Godless Lema amuomba Rais Mpya Samia Suluhu kuchunguza ofisi ya DPP na BoT

Godless Lema amuomba Rais Mpya Samia Suluhu kuchunguza ofisi ya DPP na BoT

Hawezi kukulewa ana mahaba yaliyopitiliza kwa jiwe .

Aliwahi andika Uzi "anataka Magufuli ashindwe" ndani yake akamnanga vibaya Sana eti "kwanza mtu mwenyewe Hana haiba ya urais ..."

Miaka 5 baadae from nowhere akawa mfuasi wake[emoji1787][emoji1787]

Hana consistency kigeugeu ndumi la kuwili the same Pasco mayalla .

By the way yawezekana sababu Ni msukuma mwenzao(yawezekana tu Ila sio lazima...[emoji1])

Mateso waliyoyapata watu wao wanaona shwari tu .

Ana bifu na wenye siasa za mlengo wa upinzani.

Lunatic are like babies they always want to express themselves..atakuambia huwezi kumuelewa na humuwezi""

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app


Umetumia energy kubwa Chief!

Nyani Ngabu
pasco Mayalla
 
Huoni kwamba statement yako inaelekeza kurudi kule kule kwenye “kujuana”?

Kwani viapo vya watumishi wa Umma hasa kwa Rais, ni viapo kwa Taasisi ya Rais, Serikali yake na Katiba ya nchi + Wananchi?

Ama ni viapo binafsi kwa mtu binafsi?

Ama ni viapo vya Imani Fulani kwa Imani Fulani?

Ama ni viapo vya ‘kundi’ Fulani kwa ‘Kundi’ Fulani?
Kujuana alikuleta hayati kunatakiwa kuvunjwe.

Ukiongelea viapo vya utumishi ni pamoja na kuheshimu na kuongoza kama katiba inavyo sema.

Kwa muonendo wa serikali ya magufuli alikua anafuata "rule of law"? Same applies to his appointees, mara ngapi kafanya teuzi bila kufuata katiba inasemaje?

Mawaziri/wakuu wa wilaya/wakurugenzi mara ngapi wanaenenda bila kufuata sheria bali midomo yao ndio sheria, wengine wanachapa wananchi viboko we uliona wapi zaidi ya utawala wa hayati?

Ndio maana nika suggest mwendazake aende pamoja na teuzi zake zilizokua kama yeye.
 
Nitakua na imani walau na huyu Mama endapo

Ataitisha mchakato wa kupata katiba mpya..na ikapatikana

Kuwepo kwa tume huru ya uchaguzi..

Akiweza hivyo atakua amekua mwanaccm wa tofauti sababu naamimi siku zote CCM ni ile ile mbwembwe kibao ila hakuna jipya!

Ila itapendeza sana mama akiwanyoosha wale wapambe wa jiwe sijui matokeo chanya,Tanzania mpya,MATAGA , na matarumbeta mengineyo hatuwezi kua na mambo ya kusifia hata ujinga hii haikubaliki !
Katiba mpya kwa sasa si kipaumbele cha watanzania.

Pia Tanzania hakuna upinza,,,. kuna ushabiki tu.
 
Kujuana alikuleta hayati kunatakiwa kuvunjwe.

Ukiongelea viapo vya utumishi ni pamoja na kuheshimu na kuongoza kama katiba inavyo sema.

Kwa muonendo wa serikali ya magufuli alikua anafuata "rule of law"? Same applies to his appointees, mara ngapi kafanya teuzi bila kufuata katiba inasemaje?

Mawaziri/wakuu wa wilaya/wakurugenzi mara ngapi wanaenenda bila kufuata sheria bali midomo yao ndio sheria, wengine wanachapa wananchi viboko we uliona wapi zaidi ya utawala wa hayati?

Ndio maana nika suggest mwendazake aende pamoja na teuzi zake zilizokua kama yeye.

Una hakika kujuana kumekuja na Hayati JPM? Soma history ya Tanzania angalau ya Mwaka 1995 mpaka 2015!

Kama viapo ni kuheshimu na kuongoza kama Katiba ya JMT itakavyo, tatizo la viapo vya sasa linatoka wapi?

Kama walifuata rule of the “outlaws” kipindi cha Hayati JPM , watashindwa vipi ku restart na kufuata rule of laws ya Madam President, kama itakuwepo? Kumbuka we are still not even in a month ya Uongozi mpya!
 
Namuonea huruma sana huyu mama!

