thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,271
- 9,113
Hakika mnafiki motoni ni sehemu yake,haukwepi huo motoWatu wasiojulikana ndio hao hao wasimamizi wa jela? Kwa hiyo hapo wametumwa na serekali!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mnafiki motoni ni sehemu yake,haukwepi huo motoWatu wasiojulikana ndio hao hao wasimamizi wa jela? Kwa hiyo hapo wametumwa na serekali!?
Watu wasiojuliakana wakija nyumbani si majambazi? Na kama waliondoka naye, kwa mtu kama yeye anafahamu fika kuhusu wasiojulikana maana alikuwa rafiki mkubwa wa Ben Saanane.View attachment 1041855
Habari tulizozipata hivi punde Malissa anashikiliwa na watu wasiojulikana, wamfuata nyumbani kwake Mbezi Beach
Ni kweli Malisa GJ amevamiwa nyumbani na watu wa usalama wa Taifa wameondoka naye
BringBackOurMalisaGJWeka ushahidi kuwa ni watu wa usalama ndio wamehusika...
Ifike mahali tusiwe watu wa kuhukumu. Tuache vyombo vya ulinzi vifanye kazi yake then vitakuja na ripoti kujua ni kwanini alipotea...
Wamejitambulisha kuwa ni wausalama? Waliondoka naye kwa kumlazimisha? Bila balozi is a nyumba kumi au mwenyekiti wa mtaa?Ni kweli Malisa GJ amevamiwa nyumbani na watu wa usalama wa Taifa wameondoka naye
#TAARIFA: Taarifa za hivi punde zinaeleza kuwa watu wanaodai kuwa maafisa usalama wamemvamia kamanda Malisa GJ maeneo ya Mbezi Beach. Chochote kitakachotokea juu yake wao ndio watakuwa na majibu!
BringBackOurMalisaGJ
Wamemchukua hawakumtekaWatu wasiojuliakana wakija nyumbani si majambazi? Na kama waliondoka naye, kwa mtu kama yeye anafahamu fika kuhusu wasiojulikana maana alikuwa rafiki mkubwa wa Ben Saanane.
Ama amevamiwa nyumbani na kutekwa?
Kuna mada humu aliongelea namna ya kuwakimbia wasio julikana wakitaka kukutekaWatu wasiojuliakana wakija nyumbani si majambazi? Na kama waliondoka naye, kwa mtu kama yeye anafahamu fika kuhusu wasiojulikana maana alikuwa rafiki mkubwa wa Ben Saanane.
Ama amevamiwa nyumbani na kutekwa?
Kuna waliokuwa nae ndiyo wametupasha habari.Kama ni hivyo basi atakuwa aliridhika kuondoka naye? Anaishi mwenyewe?
Vyombo vipi vya ulinzi ? Ni hivi Magufuli aliyesema juzi tu kuhusu Mo na kunywa chai na Mambosasa ? Au ni hivi visivyojua walio mpiga risasi Lisu ? Walio mteka Ben Saanane ,Azory Gwanda ?Weka ushahidi kuwa ni watu wa usalama ndio wamehusika...
Ifike mahali tusiwe watu wa kuhukumu. Tuache vyombo vya ulinzi vifanye kazi yake then vitakuja na ripoti kujua ni kwanini alipotea...
Hivi ambavyo vinafanya watz wajnga kwa mjibu wa malaika!
Vimegeuka kuwa "Vyombo Vya UHASAMA". Kilangila.Kama ni vyombo vya usalama mbona mnahamaki sasa?
Duh! Akaondokaje nao kama hawakumlazimisha? Kwasababu inategemea na walivyojitambulisha. Polisi ki kawaida lazima wamjulishe kiongozi husika wa hapo anapoishi. Na hapo ni endapo kuna RB. Sasa yeye anafahamu fika issue za kutekwa hata Ben Saanane alikuwa rafiki wake wa karibu. Anafahamu kuhusu Azory Gwanda, maana waliondoka naye kwa style hii.Kuna waliokuwa nae ndiyo wametusha habari.