Godbless Lemma, umeletewa kete ya kisiasa Arusha, cheza draft mpaka na huko afukuzwe, maana amekaribia mahali kitovu cha Ben Saanane kilizikwa

Godbless Lemma, umeletewa kete ya kisiasa Arusha, cheza draft mpaka na huko afukuzwe, maana amekaribia mahali kitovu cha Ben Saanane kilizikwa

Huku wamemleta Mahakamani karibu na jela ATUAMBIE BEN SAANANE ALIPO.......
 
Tatizo mna wivu, sana. Mnaumia bure ,na kuteseka. Teuzi zote zina toka kwa baraka na bahati ya mtu.
Nasikitika sana safari yake ya kwenda Zenji kwa maandamano ya mitumbwi kwenda kuwakoromea wakuu wa mikoa imekatishwa ghafla....

Nimemkubali sana mama. Anajua kusuta na kukanya kisiasa na kikizimkazi...

Mingine tena kwa mama...

Welcome back Nape Nnauye....

Chama kina Wenyewe...
 
Nina imani kwamba Makonda kupelekwa Arusha kuwa RC ni kuwachachusha wana Arusha kisiasa, damu zao zinapanda kwa mori.

Kwako Godbless, macho ya Tanzania kwa sasa yako Arusha ili ku-engineer one of the biggest mission ya kisiasa, kumuangusha huyu kada wa kuteka na mauaji. Yaani amesogea karibu na wazazi wa mtu ambaye yeye anatuhumiwa kumtoa roho
Kwani Makonda kafutwa uenezi na kupewa ukuu wa mkoa? Nipo nyuma sana kihabari wakuu.
 
Mtanzania ndio mtu pekee akiona mwenzake kahamishwa cheo anasema kafukuzwa.
Ulaya unarudi kwako. Kulala sahau teuzi labda miaka 20 ijayo.
Nyie siasa hamuijui. Makonda bado ana cheo. Tusali afukuzwe sasa sisi wenye roho mbaya.
 
Back
Top Bottom