Godbless Lemma, umeletewa kete ya kisiasa Arusha, cheza draft mpaka na huko afukuzwe, maana amekaribia mahali kitovu cha Ben Saanane kilizikwa

Godbless Lemma, umeletewa kete ya kisiasa Arusha, cheza draft mpaka na huko afukuzwe, maana amekaribia mahali kitovu cha Ben Saanane kilizikwa

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nina imani kwamba Makonda kupelekwa Arusha kuwa RC ni kuwachachusha wana Arusha kisiasa, damu zao zinapanda kwa mori.

Kwako Godbless, macho ya Tanzania kwa sasa yako Arusha ili ku-engineer one of the biggest mission ya kisiasa, kumuangusha huyu kada wa kuteka na mauaji. Yaani amesogea karibu na wazazi wa mtu ambaye yeye anatuhumiwa kumtoa roho
 
Nina imani kwamba Makonda kupelekwa Arusha kuwa RC ni kuwachachusha wana Arusha kisiasa, damu zao zinapanda kwa mori.

Kwako Godbless, macho ya Tanzania kwa sasa yako Arusha ili ku-engineer one of the biggest mission ya kisiasa, kumuangusha huyu kada wa kuteka na mauaji. Yaani amesogea karibu na wazazi wa mtu ambaye yeye anatuhumiwa kumtoa roho
Makonda siyo mtu wa kuongolewa ni mjinga mjinga mmoja hivi ambaye analewa na mifumo iliyofeli ya kiccm
 
Nina imani kwamba Makonda kupelekwa Arusha kuwa RC ni kuwachachusha wana Arusha kisiasa, damu zao zinapanda kwa mori.

Kwako Godbless, macho ya Tanzania kwa sasa yako Arusha ili ku-engineer one of the biggest mission ya kisiasa, kumuangusha huyu kada wa kuteka na mauaji. Yaani amesogea karibu na wazazi wa mtu ambaye yeye anatuhumiwa kumtoa roo.

Nina imani kwamba Makonda kupelekwa Arusha kuwa RC ni kuwachachusha wana Arusha kisiasa, damu zao zinapanda kwa mori.

Kwako Godbless, macho ya Tanzania kwa sasa yako Arusha ili ku-engineer one of the biggest mission ya kisiasa, kumuangusha huyu kada wa kuteka na mauaji. Yaani amesogea karibu na wazazi wa mtu ambaye yeye anatuhumiwa kumtoa roho
Makonda sio kama ww. Makonda, alikuwa, hana kazi, mara akala uteuzi wa kuwa, mwenezi. Na sasa mkuu wa mkoa wa, Arusha. Ni suala la muda ataenda kuwa, mtu mkubwa sana. Endelea na uchawa tu JF. Tunajua huna kazi.
 
Nina imani kwamba Makonda kupelekwa Arusha kuwa RC ni kuwachachusha wana Arusha kisiasa, damu zao zinapanda kwa mori.

Kwako Godbless, macho ya Tanzania kwa sasa yako Arusha ili ku-engineer one of the biggest mission ya kisiasa, kumuangusha huyu kada wa kuteka na mauaji. Yaani amesogea karibu na wazazi wa mtu ambaye yeye anatuhumiwa kumtoa roho
Umenikumbusha ya Mlongo alivyosumbuana na Lema
 
Nina imani kwamba Makonda kupelekwa Arusha kuwa RC ni kuwachachusha wana Arusha kisiasa, damu zao zinapanda kwa mori.

Kwako Godbless, macho ya Tanzania kwa sasa yako Arusha ili ku-engineer one of the biggest mission ya kisiasa, kumuangusha huyu kada wa kuteka na mauaji. Yaani amesogea karibu na wazazi wa mtu ambaye yeye anatuhumiwa kumtoa roho
Kaka kula masalo ya pasàka ulale, hujui ulisema
 
Nina imani kwamba Makonda kupelekwa Arusha kuwa RC ni kuwachachusha wana Arusha kisiasa, damu zao zinapanda kwa mori.

Kwako Godbless, macho ya Tanzania kwa sasa yako Arusha ili ku-engineer one of the biggest mission ya kisiasa, kumuangusha huyu kada wa kuteka na mauaji. Yaani amesogea karibu na wazazi wa mtu ambaye yeye anatuhumiwa kumtoa roho
Sidhani.maana Hata lema nasikia ni jizi sijui ni kweli? Aendelee kutabili tu.hapo Lema hafurukuti nakuambia
 
wanaarusha wanaimani kubwa na makonda

hili liko wazi na uzuri moshi na arusha ni karibu hivyo sina shaka
 
Kama Mama haamini katika Siasa za kutoana Pumbu kwa Plaizi kwa nini anamleta huyu Jambazi Chuga?
 
Back
Top Bottom