tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Hahaha haya nimekaukaUnataka umjue ili iweje??
Kama humjui kausha
Uzushii wa chadema......baada ya umaarufu kupungua sasa wanautafuta kwa nguvu yoyote......
Ndiyo nani?
View attachment 1041855
Habari tulizozipata hivi punde Malissa anashikiliwa na watu wasiojulikana, wamfuata nyumbani kwake Mbezi Beach
Kijana ben saanane mlisema hivi hivi hadi leo hajapatikanaUzushii wa chadema......baada ya umaarufu kupungua sasa wanautafuta kwa nguvu yoyote......
#TAARIFA: Taarifa za hivi punde zinaeleza kuwa watu wanaodai kuwa maafisa usalama wamemvamia kamanda Malisa GJ maeneo ya Mbezi Beach. Chochote kitakachotokea juu yake wao ndio watakuwa na majibu!
Kama sikosei Mkuu Chakaza alisema kwamba nafsi yake ina hofu kutokepo mtu mmoja airport kunaweza kutokea jambo lisilo jema. Kumbe alikua sahihi.
alishiriki kura za maoni moshi vijijini pia ni kada na yupo active mitandaoni (mikutano si imezuiwa) na kutokana na kabila lake yupo karibu na mwenyekitiWho is he
Sijawahi kumsikia kabisa
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Sasa unatakaje?Ubaya ni kwamba mnawajua hata familia zao halafu mnawaacha wanaishi kwa amani
Soma uzushi mwingine hapo.Uzushii wa chadema......baada ya umaarufu kupungua sasa wanautafuta kwa nguvu yoyote......
Na kina musiba mbona kila siku wanawakashifu wapinzani na hawajawahi chukuliwa hatua yoyoteSiku zote malisa anaikashifu selikali yaani ujinga wake hautofautiani na mage kimambi