Vipi mnapanga kwenda kuiba wapi?Mbonyi tsapfo? Mangi yakuwa ayooo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mnapanga kwenda kuiba wapi?Mbonyi tsapfo? Mangi yakuwa ayooo?
acha uongo mkuu, mbona unaongopa mkuuUtawala wa Magufuli ulikuwa kama wa majambazi. Asante Mungu kwa kutuepushia kikombe hicho kilichokuwa kimejaa kila aina ya uovu kwa watanzania
Jitahidi kuwa objective kwa sasa. Huyu Mama hataki walamba miguu. Mtamchelewesha na kumwingiza chaka.Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Ind7ividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!
Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji
Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Mimi sio msukuma na sitarajii kuwa msukuma
roho inakuuma sana kuona upinzani na watu walioteswa na jiwe wanaanza kumuunga mkono Mama samia. na bado, shenztype.Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Ind7ividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!
Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji
Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Nasicha!!! ile Toronto inakuja himo kama ulaya😅.Mbonyi tsapfo? Mangi yakuwa ayooo?
Vipi mnapanga kwenda kuiba wapi?
Magufuli alikuwa zao la mfumo ambao baada ya upinzani kutukana sna Kikwete mfumo ukaona nyie siio wa kuwachekea
Kikwete aliwachekea hadi akawahonga chai ikulu muache wala hamkuacha
Msidhani Mama Samia atarudia kosa la Kikwete aliyewachekea hadi mkaitisha migomo ya madaktari kupitia akina Ulimboka na Mashinji wengi wakapoteza maisha ikiwemo shangazi yangu kwa kukosa huduma
Raisi Mama Samia atajijua akiwachekea nyie shukrani hamna nyie
Mbona kuna waliohama upinzani kumfuata mtu hao nao unasemaje?Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Ind7ividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!
Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji
Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
msije mkazani urais ni kazi nyepesi hivyo tena mother akibadirisha baraza la mawaziri ameingiliwa. Mimi sijaona waziri ambaye ataweza kufanya kazi kwa uaminifu kama hao walioteuliwa.Naona amemiss mambo ya kunywa juisi ikulu..
Urais kazi kweli kweli kila mtu anataka takwa lake litekelezwe, rasta mstaafu anatoa maagizo akiwa Canada
miluzi mingi hupotezaMagu alikuwa katili sana!
Ilo sio tatizo, kuna wanaofaa angalau.
Kumuongoza mtu ambaye hujamteua ni ngumu mno, japo mamlaka anayo lakini bado akifanya teuzi zake italeta tija zaidi.
Msumari ni ule ule ni mwendo wa attack mpaka aende mzena
Bora kubaki hai ili kupambana baadae kuliko kuipoteza nafasi ya next fight.Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Ind7ividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!
Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji
Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Mkuu ID yangu ni hii hii toka 2008. Hakuna mabadiliko. Tunapiga spana meko kwa maovu aliyotutendeaVipi upo na ID zako kumi au umezipunguza baada ya kushindwa uchaguzi 2020?
Nimeongopa nini. Niambie nilichoongopa ili nisahihisheacha uongo mkuu, mbona unaongopa mkuu
Angalia content za hayo maombi.Hii inadhihirisha kwamba watu wengi waliumizwa sana na utawala wa Jiwe kwa kubambikiwa kodi,kunyang'anywa fedha za kigeni,kuporwa fedha benki,utekaji na kupokea Ransom kiserikali(Mo Dewji,Roma) na wengine wengi.