Godless Lema amuomba Rais Mpya Samia Suluhu kuchunguza ofisi ya DPP na BoT

Godless Lema amuomba Rais Mpya Samia Suluhu kuchunguza ofisi ya DPP na BoT

Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Induividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!

Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji

Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Sasa umeandika nini wewe?
 
Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Induividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!

Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji

Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Ndugu yangu, nashukuru kwa mawazo yako mazuri ila naomba umuulize Askofu wa Ngara Diocese kama alisharudishiwa hati yake. Kosa ni kuulizia watu waliopotea na maiti zilizookotwa kwenye viroba plus katiba huru.

Rais wetu mpendwa alikataa kutoa ruhusa mshtakiwa kumzika mama yake wakati yeye mama yake amemuuguza hapo kwake Chato kitandani.
Watu walikufa kwa shinikizo la damu baada ya baba na mwana kumfukuza kazi mbele ya kadamnasi pale kwenye daraja la kigamboni.
Je sera ipi ya chama chochote inayoruhusu watu kupotea, watu kupigwa risasi na kunyang'anywa uraia bila kesi yoyote kufunguliwa?

Wote tunaishi na kufariki mara moja hivyo hakuna atakayerudi kurekebisha ya nyuma. Sera zinatungwa na binadamu na huyo binadamu anaamua afuate sera ipi na akandamize ipi.
 
Magufuli alikuwa zao la mfumo ambao baada ya upinzani kutukana sna Kikwete mfumo ukaona nyie siio wa kuwachekea

Kikwete aliwachekea hadi akawahonga chai ikulu muache wala hamkuacha

Msidhani Mama Samia atarudia kosa la Kikwete aliyewachekea hadi mkaitisha migomo ya madaktari kupitia akina Ulimboka na Mashinji wengi wakapoteza maisha ikiwemo shangazi yangu kwa kukosa huduma

Raisi Mama Samia atajijua akiwachekea nyie shukrani hamna nyie
Naona kwa mbali unaanza kurudi reverse [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji1483]

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Ind7ividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!

Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji

Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Ulitaka abaki ili wamuuue jiwe alikuwa jambazi mkuu wameua na kupora pesa za watu
 
Angalia content za hayo maombi.Hii inadhihirisha kwamba watu wengi waliumizwa sana na utawala wa Jiwe kwa kubambikiwa kodi,kunyang'anywa fedha za kigeni,kuporwa fedha benki,utekaji na kupokea Ransom kiserikali(Mo Dewji,Roma) na wengine wengi.
Hawezi kukulewa ana mahaba yaliyopitiliza kwa jiwe .

Aliwahi andika Uzi "anataka Magufuli ashindwe" ndani yake akamnanga vibaya Sana eti "kwanza mtu mwenyewe Hana haiba ya urais ..."

Miaka 5 baadae from nowhere akawa mfuasi wake[emoji1787][emoji1787]

Hana consistency kigeugeu ndumi la kuwili the same Pasco mayalla .

By the way yawezekana sababu Ni msukuma mwenzao(yawezekana tu Ila sio lazima...[emoji1])

Mateso waliyoyapata watu wao wanaona shwari tu .

Ana bifu na wenye siasa za mlengo wa upinzani.

Lunatic are like babies they always want to express themselves..atakuambia huwezi kumuelewa na humuwezi""

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Ameomba BOT ifanyiwe uchunguzi Maalum kutokana na dhuluma kwa wenye maduka ya kubadilisha fedha za kigeni , huku akiomba Ofisi ya DPP imulikwe kutokana na kashfa ya Muda mrefu ya kubambikia watu kesi

View attachment 1736882
Njoo nyumbani ujenge nchi yako usisemee ughaibuni haileti taswira nzuri
 
Ndugu yangu, nashukuru kwa mawazo yako mazuri ila naomba umuulize Askofu wa Ngara Diocese kama alisharudishiwa hati yake.

Askofu anahitaji passport kwenda nje ya nchi? mpagani huyo asome Biblia Philipo alipomhubiria yule methiopia mweka hazina wa Malikia wa Ethiopia alipomaliza kuhubiri aliondokaje kwenye sehemu ingine kwenye kitabu cha Matendo ya Mitume

Huyo Askofu hata mbinguni haendi alifunga makanisa ya jimbo lake watu wasisali kwa kisingizio cha korona wakati maaskofu wote wa kanisa katoliki nchi nzima hawakufunga makanisa Halafu alimfungia hadi Raisi Magufuli asisali parokia yake ya Chato kujionyesha yeye ana nguvu mbinguni na duniani kuzuia hadi Raisi asisali kwenye kanisa kililoko kwenye uaskofu wake

Sasa zamu ya serikali kumuonyesha kuwa yeye sio mtawala wa dunia kama Yesu alivyosema utawala wangu si wa dunia hii.sasa anaitaka passport ya nini wakati yeye ni mtawala sio wa dunia hii mwenye mamlaka ya kufungia mtu asisali

Kila mtu ana exerise nguvu yake eneo lake yeye alimfungia Magufuli asisali na serikali inamfungia passport aruke kama Mwinjilisto Philipo kama kweli hizo nguvu za kiroho anazo aende huko nje
 
Back
Top Bottom