Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Induividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically syrayratigic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!
Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufui tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji
Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu