Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kikubwa mipango inaenda inavyotakiwaTehetehe.....kwamba kikubwa uhai
Arusha ndo mwisho wake kisiasaMakonda sio kama ww. Makonda, alikuwa, hana kazi, mara akala uteuzi wa kuwa, mwenezi. Na sasa mkuu wa mkoa wa, Arusha. Ni suala la muda ataenda kuwa, mtu mkubwa sana. Endelea na uchawa tu JF. Tunajua huna kazi.
mwaga damu za watu,akitupwa tu kwako lazima macho yawe juuNyuzi za Makonda tena zinafatana,huyu jamaa ana nini,,,?😁
duh,,,!mwaga damu za watu,akitupwa tu kwako lazima macho yawe juu
Katumbukia Golgota....Duh
Hakika CCM kuna uadui mkubwa Leo umethibitisha hilo
Afadhali ya Ufipa st
Nasikitika sana safari yake ya kwenda Zenji kwa maandamano ya mitumbwi kwenda kuwakoromea wakuu wa mikoa imekatishwa ghafla....Tatizo mna wivu, sana. Mnaumia bure ,na kuteseka. Teuzi zote zina toka kwa baraka na bahati ya mtu.
Kwani Makonda kafutwa uenezi na kupewa ukuu wa mkoa? Nipo nyuma sana kihabari wakuu.Nina imani kwamba Makonda kupelekwa Arusha kuwa RC ni kuwachachusha wana Arusha kisiasa, damu zao zinapanda kwa mori.
Kwako Godbless, macho ya Tanzania kwa sasa yako Arusha ili ku-engineer one of the biggest mission ya kisiasa, kumuangusha huyu kada wa kuteka na mauaji. Yaani amesogea karibu na wazazi wa mtu ambaye yeye anatuhumiwa kumtoa roho
Kwamba Bashite ana sifa za kusoma UDSM? Kumbe hiki chuo kimekuja kuwa hivi?Wa DARUSO? Kuna Rais makini ambaye atakuwa na wazo la hovyo kiasi hicho?