Idadi ya washauri na maombi si ya kitoto.
Asipokua na msimamo imara na kuwa 'yesu' kutaka mridhisha kila mtu, atapata shida sana kutawala.

Wanasiasa wana maneno mazuri sana kiasi cha kudhani wanakutakia mema, kumbe wana agenda zao. Good thing ya mwendazake, he was bold na asiyesikiliza miluzi ya Mbwa. Its dangerous to step on great man's shoes, lakini analazimika kuegelezea baadhi ya njia zake.
 
Una hakika kujuana kumekuja na Hayati JPM? Soma history ya Tanzania angalau ya Mwaka 1995 mpaka 2015!

Kama viapo ni kuheshimu na kuongoza kama Katiba ya JMT itakavyo, tatizo la viapo vya sasa linatoka wapi?

Kama walifuata rule of the “outlaws” kipindi cha Hayati JPM , watashindwa vipi ku restart na kufuata rule of laws ya Madam President, kama itakuwepo? Kumbuka we are still not even in a month ya Uongozi mpya!
Ulisoma bandiko la TLS? Katiba inamtaka raisi mpya afanye nini ashikapo madaraka?

Kama walishindwa kuheshimu katiba wakiongozwa na adui wa ufisadi wataweza vipi kwa huyu mama?
 
Nitakua na imani walau na huyu Mama endapo

Ataitisha mchakato wa kupata katiba mpya..na ikapatikana

Kuwepo kwa tume huru ya uchaguzi..

Akiweza hivyo atakua amekua mwanaccm wa tofauti sababu naamimi siku zote CCM ni ile ile mbwembwe kibao ila hakuna jipya!

Ila itapendeza sana mama akiwanyoosha wale wapambe wa jiwe sijui matokeo chanya,Tanzania mpya,MATAGA , na matarumbeta mengineyo hatuwezi kua na mambo ya kusifia hata ujinga hii haikubaliki !

“Imani yako imekuponya”!

Umesema una Imani ya kwamba.....
 
Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Ind7ividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!

Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji

Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Tatizo lenu jiwe hakujibu kwa hoja bali risasi kuteka watu kuwafunga na mengine mengi. Hawajakimbikia kwa kutaka bali maisha yao yalikuwa yapo hatarini ndio maana wakakimbia na jiwe hakuna siku amekemea kwa lolote lile ovu lililojitokeza kwemye utawala wake ukiwemo utekaji na kuuwa watu kwasababu ndiye suspect namba moja.

Nakaongoze hawo malaika hawo Mitume hakuna aliyesema kwamba atachaguliwa ni Mungu aongoze malaika lakni jiwe lilikuwa linakufukuru wacha laaana maapizo ya watu yawe juu yake. Simlikuwa mnahubiri na meno nje ati shirika lá ndege linapata faida kubwa leo mmeshapata ukweli tusiwaone mkitetea zile hoja zneu mfu mliyekuwa mnamuabudu kashaenda na maji.
 
Ameomba BOT ifanyiwe uchunguzi Maalum kutokana na dhuluma kwa wenye maduka ya kubadilisha fedha za kigeni , huku akiomba Ofisi ya DPP imulikwe kutokana na kashfa ya Muda mrefu ya kubambikia watu kesi

View attachment 1736882
😀😂😂😂😂😂 sasa ashike lipi huyu mama kila mtu anataka amuongoze cha kufanya kwani yeye hajui?
Msitake kumdrive
 
Asipokua na msimamo imara na kuwa 'yesu' kutaka mridhisha kila mtu, atapata shida sana kutawala.

Wanasiasa wana maneno mazuri sana kiasi cha kudhani wanakutakia mema, kumbe wana agenda zao. Good thing ya mwendazake, he was bold na asiyesikiliza miluzi ya Mbwa. Its dangerous to step on great man's shoes, lakini analazimika kuegelezea baadhi ya njia zake.
Kama hana msimamo atayumbishwa sana.
 
Yupo Ignore list zaidi ya miaka 3 sasa ila maskini wala hajastukia bado.

Huwa kila mara ananinukuu kutaka attention yangu.

She is totally and thoroughly and permanently ignored.

I don’t lose sleep over her.

Usingeni tag wala nisingeona.

[emoji2]


Funny! Even more funny if it’s a Woman!!!

Nimeku-tag kuweka alama! [emoji854]
 
Watu wali dhulumiwa sana sana yani walipokuwa kwa mtutu wa bunduki kwenye maduka ya kubadilisha fedha!
 
Back
Top Bottom