Godless Lema amuomba Rais Mpya Samia Suluhu kuchunguza ofisi ya DPP na BoT

😂😂😂

Wanaunga mkono juhudi za Mama
 
Wewe Unatokea LUMUMBA [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Nilichoeleza hapo juu ili kukielewa lazima uwe umebarehe kwenye akili zako kwanza ndiyo utaelewa.

Niliposema CCM ni Chama Dume umeelewa mkuu? Au nisema Chama Dola labda utaelewa?

Upinzani utapatikana kama Dola ikiamua kufanya hivyo siyo hivi vyama vya kina Faru John na Kina Zitto! Hakuna vyama hapo hizo ni Saccos za wenyewe!
 
Magufuli hakuwa na tofauti na Hitila, katili sana, mwizi, mnyanganyi, mbishi na fisadi.
Mtanyooka tu bado tunaendelea kuwanyoosha kama kawaida. Hakuna kurudi nyuma uuzaji madawa na ufisadi wenu haukubaliki tena Mama Samia anaendeleza mapambano kama kawaida. Sasa naona mnacheza mdundiko bila kujijua.
 
kumbe ndio maana kimeshinda jimbo la Pandani
 
Ameomba BOT ifanyiwe uchunguzi Maalum kutokana na dhuluma kwa wenye maduka ya kubadilisha fedha za kigeni , huku akiomba Ofisi ya DPP imulikwe kutokana na kashfa ya Muda mrefu ya kubambikia watu kesi

View attachment 1736882
Rais aongoze nchi kutokana na katina inavyotaka . Wapinzani siku zote hawana Nia njema na Rais aliepo Madarakani au chama kilichopo Madarakani
 
Hakuna upinzani Tanzania hii.

Tuna wapiga kelele na waropokaji tu.

Mpinzani wa kweli anayesimamia kanuni atataka kuiondoa CCM madarakani kwa kunadi sera zilizo bora zaidi.

Hawa wa kwetu si wapinzani. Ni washauri wa chama tawala.

Ndo maana unaona sasa hivi wamejipanga mmoja baada ya mwingine kumpa ushauri Mama Samia.

Hawana nia ya kushinda chaguzi wala kushika dola.

Mimi siwezi kumpa ushauri mtu ambaye nashindana naye.

Nitataka nimshinde kwa kunadi sera zilizo bora zaidi.

Ila haya mapinzani yetu yanashindana kumpa ushauri Mama Samia 😂
 
Naona bado una hasira. Kunywa sumu ulifuate lijamaa ili uwe mzalendo namba 2.
Lijitu lenyewe lilikuwa linaturudisha enzi za ujima. Bar zinafunguliwa saa 10 jioni ili watu wafanye kazi. Yeye pamoja na kufanya kazi bado kuna vijiji havina maji, umeme na bado ana hangaika na madawati.
Bora limeenda
Usinipangie cha kuongea shut up
 
Hakuna vyama vya upinzani hapa TZ tuna Saccos za watu fulani fulani tu.

CCM itaendelea kutawala muda mrefu sana mpaka Dola itakapoanzisha Chama mbadala ili kuwe na upinzani wa ukweli kama ilivyo kwenye nchi zilizoendelea ambapo Dola za huko zimeanzisha vyama mbadala ili Dola iweze kuendesha nchi vizuri.
 
Utawala wa Magufuli ulikuwa kama wa majambazi. Asante Mungu kwa kutuepushia kikombe hicho kilichokuwa kimejaa kila aina ya uovu kwa watanzania
Hayati Magufuli utaendelea kumwota mpaka ufe alivyokufanya hutasahau. Biashara yako ya madawa ya kulevya alifutia mbali na usitegemee kurudi tena huko bado Mama Samia ataendeleza pini hiyo hiyo.
 
Ameomba BOT ifanyiwe uchunguzi Maalum kutokana na dhuluma kwa wenye maduka ya kubadilisha fedha za kigeni , huku akiomba Ofisi ya DPP imulikwe kutokana na kashfa ya Muda mrefu ya kubambikia watu kesi

View attachment 1736882
DAH!
jamaa wanapita na $300 million hivihivi? Huu ni umafia wa kimataifa!!!
Alafu mnashangaa watu kusherehekea? Wanyonge watakufa kwa umasikini daima. Period.
 
Wanamgombania kabisa yani[emoji23]
Ukicomment kumdis mama Samia Chadema watakuparamia mpaka utajuta kuzaliwa.wafuasi wa CCM wenye Samia wao wakija wanakuta Chedema washamaliza kazi[emoji23]
hiii maweeee[emoji23]
 
Naona umefufuka aise. Ulikuwa unatengeneza genge la wahuni. Umechakachua uchaguzi mpaka umeonekana hauna maana.
Bora umekata kamba, nafsi yangu imekuwa na amani sasa. Ilifika kipindi unaishi kwa hofu ya kuvamiwa na watu wasiojulikana.
 
Wanamgombania kabisa yani[emoji23]
Ukicomment kumdis mama Samia Chadema watakuparamia mpaka utajuta kuzaliwa.wafuasi wa CCM wenye Samia wao wakija wanakuta Chedema washamaliza kazi[emoji23]
hiii maweeee[emoji23]
Tumerahisishiwa kazi....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…