Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tuache, usitutoe kwenye reliNamuonea huruma sana huyu mama!
Idadi ya washauri na maombi si ya kitoto.
Kumbuka ili mtu awe wazir lazima awe mbunge sasa huko bungen wamejaa CCM tupuRaisi Mama Samia
Ili twende vizuri, tunaomba clearance ya maana haswa kwenye baraza la mawaziri clear appointees wote wa hayati, uanze na kikosi kazi chako.
Unaenenda kwa hekima huwezi kufanya kazi na wakurupukaji.
Huyu mtu"Magufuli" ndiyo alikuwa tatizo kwa Watanzania. Ameondoka nasi tunasema Ahsante sana Baba kwa kutuondolea mtu aliyewatendea wenzake isivyostahili.Rudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Induividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically syrayratigic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!
Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufui tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji
Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Jikite kwenye madaRudi uongelee Tanzania Chadema tuliwaonya ongeleeni sera na vitu vyenye maslahi kwa taifa nyie mkajikita kuhangaika na Induividual Magufuli mkakimbia hadi nchi mnakimbia mtu!!! sabanu hamkuwa politically strategic kuwa na hoja endelevu za kisiasa !!
Lisu kaja kugombea kutwa kutukana Magufuli tu kisha huyo katimka na mitusi yake katukana weeee na wewe Lema ukatukana weee mwisho mkatimka kwenda kulala kanada na ubelgiji
Chama ni sera na hoja sio individual attacks vipi duka lako bubu la fedha za kigeni lilifanyiziwa na Bot au ? si useme tu
Vipi na yeye akiamua kufuata nyendo za mtangulizi wake kwa kuweka pamba masikioni? Kwa kigezo cha kutotaka kupangiwa vitu vya kufanya, au kwa kudhani anafundishwa kazi?Utawala wa Magufuli ulikuwa kama wa majambazi. Asante Mungu kwa kutuepushia kikombe hicho kilichokuwa kimejaa kila aina ya uovu kwa watanzania
Magufuli alikuwa zao la mfumo ambao baada ya upinzani kutukana sna Kikwete mfumo ukaona nyie siio wa kuwachekeaHuyu mtu"Magufuli" ndiyo alikuwa tatizo kwa Watanzania. Ameondoka nasi tunasema Ahsante sana Baba kwa kutuondolea mtu aliyewatendea wenzake isivyostahili.
Usinipangie cha kuongea shut upJikite kwenye mada
Ilo sio tatizo, kuna wanaofaa angalau.Kumbuka ili mtu awe wazir lazima awe mbunge sasa huko bungen wamejaa CCM tupu
Msumari ni ule ule ni mwendo wa attack mpaka aende mzenaVipi na yeye akiamua kufuata nyendo za mtangulizi wake kwa kuweka pamba masikioni? Kwa kigezo cha kutotaka kupangiwa vitu vya kufanya, au kwa kudhani anafundishwa kazi?
Angalia content za hayo maombi.Hii inadhihirisha kwamba watu wengi waliumizwa sana na utawala wa Jiwe kwa kubambikiwa kodi,kunyang'anywa fedha za kigeni,kuporwa fedha benki,utekaji na kupokea Ransom kiserikali(Mo Dewji,Roma) na wengine wengi.Namuonea huruma sana huyu mama!
Idadi ya washauri na maombi si ya kitoto.
Ebu wataje waratu tu eanapfaaIlo sio tatizo, kuna wanaofaa angalau.
Kumuongoza mtu ambaye hujamteua ni ngumu mno, japo mamlaka anayo lakini bado akifanya teuzi zake italeta tija zaidi.