili ni mwenye uwezo wa kuja na mpango mkakati wa kuwezesha boda boda wachane na kazi ya bodo na kufanya kazi iliyobora kuliko hiyo kutoka na wazo au plan ya huyo kiongozi..

Yeye emetoka huko Canada, utafikiri yeye ndio mtanzania wa kwanza kuishi huko alafu anakuja kutukana boda bodo, hapa umekosea sana, ungetakiwa ushauri kazi nyingine ya kufanya na sio kuwadharirisha kwa namna ulivyofanya, we mwenyewe ulikuwa mtu shida sana, tunakujua ulivyopata ubunge ndio umebadilisha maisha.

Geodevi ameweza kufanya jambo kubwa kwa muda mfupi akakushinda wewe uliyepewa ubunge kwa miaka 15, nadhani huo ubunge ulikuwa kwa ajili yako na familia yako.
Lema angeachana na tapeli huyu wa kidini
 
Hoja yako hapa nimeielewa ingawa inaoneka kuna mengi hujui kuhusu mipango miji na maendeleo ya jimbo husika! Mbunge ni muwakilishi wa wananchi kule bungeni ikimaanisha ni msemaji wa Wananchi!!

Ni vizuei ukatafuta clip za bungeni Lema alizokua anaongea na kuitaka serikali. Kwa upande wa kuwasemea wananchi na jimbon mwake yapo mengi sana, but ikifikia hatua mmbaya nchini ambayo utawala ulitamka wazi hauwezi peleka maendeleo mlipochagua upinzani unless otherwise ujoin au u Bow down!

Scenario nyingine nimeona hapa zime base on personal crushing!

Issue ya Goe ni vizuri ungeifatilia kwa kina.
Inaonekana mleta mada anajua kuandika mada ndefu lakini hana uelewa jinsi mambo yanavyofanyika.

Labda anafikiri wabunge hujenga miundombinu n.k kwa kutumia mishahara yao.
 
Hapo vip!

Binafsi huwa simuelewagi Lema, namuona kama kiongozi tapeli anaetumia siasa kutengeneza maisha yake.

Na mimi niwasihi watu wa Arusha wafikiri nje ya box, wampuze huyu tapeli asiyekuwa na uchungu na changamoto za watu wa Arusha.

Huyu mtu amekuwa mbunge zaidi ya miaka kumi na tano lakini ukimuambie akuonyeshe hata kimoja alichowafanyia wananchi wa Arusha hakuna, ukiingia kwenye miundombinu hakuna, elimu hakuna, afya hakuna, kilimo hakuna labda amewasaidia kuwapa mbinu ya kukwpa kodi wale wafanyabiashara ambao ni ndugu zake pale Arusha.

Mji wa Arusha unaendelea kudumaa kwasababu ya siasa za kiharakati zinazofanywa na Lema.

Lemo hana uchungu wala nia njema ya kuwa chachu ya maendeleo Arusha, kwasababu mji huu ingepata kiongozi mzalendo leo tungekuwa na stand mpya siku nyingi, tungekuwa na kiwanja cha ndege cha kimataifa, masoko ya kisasa, hospitali zenye viwango bora kabisa nitaje tu hivyo vichache.

Lema haoni sababu ya kuisemea Arusha katika mambo mengi kwasbabu sio mzalendo wa Arusha ila anatumia nafasi hiyo kwa maslahi binafsi.

Nadhani pia kwasababu sio mtu wa Arusha. Labda ingekuwa ni mbunge wa machame huko kwao angefanya vizuri.

Bora nabii Geodevi alionyesha kuguswa na changamoto za watu wa Arusha na akatoa pesa kuwasuppoti wafanyabiashara wadogo walionguliwa pale samunge, ila Lema hajawahi kutoa hata elfu 10 kwa ajili ya wafanyabiashara wale. Sasa najiulize kuna ubaya gani mtu kuwasaidia wanyonge kama wale.

Halafu anamshambulia mtumishi wa Mungu utadhani yeye anamlaka hapo Arusha ya kumzuia mtu yeyote asifanye jambo. Hapa kuna tatizo la elimu pia.

Kiongozi bora na mwenye akili ni mwenye uwezo wa kuja na mpango mkakati wa kuwezesha boda boda wachane na kazi ya bodo na kufanya kazi iliyobora kuliko hiyo kutoka na wazo au plan ya huyo kiongozi..

Yeye emetoka huko Canada, utafikiri yeye ndio mtanzania wa kwanza kuishi huko alafu anakuja kutukana boda bodo, hapa umekosea sana, ungetakiwa ushauri kazi nyingine ya kufanya na sio kuwadharirisha kwa namna ulivyofanya, we mwenyewe ulikuwa mtu shida sana, tunakujua ulivyopata ubunge ndio umebadilisha maisha.

Geodevi ameweza kufanya jambo kubwa kwa muda mfupi akakushinda wewe uliyepewa ubunge kwa miaka 15, nadhani huo ubunge ulikuwa kwa ajili yako na familia yako.
Kama Lema sio mzawa wa Arusha unadhani Mrisho Gambo ni mzawa? Kwa taarifa yako tangu uhuru Arusha mbunge mzawa ni Ole Saibul (RIP) peke
Pili ni kazi ya mbunge kujenga miundo mbinu? Kama ni kazi ya serikali unadhani Magufuli angesaidia maendeleo ya majimbo ya upinzani?
Waulize watu wa Arusha kipindi cha Lema na Gambo ni kipi kulikuwa na ustawi kiuchumi na Kijamii
Arusha ilikufa wakati wa Magu hakuweka hata mradi mmoja si stand,soko wala barabara, Kigwangala wake wa utalii akaua soko la utalii, hoteli na Dotto wake akamalizia Tanzanite mihimili ya uchumi wa Arusha.
Kuhusu "Nabii Mkuu" wako we nyamaza tuu kisha uulizie historia yake Chugga akiitwa George David Malembeka wa kambi ya Manamba Burka Estate
 
Kama Lema sio mzawa wa Arusha unadhani Mrisho Gambo ni mzawa? Kwa taarifa yako tangu uhuru Arusha mbunge mzawa ni Ole Saibul (RIP) peke
Pili ni kazi ya mbunge kujenga miundo mbinu? Kama ni kazi ya serikali unadhani Magufuli angesaidia maendeleo ya majimbo ya upinzani?
Waulize watu wa Arusha kipindi cha Lema na Gambo ni kipi kulikuwa na ustawi kiuchumi na Kijamii
Arusha ilikufa wakati wa Magu hakuweka hata mradi mmoja si stand,soko wala barabara, Kigwangala wake wa utalii akaua soko la utalii, hoteli na Dotto wake akamalizia Tanzanite mihimili ya uchumi wa Arusha.
Kuhusu "Nabii Mkuu" wako we nyamaza tuu kisha uulizie historia yake Chugga akiitwa George David Malembeka wa kambi ya Manamba Burka Estate
😎
 
Back
Top Bottom