Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Madaktari wa JF hakikisheni waliorukwa na akili wasichangie madaUsinipangie cha kuongea shut up
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madaktari wa JF hakikisheni waliorukwa na akili wasichangie madaUsinipangie cha kuongea shut up
😆😆Msumari ni ule ule ni mwendo wa attack mpaka aende mzena
Rais ni taasisi kubwa anatakiwa akusanye kila maoni, yanayofaaa ayafanyie kazi.Namuonea huruma sana huyu mama!
Idadi ya washauri na maombi si ya kitoto.
Mbona wewe unaandika toka wodi ya vichaa mirembe na sijashauri chochote moderatorsMadaktari wa JF hakikisheni waliorukwa na akili wasichangie mada
Sasa umeandika nini wewe?Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Induividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!
Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji
Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Ndugu yangu, nashukuru kwa mawazo yako mazuri ila naomba umuulize Askofu wa Ngara Diocese kama alisharudishiwa hati yake. Kosa ni kuulizia watu waliopotea na maiti zilizookotwa kwenye viroba plus katiba huru.Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Induividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!
Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji
Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Ama tumngoje mtu mwingineHuyu ndo rais wanayemtaka wapinzani
Naona kwa mbali unaanza kurudi reverse [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1483]Magufuli alikuwa zao la mfumo ambao baada ya upinzani kutukana sna Kikwete mfumo ukaona nyie siio wa kuwachekea
Kikwete aliwachekea hadi akawahonga chai ikulu muache wala hamkuacha
Msidhani Mama Samia atarudia kosa la Kikwete aliyewachekea hadi mkaitisha migomo ya madaktari kupitia akina Ulimboka na Mashinji wengi wakapoteza maisha ikiwemo shangazi yangu kwa kukosa huduma
Raisi Mama Samia atajijua akiwachekea nyie shukrani hamna nyie
Kwa kweli naamini wapo, japo siwafahamu wabunge wote wa ccm.Ebu wataje waratu tu eanapfaa
Ameomba BOT ifanyiwe uchunguzi Maalum kutokana na dhuluma kwa wenye maduka ya kubadilisha fedha za kigeni , huku akiomba Ofisi ya DPP imulikwe kutokana na kashfa ya Muda mrefu ya kubambikia watu kesi
View attachment 1736882
Nilijua tu ungeshindwa ni wanafik tupuKwa kweli naamini wapo, japo siwafahamu wabunge wote wa ccm.
Ulitaka abaki ili wamuuue jiwe alikuwa jambazi mkuu wameua na kupora pesa za watuRudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Ind7ividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!
Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji
Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Hawezi kukulewa ana mahaba yaliyopitiliza kwa jiwe .Angalia content za hayo maombi.Hii inadhihirisha kwamba watu wengi waliumizwa sana na utawala wa Jiwe kwa kubambikiwa kodi,kunyang'anywa fedha za kigeni,kuporwa fedha benki,utekaji na kupokea Ransom kiserikali(Mo Dewji,Roma) na wengine wengi.
Mkuu umevulugwa big time.Usinipangie cha kuongea shut up
Njoo nyumbani ujenge nchi yako usisemee ughaibuni haileti taswira nzuriAmeomba BOT ifanyiwe uchunguzi Maalum kutokana na dhuluma kwa wenye maduka ya kubadilisha fedha za kigeni , huku akiomba Ofisi ya DPP imulikwe kutokana na kashfa ya Muda mrefu ya kubambikia watu kesi
View attachment 1736882
Ndugu yangu, nashukuru kwa mawazo yako mazuri ila naomba umuulize Askofu wa Ngara Diocese kama alisharudishiwa hati yake.
🤣Raisi Mama Samia
Ili twende vizuri, tunaomba clearance ya maana haswa kwenye baraza la mawaziri clear appointees wote wa hayati, uanze na kikosi kazi chako.
Unaenenda kwa hekima huwezi kufanya kazi na wakurupukaji.
Ukiona hivyo ujue Nchi iliozaNamuonea huruma sana huyu mama!
Idadi ya washauri na maombi si ya kitoto.